Mkazi Nyegezi ajishindia tiketi kwenda Brazil
JASMEN Noah, mkazi wa Nyegezi jijini Mwanza, atakuwa mmoja wa maelfu ya mashabiki wa soka kutoka sehemu mbalimbali duniani wataokwenda Brazil kushuhudia ‘live’ kindumbwendumbwe cha michuano ya Kombe la Fifa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM23 Jun
#BRAZUKA Mshindi wa tiketi ya kwenda Brazil kupitia Cloudsfm Radio
![](http://3.bp.blogspot.com/-xy7UTcgOoTY/U6gpOeYfvJI/AAAAAAAAFJM/hyUZj3YJjAg/s1600/photo3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-lGdaiK4SZAo/U6gpP875v8I/AAAAAAAAFJo/4hdMszdo1h4/s1600/photo5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Pnw9fIWWHuw/U6gpOhSIhSI/AAAAAAAAFJg/L9_323Hg0Do/s1600/photo1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iXOJsAvKI0Y/U6gpOtCO1RI/AAAAAAAAFJk/0kTshbEbuJ4/s1600/photo2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qXkXhhbaDTU/U6gpPpA_bcI/AAAAAAAAFJw/HPv6ASqggGQ/s1600/photo4.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aj8-zhJq6ng/Xq7flmVAx-I/AAAAAAAEG6E/kiGn057nfHkHfGzgQbrR63i9yDpuPHXXwCLcBGAsYHQ/s72-c/1ccfba33-71bc-4676-8dd9-7453d5ee54e3.jpg)
Mkazi wa Iringa ajishindia milioni 10 za Tusua Mapene na Vodacom
![](https://1.bp.blogspot.com/-aj8-zhJq6ng/Xq7flmVAx-I/AAAAAAAEG6E/kiGn057nfHkHfGzgQbrR63i9yDpuPHXXwCLcBGAsYHQ/s640/1ccfba33-71bc-4676-8dd9-7453d5ee54e3.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/994acbb8-151b-4cf6-825b-6e3a95e8baf6.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WhQWBqZ5_FI/VTN1F_GjPuI/AAAAAAAHR9w/rAilCeOPvgo/s72-c/unnamed%2B(56).jpg)
Mkazi wa Kawe jijini Dar ajishindia Kitita cha Tsh milioni 100 za Jaymillions
Mkazi wa Kawe jijijini Dar es Salaam Irene Mrema ameibuka kuwa mshindi wa kitita cha fedha taslimu shilingi milioni 100/- kupitia promosheni ya Jaymillions inayoendeshwa na Vodacom Tanzania. Mrema ambaye ni mfanyakazi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) amesema kuwa amefurahia ushindi huu na ana imani kitita alichojishindia kwa kiasi kikubwa kitayabadilisha maisha yake kuwa bora zaidi.”Nashukuru Mwenyezi Mungu kwa kuniona na nashukuru Vodacom kwa kuleta promosheni kwa ushindi huu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tmqA3rmqdgYgl3*MpUKOMv3aZvsf8-5t1wzdXKHToo4EVFQgQEPtueOaQsTRzPRKfSNvgDEXEm6Xi4hKPNmjmvI5Z9xIho3R/002.jpg?width=650)
MKAZI WA KAWE JIJINI DAR AJISHINDIA KITITA CHA TSH MILIONI 100 ZA JAYMILLIONS
Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu (Kulia) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati alipokuwa akimtangaza mshindi wa shilingi milioni 100Â mwishoni mwa wiki kupitia promosheni ya Jaymillions inayoendeshwa na kampuni hiyo, ambapo Irene Mrema mkazi wa Kawe jijini Dar es Salam(30) alijishindia kitita hicho.Kushoto ni Afisa Mwandamizi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Nchini Jehud...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-M2YOfsbXcR8/VHzBQBitshI/AAAAAAAG0pU/X3md2KVGeaE/s72-c/unnamed.jpg)
MKAZI wa Kijichi ajishindia nafasi ya kutembelea hifadhi ya wanyama ya Selous kupitia Ndovu Golden Experience
MKAZI wa Kijichi Jijini Dar es Salaam, Samson Marwa amejishindia nafasi ya kutembelea hifadhi ya wanyama ya Selous katika droo inayoendeshwa na bia ya Ndovu kupitia kampeini yake ya ‘Ndovu Golden Experience’.
Akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam jana, Meneja wa bia ya Ndovu Victoria Kimaro alisema, mshindi huyu ameibuka kidedea baada ya kuwagaragaza wenzake katika kampeini hiyo na kupata nafasi ya kwenda katika hiyo hifadhi na mtu mmoja.
Victoria alisema, lengo la kuanzisha...
Akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam jana, Meneja wa bia ya Ndovu Victoria Kimaro alisema, mshindi huyu ameibuka kidedea baada ya kuwagaragaza wenzake katika kampeini hiyo na kupata nafasi ya kwenda katika hiyo hifadhi na mtu mmoja.
Victoria alisema, lengo la kuanzisha...
11 years ago
Tanzania Daima23 May
Bonite yamwaga runinga 41, tiketi ya Brazil
KAMPUNI ya vinywaji baridi jamii ya Coca-Cola, Bonite imekabidhi runinga mpya 41 aina ya Sony Led inchi 32 na tiketi moja ya kwenda kushuhudia ‘live’ mchezo wa fainali za Kombe...
11 years ago
BBCSwahili10 Jul
Washukiwa wa kashfa ya tiketi matatani Brazil
Watu 12 wamesimamishwa kazi kutokana na uuzaji haramu wa tiketi za kutazama mechi za kombe la Dunia.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-uFQ6GwNeJ_Y/VFcUI904OyI/AAAAAAACSYQ/tyON7vN2Hh0/s72-c/05.jpg)
TOYOTA TANZANIA YAWATUNUKU WAFANYAKAZI WAKE BORA, MMOJA ALAMBA TIKETI YA KWENDA JAPAN
![](http://2.bp.blogspot.com/-uFQ6GwNeJ_Y/VFcUI904OyI/AAAAAAACSYQ/tyON7vN2Hh0/s1600/05.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0XntFLSh8OE/VFcUMpTr2TI/AAAAAAACSYY/xu9Wdfj4QOE/s1600/02.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cvBcmylWkq0/VFcUVItnDJI/AAAAAAACSYo/ki_6kKjUX5M/s1600/32.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Nov
TOYOTA Tanzania yawatunuku wafanyakazi wake bora, watatu walamba tiketi za kwenda Japan
![](http://2.bp.blogspot.com/-uFQ6GwNeJ_Y/VFcUI904OyI/AAAAAAACSYQ/tyON7vN2Hh0/s1600/05.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania