Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyambui awa kocha wa riadha - Brunei

Mshindi wa zamani wa medali ya fedha ya michuano ya Olimpiki, Suleiman Nyambui amepata kazi ya kuwa kocha mkuu wa Brunei.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Nyambui alilia riadha ifufuke upya nchini

MKURUGENZI wa Masoko wa Isere Sports, Abbas Ally Isere akionesha jezi zitakazotumiwa na wanariadha ikiwa ni makubaliano ya Kampuni yake kuagiza vifaa vya riadha na kuviuza kwa bei ya chini
==============================MAOFISA michezo na Maofisa Elimu wa mikoa ya Tanzania wameombwa kushirikiana na wenyeviti wa mchezo wa riadha kufufua mchezo huo kutoka ngazi ya shule za msingi na Sekondari.
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Suleiman Nyambui  (picha ndogo) akizungumza katika...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Kocha bora ataibeba riadha’

Mwanariadha wa zamani, Juma Ikangaa amesema kikosi cha timu ya taifa cha riadha kilichoteuliwa kwa ajili ya Michezo ya Jumuiya ya Madola itakayofanyika Glasgow, Scotland kitakuwa na tija kama watafundishwa na kocha mwenye upeo.

 

11 years ago

Mwananchi

Chama cha Riadha lazima kiajiri kocha

Riadha ni mchezo ambao umewahi kuiletea nchi medali nyingi kwenye michezo mbalimbali ya kimataifa, ikiwamo Michezo ya Jumuiya ya Madola, Olimpiki na ya Afrika. Mchezo mwingine uliowahi kuleta medali ni ngumi.

 

9 years ago

Mtanzania

Eto’o awa kocha mpya Antalyaspor

etooISTANBUL, UTURUKI

NYOTA wa zamani wa klabu ya Barcelona na timu ya taifa ya Cameroon, Samuel Eto’o, ameteuliwa kuwa kocha wa muda wa klabu ya Antalyaspor ambayo inashiriki ligi ya nchini Uturuki.

Nyota huyo alijiunga na klabu hiyo Juni, mwaka huu, akiwa kama mchezaji wa kawaida, lakini kwa sasa amepewa nafasi ya kuwa kocha mkuu wa muda akichukua nafasi ya kocha Yusuf Simsek.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 34, ambaye aliwahi kukipiga katika klabu ya Chelsea, alisaini mkataba wa miaka...

 

11 years ago

GPL

Milovan awa kocha wa timu ya taifa

Kocha wa zamani wa Simba, Milovan Cirkovic. Na Mwandishi Wetu
KOCHA wa zamani wa Simba, Milovan Cirkovic ameula baada ya kupata ajira mpya ya kocha msaidizi wa timu ya taifa ya Myanmar. Juzi kulikuwa na sherehe maalum iliyofanywa na Shirikisho la Soka la Myanmar (MFF) kuwakaribisha makocha wote na benchi zima la ufundi akiwemo Milovan. Akizungumza na Championi Ijumaa, kutoka Myanmar Milovan amesema ameingia mkataba wa...

 

9 years ago

Bongo5

Sam Allardyce awa kocha mpya wa Sunderland

Klabu ya Sunderland nchini Uingereza imemteua Sam Allardyce kuwa kocha mpya wa timu hiyo kwa mkataba wa kipindi cha miaka miwili. Aliyekuwa kocha Dick Advocaate alijiuzulu kuifundisha klabu hiyo na kuiacha ikiwa haijashinda mechi yoyote kati ya mechi nane ilizocheza. Timu hiyo ipo katika nafasi ya pili kutoka mwisho wa jedwali la ligi ya Uingereza. […]

 

10 years ago

Michuzi

KLABU YA MICHEZO YA RIADHA YA DAR ES SALAAM ‘DAR RUNNING CLUB’ YAANDAA MASHINDANO YA RIADHA YA MARATHON 02 MAY 2015

Klabu ya michezo ya riadha ya Dar Es Salaam “Dar Running Club” (DRC) imeandaa mashindano  ya  mbio yajulikananyo kama “Mayday marathon” yatakayofanyika tarehe 02Mei 2015 yatakayoanza na kumalizika katika viwanja vya Bwalo la Maofisa wa Polisi Oysterbay (Police Officers Mess). Mgeni rasmi atakuwa ni Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania  Inspekta Generali wa Police Ernest Jumbe Mangu (IGP).
Akizungumza na waandishi wa habari Mlezi wa Klabu ya DRC Mkuu wa mkoa wa kipolisi wa Kinondoni bwana Camillus...

 

10 years ago

Vijimambo

Sultan of Brunei's son celebrates wedding with mind-boggling splendour

The enthronement ceremony of Prince Abdul Malik, 31, and Dayangku Raabi'atul 'Adawiyyah Pengiran Haji Bolkiah, 22, took place in the lavish settings of 1,788-room palace, Istana Nural Iman in BruneiThe happy couple: The bride clutches a bouquet of crystal flowers, and sports a breathtaking three-piece jewellery set, with sizable emeralds
The son of the Sultan of Brunei, one of the world's richest men, has wed bride Dayangku Raabi'atul 'Adawiyyah Pengiran Haji Bolkiah in a spectacular ceremony...

 

10 years ago

Michuzi

Dkt. Aziz Ponary Mlima awasilisha Hati za Utambulisho kwa Sultan wa Brunei Darussalam.

 Balozi wa Tanzania nchini Malaysia Dkt. Aziz Ponary Mlima akiwasilisha Hati za Utambulisho kwa Sultani wa Brunei Mheshimiwa Haji Hassanal Bolkiah Mu'izzaddin Waddaulah Ibin Al-Marhum Sultan Haji Omar 'Ali Saifuddien Sa'adul Khairi Waddien ambaye ni Sultan na Mtawala wa Brunei Darussalam, Kwa ufupi hii ni moja ya nchi zenye watu wachache, utajiri mkubwa wa mafuta na kiwango kizuri cha maisha ya wananchi wake wenye kipato cha wastani cha USD 43,000 kwa mwaka. Pato la taifa na uchumi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani