Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Runinga zilizojizima Kenya kupigwa faini

Mamlaka ya mawasiliano nchini Kenya itavipiga faini vituo vya NTV,KTN,Citizen na QTV nchini Kenya kwa kuzima matangazo yao

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mdomo wamponza Mourinho afungiwa, kupigwa faini

Klabu ya Chelsea na kocha wake, Jose Mourinho wamepinga uamuzi wa Chama cha Soka (FA) kumwadhibu kocha huyo kwa kauli alizozitoa karibuni.

 

10 years ago

Habarileo

Wanaouza silaha feki kufungwa miaka 5, kupigwa faini mil.10/-

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue.MTU yeyote atakayepatikana akiingiza au kuuza silaha za bandia, atahukumiwa kifungo cha miaka mitano jela au kulipa faini isiyozidi Sh milioni 10. Adhabu hiyo imetajwa na Muswada wa Usimamizi na Udhibiti wa Silaha na Risasi wa mwaka 2014.

 

10 years ago

BBCSwahili

Runinga 3 Kenya zimezima matangazo yao

Asilimia kubwa ya Wakenya wamesalia bila ya matangazo baada ya runinga tatu za kibinafsi kusitisha matangazo yao

 

5 years ago

BBCSwahili

Viusi vya corona: Runinga ya Citizen nchini Kenya yasikitika kumuita rais Magufuli 'mkaidi'

Ripoti hiyo ya runinga ya Citizen iliopeperushwa hewani tarehe 22 mwezi Machi , bwana Magufuli alinukuliwa akisema kwamba mlipuko wa virusi vya Covid-19 haufai kutumiwa kama sababu ya kuathiri uchumi wa Tanzania.

 

11 years ago

GPL

MFANYABIASHARA AUAWA KWA KUPIGWA RISASI MOMBASA, KENYA

Mwili wa marehemu Ahmed Bakhshuwein baada ya kupigwa risasi. Mfanyabiashara, Ahmed Bakhshuwein ameuawa kwa kupigwa risasi tatu kichwani akiwa kwenye gari eneo la Malindi, Mombasa karibu na Al-R azaak Stores nchini Kenya. CREDIT: Michuzi Issa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyanza wawazawadia washindi wa runinga

KAMPUNI ya vinywaji baridi ya Coca-Cola Nyanza imekabidhi runinga mpya inchi 32 kwa washindi saba wa shindano la ‘Jionee Mwenyewe Kombe la Fifa la Dunia’ katika hafla iliyofanyika kwenye kiwanda...

 

9 years ago

BBCSwahili

Tangazo la Twitter kwenye runinga lakanganya

Tangazo la kwanza la mtandao wa kijamii wa Twitter kwenye runinga limewaacha baadhi ya watazamaji wa televisheni Marekani wakiwa wamekanganyikiwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bonite yamwaga runinga 41, tiketi ya Brazil

KAMPUNI ya vinywaji baridi jamii ya Coca-Cola, Bonite imekabidhi runinga mpya 41 aina ya Sony Led inchi 32 na tiketi moja ya kwenda kushuhudia ‘live’ mchezo wa fainali za Kombe...

 

9 years ago

BBCSwahili

Runinga yatafuta msichana wa kuigiza Nicki Minaj

Kituo cha runinga cha ABC Family kimetangaza kwamba kitaandaa mahojiano mtandaoni kumtafuta msichana atakayemuigiza Nicki Minaj.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani