Milovan awa kocha wa timu ya taifa
![](http://api.ning.com:80/files/RnVdzGQ*fcIezKNj4s2GwZTnTt68yQJJ*Uzkw-R0ib41qljU1RkC28nN30359nILZRpLgHB6fFl6205cS2lVmu4hg6FvPnoc/MILOVAN.jpg?width=650)
Kocha wa zamani wa Simba, Milovan Cirkovic. Na Mwandishi Wetu KOCHA wa zamani wa Simba, Milovan Cirkovic ameula baada ya kupata ajira mpya ya kocha msaidizi wa timu ya taifa ya Myanmar. Juzi kulikuwa na sherehe maalum iliyofanywa na Shirikisho la Soka la Myanmar (MFF) kuwakaribisha makocha wote na benchi zima la ufundi akiwemo Milovan. Akizungumza na Championi Ijumaa, kutoka Myanmar Milovan amesema ameingia mkataba wa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-b9ZAk_HHaPY/VYqYeIf4p-I/AAAAAAAHjWU/425CC5N9fxw/s72-c/Kocha%2BMkwasa%2B%2528kushoto%2529%2Bna%2Bmsaidizi%2Bwake%2BHemed%2BMorocco%2Bwakiongea%2Bna%2Bwaandishi%2Bwa%2Bhabari.jpg)
KOCHA MKWASA AITA 26 TIMU YA TAIFA STARS
![](http://1.bp.blogspot.com/-b9ZAk_HHaPY/VYqYeIf4p-I/AAAAAAAHjWU/425CC5N9fxw/s640/Kocha%2BMkwasa%2B%2528kushoto%2529%2Bna%2Bmsaidizi%2Bwake%2BHemed%2BMorocco%2Bwakiongea%2Bna%2Bwaandishi%2Bwa%2Bhabari.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI - RELEASE NO. 104
TAREHE 24 JUNI 2015
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania (TFF), Mwesigwa Selestine leo amemtambuisha kocha mpya wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Charles Boniface Mkwasa mbele ya waandishi wa habari.
Akiongea na waandishi wa habari, Mwesigwa amewaomba wadau wa mpira wa miguu nchini kuwapa sapoti makocha hao wazawa wanaoanza kazi...
9 years ago
BBCSwahili27 Oct
Song ateuliwa kocha wa timu ya taifa Chad
9 years ago
Bongo509 Sep
Kocha wa Togo amtema Adebayor kwenye timu ya taifa
10 years ago
Bongo516 Aug
Antonio Conte kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ya Italia
9 years ago
Bongo527 Oct
Rigobert Song ateuliwa kuwa kocha wa timu ya taifa ya Chad
10 years ago
Vijimambo19 Jun
Kocha timu ya taifa aomba kujiuzulu, Malinzi amkubalia ombi lake
![](http://api.ning.com/files/pX4h1nu50oHB9hVxfQb6O8OhbZIkAr8sfpJNh8BbKAbmyS*ZmCVHk-JmtXFr6h2uzlEXbPdhF5rIGGjJ69URR7xnSjjOXS33/malinzi11.jpg?width=650)
Mohammed Mdose na Said Ally
KOCHA wa timu ya taifa ya Tanzania kwa vijana chini ya miaka 15, Adolf Rishard, ameliandikia barua Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuomba kujiuzulu nafasi hiyo.
Adolf aliteuliwa na TFF miezi kadhaa iliyopita kuinoa timu hiyo ambayo imepangiwa mikakati maalumu ili iweze kukata tiketi ya kushiriki michuano ya vijana chini ya miaka 17 (U-17) itakayofanyika nchini Madagascar, mwaka 2017.
Adolf amesema...
9 years ago
Bongo505 Sep
Arturo Vidal afukuzwa na kocha wa timu ya taifa ya Chile kwa ulevi
10 years ago
BBCSwahili21 Jun
Nyambui awa kocha wa riadha - Brunei