KOCHA WA ITALIA AJIUZULU DAABA YA TIMU YAKE KUTUPWA NJE BRAZIL #Brazuka
uda mchache baada ya timu yake kuondolewa rasmi kwenye michuano ya kombe la dunia kwa kushindwa kufanya vyema katika mechi za makundi kwa mara ya pili mfululizo katika kombe la dunia, kocha Cesar Prandelli amefanya maamuzi magumu.Italia iliondolewa baada ya kufungwa kwa goli 1-0 na Uruguay katika mechi ya mwisho ya makundi.Baada ya mchezo Prandelli akiwa kwenye mkutano wa waandishi wa habari alitangaza kujiuzulu kuifundisha timu hiyo.“Nilichagua mfumo fulani wa ukufunzi na ndio sababu...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo516 Aug
Antonio Conte kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ya Italia
11 years ago
BBCSwahili14 May
Brazuka:Mpira utakaotumika Brazil
10 years ago
Vijimambo28 Dec
LICHA YA KUTOKUWA NA MWENENDO MZURI KWENYE TIMU YAKE YA BWAWA LA MAINI KOCHA ASEMA
Balotelli haondoki ng'o, asema kocha
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/05/141205180304_mario_balotelli_racismo_640x360_pa_nocredit.jpg)
Mkufunzi wa Liverpool Brendan Rodgers amesema kuwa hana mipango ya kumuuza mshambuliaji wa kilabu hiyo Mario Baloteli wakati wa dirisha la uhamisho la mwezi Januari.
Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 24 na ambaye amefunga mabao mawili katika mechi 15 amehusishwa na uhamisho wa Inter Milan kulingana na gazeti dello Sport.
''Hicho si kitu nilichofikiria kufanya,kusema ukweli'', alisema Rodgers.
''Tumekuwa na mechi...
11 years ago
CloudsFM23 Jun
#BRAZUKA Mshindi wa tiketi ya kwenda Brazil kupitia Cloudsfm Radio
![](http://3.bp.blogspot.com/-xy7UTcgOoTY/U6gpOeYfvJI/AAAAAAAAFJM/hyUZj3YJjAg/s1600/photo3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-lGdaiK4SZAo/U6gpP875v8I/AAAAAAAAFJo/4hdMszdo1h4/s1600/photo5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Pnw9fIWWHuw/U6gpOhSIhSI/AAAAAAAAFJg/L9_323Hg0Do/s1600/photo1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iXOJsAvKI0Y/U6gpOtCO1RI/AAAAAAAAFJk/0kTshbEbuJ4/s1600/photo2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qXkXhhbaDTU/U6gpPpA_bcI/AAAAAAAAFJw/HPv6ASqggGQ/s1600/photo4.jpg)
11 years ago
CloudsFM24 Jun
BAADA YA KUIBAMIZA CAMEROON, BRAZIL KUCHUANA NA CHILE JUMAMOSI #Brazuka
Baada ya jana kuibamiza timu ya Cameroon kwenye michuano ya kombe la dunia, timu ya Brazili ili kwenda mbele zaidi katika hatua ya robo fainali kunategemea na mechi yao dhidi ya Chile, mechi hiyo itachezewa jijini Belo Horizonte siku ya Jumamosi wakiwa na imani mpya ya kunyakua taji hilo.
5 years ago
BBCSwahili23 Jun
Wafanyakazi wahamiaji walalamikia kutupwa nje ya ubalozi wa Ethiopia mjini Beirut
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Brazil 2014: Capello ndiye kocha anayelipwa mshahara mnono zaidi Brazil
11 years ago
BBCSwahili07 Jul
Kocha wa Algeria ajiuzulu