‘Kocha bora ataibeba riadha’
Mwanariadha wa zamani, Juma Ikangaa amesema kikosi cha timu ya taifa cha riadha kilichoteuliwa kwa ajili ya Michezo ya Jumuiya ya Madola itakayofanyika Glasgow, Scotland kitakuwa na tija kama watafundishwa na kocha mwenye upeo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili21 Jun
Nyambui awa kocha wa riadha - Brunei
Mshindi wa zamani wa medali ya fedha ya michuano ya Olimpiki, Suleiman Nyambui amepata kazi ya kuwa kocha mkuu wa Brunei.
11 years ago
Mwananchi26 May
Chama cha Riadha lazima kiajiri kocha
Riadha ni mchezo ambao umewahi kuiletea nchi medali nyingi kwenye michezo mbalimbali ya kimataifa, ikiwamo Michezo ya Jumuiya ya Madola, Olimpiki na ya Afrika. Mchezo mwingine uliowahi kuleta medali ni ngumi.
11 years ago
Tanzania Daima29 May
Mwambusi Kocha Bora 2013/14
KOCHA wa timu ya Mbeya City, Juma Mwambusi, ameibuka Kocha Bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara iliyofikia tamati Aprili 19, mwaka huu. Kwa ushindi huo, Mwambusi alijitwalia kitita cha sh...
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Tunatarajia TFF itatuletea kocha bora
Michezo ni kitu muhimu sehemu yoyote duniani katika maisha ya jamii ya binadamu na inasaidia kwa kiasi kikubwa katika maendeleo ya nchi mbalimbali., pia husaidia kujenga urafiki, mshikamano na uumoja wa kitaifa kwa taifa lolote lile.
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Phiri: Mimi bado kocha bora
Kocha wa Simba, Patrick Phiri amesema yeye ni kocha bora licha ya timu yake kupata sare sita msimu huu na kama atafukuzwa, basi ni kwa utashi wa viongozi wa klabu hiyo.
10 years ago
BBCSwahili13 Jan
Kocha bora wa dunia ataka mabadiliko
Kocha wa ujeruman Joachim Low ambae ameteuliwa kuwa kocha bora wa mwaka 2014 ametaka mabadiliko kwenye soka.
10 years ago
BBCSwahili17 Dec
Vaan atwaa tuzo ya kocha bora- holland
Louis van Gaal ameteuliwa kuwa kocha bora wa mwaka baada ya kufika nusu fainali ya michuano ya kombe la dunia nchi Brazil.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-veB6RlxRkT0/VUIxV4_cSaI/AAAAAAAHUSY/CxpI7HjVtIA/s72-c/New%2BPicture.png)
KLABU YA MICHEZO YA RIADHA YA DAR ES SALAAM ‘DAR RUNNING CLUB’ YAANDAA MASHINDANO YA RIADHA YA MARATHON 02 MAY 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-veB6RlxRkT0/VUIxV4_cSaI/AAAAAAAHUSY/CxpI7HjVtIA/s1600/New%2BPicture.png)
Akizungumza na waandishi wa habari Mlezi wa Klabu ya DRC Mkuu wa mkoa wa kipolisi wa Kinondoni bwana Camillus...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania