Antonio Conte kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ya Italia
Rais wa shirikisho la mpira wa miguu la Italia, Carlo Tavecchio amempendekeza aliyekuwa kocha wa zamani wa Juventus, Antonio Conte kuwa kocha wa timu ya taifa ya Italia. Kocha huyo amewahi kushinda mataji matatu ya Serie A akiwa na Juventus. Conte atachukua nafasi ya Cesare Prandelli, aliyejiuzulu baada ya Italia kutolewa na Uruguay kwenye Kombe […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo527 Oct
Rigobert Song ateuliwa kuwa kocha wa timu ya taifa ya Chad
11 years ago
CloudsFM25 Jun
KOCHA WA ITALIA AJIUZULU DAABA YA TIMU YAKE KUTUPWA NJE BRAZIL #Brazuka
uda mchache baada ya timu yake kuondolewa rasmi kwenye michuano ya kombe la dunia kwa kushindwa kufanya vyema katika mechi za makundi kwa mara ya pili mfululizo katika kombe la dunia, kocha Cesar Prandelli amefanya maamuzi magumu.Italia iliondolewa baada ya kufungwa kwa goli 1-0 na Uruguay katika mechi ya mwisho ya makundi.Baada ya mchezo Prandelli akiwa kwenye mkutano wa waandishi wa habari alitangaza kujiuzulu kuifundisha timu hiyo.“Nilichagua mfumo fulani wa ukufunzi na ndio sababu...
11 years ago
GPL
Milovan awa kocha wa timu ya taifa
10 years ago
Vijimambo
KOCHA MKWASA AITA 26 TIMU YA TAIFA STARS

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI - RELEASE NO. 104
TAREHE 24 JUNI 2015
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania (TFF), Mwesigwa Selestine leo amemtambuisha kocha mpya wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Charles Boniface Mkwasa mbele ya waandishi wa habari.
Akiongea na waandishi wa habari, Mwesigwa amewaomba wadau wa mpira wa miguu nchini kuwapa sapoti makocha hao wazawa wanaoanza kazi...
10 years ago
BBCSwahili27 Oct
Song ateuliwa kocha wa timu ya taifa Chad
10 years ago
Bongo509 Sep
Kocha wa Togo amtema Adebayor kwenye timu ya taifa
10 years ago
Bongo505 Sep
Arturo Vidal afukuzwa na kocha wa timu ya taifa ya Chile kwa ulevi
10 years ago
Vijimambo19 Jun
Kocha timu ya taifa aomba kujiuzulu, Malinzi amkubalia ombi lake

Mohammed Mdose na Said Ally
KOCHA wa timu ya taifa ya Tanzania kwa vijana chini ya miaka 15, Adolf Rishard, ameliandikia barua Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuomba kujiuzulu nafasi hiyo.
Adolf aliteuliwa na TFF miezi kadhaa iliyopita kuinoa timu hiyo ambayo imepangiwa mikakati maalumu ili iweze kukata tiketi ya kushiriki michuano ya vijana chini ya miaka 17 (U-17) itakayofanyika nchini Madagascar, mwaka 2017.
Adolf amesema...