TOYOTA TANZANIA YAWATUNUKU WAFANYAKAZI WAKE BORA, MMOJA ALAMBA TIKETI YA KWENDA JAPAN

Meneja wa Karakana wa Kampuni ya Toyota Tanzania Ltd, Josee Alverace (kushoto) na Mwenyekiti wa Toyota Tanzania, Mahmoud Karimjee (katikati) wakimkabidhi zawadi mshindi wa kwanza wa jumla, Maria Robi wa Toyota Mwanza, wakati wa hafla maalum ya 12 ya kuwapongeza na kuwatunukia wafanyakazi bora wa mwaka 2014 wa Kampuni hiyo iliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye Ofisi za Toyota zilizopo Barabara ya Nyerere jijini Dar es Salaam.
Washindi wakipokea zawadi zao...wakati wa hafla hiyo....
Mgeni...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog04 Nov
TOYOTA Tanzania yawatunuku wafanyakazi wake bora, watatu walamba tiketi za kwenda Japan

11 years ago
GPL
TOYOTA TANZANIA YAWATUNUKU WAFANYAKAZI WAKE BORA
11 years ago
MichuziShirika la Posta Tanzania (TPC) lawatunuku Wafanyakazi wake bora
11 years ago
Michuzi
TOYOTA YAFANYA BONANZA MAALUMU LA KUWAPONGEZA WAFANYAKAZI WAKE, WANAUME WACHUANA KUKUNA NAZI


10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YASAINI MKATABA WA HALI BORA ZA WAFANYAKAZI WAKE
10 years ago
Michuzi
PPF YAWAPA TUZO WAFANYAKAZI WAKE BORA WA MWAKA 2014


10 years ago
Michuzi
VIONGOZI WA BENKI YA NBC WAPANGA MIKAKATI YA MAENDELEO MWAKA 2015 NA KUZAWADIA WAFANYAKAZI WAKE BORA


11 years ago
GPL
Kisiga alamba mwaka mmoja Simba
9 years ago
Michuzi
TASAF YATOA VYETI KWA WAFANYAKAZI WAKE BORA WA IDARA ZA TAASISI HIYO KWA MWAKA 2015.





Wataalamu waelekezi wakiwa katika picha ya pamoja na Menejimenti ya TASAF.
PICHAZ AIDI BOFYA HAPA