Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Runinga 3 Kenya zimezima matangazo yao

Asilimia kubwa ya Wakenya wamesalia bila ya matangazo baada ya runinga tatu za kibinafsi kusitisha matangazo yao

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Runinga zilizojizima Kenya kupigwa faini

Mamlaka ya mawasiliano nchini Kenya itavipiga faini vituo vya NTV,KTN,Citizen na QTV nchini Kenya kwa kuzima matangazo yao

 

5 years ago

BBCSwahili

Viusi vya corona: Runinga ya Citizen nchini Kenya yasikitika kumuita rais Magufuli 'mkaidi'

Ripoti hiyo ya runinga ya Citizen iliopeperushwa hewani tarehe 22 mwezi Machi , bwana Magufuli alinukuliwa akisema kwamba mlipuko wa virusi vya Covid-19 haufai kutumiwa kama sababu ya kuathiri uchumi wa Tanzania.

 

5 years ago

BBCSwahili

Je, Wabunge wa Kenya watakubali kukatwa mishahara yao?

Wabunge nchini Kenya wanatarajiwa kuonekana iwapo watafuata mfano wa Rais Kenyatta kupunguzwa kwa mshahara wake kuchangia katika kushuhulikia maambukizi ya virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wanasayansi wa Uingereza wanataka chanjo yao kufanyiwa majaribio Kenya

Watafiti kutoka nchini Uingereza wanafikiria kufanyia majaribio chanjo ya virusi vya corona nchini Kenya ambapo kulingana na wao mlipuko wa ugonjwa huo unaongezeka.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyanza wawazawadia washindi wa runinga

KAMPUNI ya vinywaji baridi ya Coca-Cola Nyanza imekabidhi runinga mpya inchi 32 kwa washindi saba wa shindano la ‘Jionee Mwenyewe Kombe la Fifa la Dunia’ katika hafla iliyofanyika kwenye kiwanda...

 

9 years ago

BBCSwahili

Tangazo la Twitter kwenye runinga lakanganya

Tangazo la kwanza la mtandao wa kijamii wa Twitter kwenye runinga limewaacha baadhi ya watazamaji wa televisheni Marekani wakiwa wamekanganyikiwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bonite yamwaga runinga 41, tiketi ya Brazil

KAMPUNI ya vinywaji baridi jamii ya Coca-Cola, Bonite imekabidhi runinga mpya 41 aina ya Sony Led inchi 32 na tiketi moja ya kwenda kushuhudia ‘live’ mchezo wa fainali za Kombe...

 

9 years ago

BBCSwahili

Runinga yatafuta msichana wa kuigiza Nicki Minaj

Kituo cha runinga cha ABC Family kimetangaza kwamba kitaandaa mahojiano mtandaoni kumtafuta msichana atakayemuigiza Nicki Minaj.

 

9 years ago

Bongo5

Mzee Chilo adai runinga zilisababisha kupotea tamthilia za nyumbani

Mzee Chilo akizungumza jambo na watoto

Msanii wa filamu, Mzee Chilo amedai wamiliki wa runinga nchini ndio waliosababisha kupotea kwa tamthilia za nyumbani kwa kuzikwepa na kuonesha za kigeni.

Mzee Chilo akizungumza jambo na watoto

Muigizaji huyo ambaye pia ni mmiliki wa kampuni ya Pilipili Entertainment, ameiambia Bongo5 kuwa hali hiyo imesababisha wazalishaji wa filamu nchini kukaa na kazi zao ndani bila kuwa na sehemu za kuzipeleka.

“Kilichopoteza tamthilia zetu ni runinga zetu, wakawa wanaamua kuonesha tamthilia za kigeni sijui kwao ndio zilikuwa rahisi?” amesema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani