Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bonite yamwaga runinga 41, tiketi ya Brazil

KAMPUNI ya vinywaji baridi jamii ya Coca-Cola, Bonite imekabidhi runinga mpya 41 aina ya Sony Led inchi 32 na tiketi moja ya kwenda kushuhudia ‘live’ mchezo wa fainali za Kombe...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA BONITE BOTTLERS YAMWAGA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO MOSHI VIJIJINI

Meneja masoko na mauzo wa kampuni ya Bonite,Christopher Loiruk akikabidhi msaada wa sukari kilo 750 kwa mkuu wa wilaya ya Moshi,Novatus Makunga kwa ajili ya wananchi walioathirika na mafuriko katika vijiji vya Mikocheni,Kilungu na Chemi chemi.Meneja masoko na mauzo wa kampuni ya Bonite Bottlers Ltd ,Christopher Loiruk akikabidhi msaada wa maji zikiwa ni  katoni 500 kwa mkuu wa wilaya ya Moshi,Novatus Makunga kwa ajili ya wananchi walioathirika na mafuriko katika vijiji vya Mikocheni,Kilungu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Airtel yamwaga mamilioni, tiketi za Old Trafford ‘Mimi Bingwa’

KAMPUNI ya mawasiliano ya Airtel Tanzania imewazawadia wateja wake zaidi ya sh milioni 130 na kutoa tiketi 12 za safari iliyolipiwa kila kitu kwenda Old Trafford, Uingereza kupitia promosheni yake...

 

11 years ago

BBCSwahili

Washukiwa wa kashfa ya tiketi matatani Brazil

Watu 12 wamesimamishwa kazi kutokana na uuzaji haramu wa tiketi za kutazama mechi za kombe la Dunia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mkazi Nyegezi ajishindia tiketi kwenda Brazil

JASMEN Noah, mkazi wa Nyegezi jijini Mwanza, atakuwa mmoja wa maelfu ya mashabiki wa soka kutoka sehemu mbalimbali duniani wataokwenda Brazil kushuhudia ‘live’ kindumbwendumbwe cha michuano ya Kombe la Fifa...

 

11 years ago

CloudsFM

#BRAZUKA Mshindi wa tiketi ya kwenda Brazil kupitia Cloudsfm Radio

 

#BRAZUKA Mshindi wa tiketi ya kwenda Brazil kupitia Cloudsfm Radio Brazuka kampeni Dotto Madali akiwa ndani ya uwanja akiangalia mechi ya Jumamosi kati ya Iran vs Argentina....

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Tiketi mechi ya Ujerumani, Ufaransa yauzwa dola 1,000

Tiketi ya pambano la Ujerumani na Ufaransa yafika dola 1,000 katika soko la ulanguzi wa tiketi.

 

10 years ago

Habarileo

Majambazi waua wafanyakazi 2 Bonite, wapora mamilioni

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Godfrey KamwelaWAFANYAKAZI wawili wa kampuni ya vinywaji baridi ya Bonite Bottlers ya mjini Moshi mkoani Kilimanjaro, wamekufa kwa kupigwa risasi na majambazi mjini hapa.

 

10 years ago

TheCitizen

Attempts to rob Bonite of millions ‘started in 2004’

Attempts to waylay Bonite Bottlers Limited (BBL) workers and rob them millions of shillings started way back in 2004, The Citizen can reveal.

 

10 years ago

GPL

MAJAMBAZI WAUWA WAWILI NA KUPORA PESA ZA KAMPUNI YA BONITE MOSHI

Mlinzi wa Kampuni ya Bonite, aliyetambulika kwa jina la Shamba baada ya kupigwa risasi na majambazi mjini Moshi. Dereva wa Kampuni ya Bonite aliyetambulika kwa jina moja la Mselemu mara baada ya kushambuliwa kwa risasi na majambazi. ...wakiwa kwenye gari baada ya kushambuliwa kwa risasi na…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani