#BRAZUKA Mshindi wa tiketi ya kwenda Brazil kupitia Cloudsfm Radio
![](http://1.bp.blogspot.com/-lGdaiK4SZAo/U6gpP875v8I/AAAAAAAAFJo/4hdMszdo1h4/s1600/photo5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Pnw9fIWWHuw/U6gpOhSIhSI/AAAAAAAAFJg/L9_323Hg0Do/s1600/photo1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iXOJsAvKI0Y/U6gpOtCO1RI/AAAAAAAAFJk/0kTshbEbuJ4/s1600/photo2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qXkXhhbaDTU/U6gpPpA_bcI/AAAAAAAAFJw/HPv6ASqggGQ/s1600/photo4.jpg)
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima29 May
Mkazi Nyegezi ajishindia tiketi kwenda Brazil
JASMEN Noah, mkazi wa Nyegezi jijini Mwanza, atakuwa mmoja wa maelfu ya mashabiki wa soka kutoka sehemu mbalimbali duniani wataokwenda Brazil kushuhudia ‘live’ kindumbwendumbwe cha michuano ya Kombe la Fifa...
11 years ago
BBCSwahili14 May
Brazuka:Mpira utakaotumika Brazil
10 years ago
CloudsFM04 Apr
9 years ago
Bongo504 Nov
Shujaaz radio show na DJ Tee kuanza kuruka hewani kupitia East Africa Radio
![EAR - Online Promo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/EAR-Online-Promo-300x194.jpg)
Unamkumbuka yule dogo aliyeanzisha redio stesheni yake nyumbani kwao?
Bila shaka umewahi kusoma story yake kwenye kijarida cha kila mwezi kiitwacho SHUJAAZ ambacho husambazwa na gazeti la Mwanaspoti na vibanda vya Coca Cola.
Sasa hivi, dogo ana habari mpya na njema kwa vijana na wote wanaomfuatilia. Nyota imeanza kung’ara upande wake na sasa redio kubwa Tanzania EAST AFRICA RADIO imeamua kumpa nafasi aweze kusikika hewani na show yake mpya iitwayo SHUJAAZ.
“Show yangu itahusika na...
11 years ago
CloudsFM24 Jun
BAADA YA KUIBAMIZA CAMEROON, BRAZIL KUCHUANA NA CHILE JUMAMOSI #Brazuka
Baada ya jana kuibamiza timu ya Cameroon kwenye michuano ya kombe la dunia, timu ya Brazili ili kwenda mbele zaidi katika hatua ya robo fainali kunategemea na mechi yao dhidi ya Chile, mechi hiyo itachezewa jijini Belo Horizonte siku ya Jumamosi wakiwa na imani mpya ya kunyakua taji hilo.
11 years ago
CloudsFM25 Jun
KOCHA WA ITALIA AJIUZULU DAABA YA TIMU YAKE KUTUPWA NJE BRAZIL #Brazuka
uda mchache baada ya timu yake kuondolewa rasmi kwenye michuano ya kombe la dunia kwa kushindwa kufanya vyema katika mechi za makundi kwa mara ya pili mfululizo katika kombe la dunia, kocha Cesar Prandelli amefanya maamuzi magumu.Italia iliondolewa baada ya kufungwa kwa goli 1-0 na Uruguay katika mechi ya mwisho ya makundi.Baada ya mchezo Prandelli akiwa kwenye mkutano wa waandishi wa habari alitangaza kujiuzulu kuifundisha timu hiyo.“Nilichagua mfumo fulani wa ukufunzi na ndio sababu...
10 years ago
CloudsFM02 Apr
11 years ago
Tanzania Daima23 May
Bonite yamwaga runinga 41, tiketi ya Brazil
KAMPUNI ya vinywaji baridi jamii ya Coca-Cola, Bonite imekabidhi runinga mpya 41 aina ya Sony Led inchi 32 na tiketi moja ya kwenda kushuhudia ‘live’ mchezo wa fainali za Kombe...
11 years ago
BBCSwahili10 Jul
Washukiwa wa kashfa ya tiketi matatani Brazil