Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyanza wawazawadia washindi wa runinga

KAMPUNI ya vinywaji baridi ya Coca-Cola Nyanza imekabidhi runinga mpya inchi 32 kwa washindi saba wa shindano la ‘Jionee Mwenyewe Kombe la Fifa la Dunia’ katika hafla iliyofanyika kwenye kiwanda...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YATANGAZA WASHINDI WA MAKISATU, WASHINDI WA KWANZA KUJINYAKULIA KITITA CHA SH MILIONI TANO


Charles James, Michuzi TV

SERIKALI imetangaza washindi wa Mashindano ya Kitaifa ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu (MAKISATU) kwa Mwaka 2020 ambayo kilele chake kilifanyika Machi 16-18 mwaka huu katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma na mshindi wa kwanza kujinyakulia kitita cha Sh Milioni Tano.

Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma leo wakati wa kutangaza washindi hao kutoka kada mbalimbali pamoja na zawadi watakazopata, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bonite yamwaga runinga 41, tiketi ya Brazil

KAMPUNI ya vinywaji baridi jamii ya Coca-Cola, Bonite imekabidhi runinga mpya 41 aina ya Sony Led inchi 32 na tiketi moja ya kwenda kushuhudia ‘live’ mchezo wa fainali za Kombe...

 

10 years ago

BBCSwahili

Runinga 3 Kenya zimezima matangazo yao

Asilimia kubwa ya Wakenya wamesalia bila ya matangazo baada ya runinga tatu za kibinafsi kusitisha matangazo yao

 

10 years ago

BBCSwahili

Runinga zilizojizima Kenya kupigwa faini

Mamlaka ya mawasiliano nchini Kenya itavipiga faini vituo vya NTV,KTN,Citizen na QTV nchini Kenya kwa kuzima matangazo yao

 

9 years ago

BBCSwahili

Tangazo la Twitter kwenye runinga lakanganya

Tangazo la kwanza la mtandao wa kijamii wa Twitter kwenye runinga limewaacha baadhi ya watazamaji wa televisheni Marekani wakiwa wamekanganyikiwa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Runinga yatafuta msichana wa kuigiza Nicki Minaj

Kituo cha runinga cha ABC Family kimetangaza kwamba kitaandaa mahojiano mtandaoni kumtafuta msichana atakayemuigiza Nicki Minaj.

 

9 years ago

Bongo5

Mzee Chilo adai runinga zilisababisha kupotea tamthilia za nyumbani

Mzee Chilo akizungumza jambo na watoto

Msanii wa filamu, Mzee Chilo amedai wamiliki wa runinga nchini ndio waliosababisha kupotea kwa tamthilia za nyumbani kwa kuzikwepa na kuonesha za kigeni.

Mzee Chilo akizungumza jambo na watoto

Muigizaji huyo ambaye pia ni mmiliki wa kampuni ya Pilipili Entertainment, ameiambia Bongo5 kuwa hali hiyo imesababisha wazalishaji wa filamu nchini kukaa na kazi zao ndani bila kuwa na sehemu za kuzipeleka.

“Kilichopoteza tamthilia zetu ni runinga zetu, wakawa wanaamua kuonesha tamthilia za kigeni sijui kwao ndio zilikuwa rahisi?” amesema...

 

10 years ago

Mwananchi

Utafiti: Watoto wanaoangalia runinga mara nyingi wanaweza kuharibu ubongo

Kuangalia mara kwa mara televisheni kunaweza kubadilisha muundo wa ubongo wa mtoto na hivyo kumletea madhara, kulingana na utafiti mpya uliofanywa na wataalamu kutoka Chuo Kikuu cha Tohoku kilichopo katika Jiji la Sendai nchini Japan

 

9 years ago

Vijimambo

VIPINDI VYA MAMA MISITU UPANDE WA RUNINGA VYAZINDULIWA LEO JIJINI DAR

 Mgeni rasmi Kaimu Mkurugenzi wa Misitu na Nyuki kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii, Gladness Mkamba akizungumza na wadau wa maliasili pamoja na waandishi wa habari ,ambapo alisisitiza kulinda misitu kwani uvunaji umekuwa mkubwa nahivyo kupelekea ukame katika nchi yetu pia alisisitiza kutoa elimu kwa jamii inayozungukwa na misitu hiyo katika uzinduzi wa kampeni ya mfululizo wa vipindi vipya vya runinga pamoja na uzalishaji endelevu wa mkaa vitarushwa hewani kupitia televisheni mbalimbali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani