Tunatarajia TFF itatuletea kocha bora
Michezo ni kitu muhimu sehemu yoyote duniani katika maisha ya jamii ya binadamu na inasaidia kwa kiasi kikubwa katika maendeleo ya nchi mbalimbali., pia husaidia kujenga urafiki, mshikamano na uumoja wa kitaifa kwa taifa lolote lile.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili27 Feb
TFF yasitisha mkataba wa kocha wake
Shirikisho la Kabumbu nchini Tanzania TFF limetangaza kuvunja mkataba wake na Kocha mkuu wa Timu ya taifa ya soka
10 years ago
Mwananchi24 May
Kocha Nooij ajiweka njiapanda TFF
Timu ya Taifa ya soka, Taifa Stars, sasa ndiyo habari ya mjini. Kufanya vibaya kwa timu hiyo kwenye Mashindano ya Nchi za Kusini mwa Afrika (Cosafa) ilikoalikwa, kumewafanya wadau wa soka nchini kuiponda, wengine wakitupa lawama kwa kocha Mart Ignatius Nooij, wakitaka afukuzwe.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RnVdzGQ*fcLql8N3j0wJonCW*hdGSPvxsRi6BWzBvJccai2HtjlQbZ4s0mNAH1O9jmpE4tQqqRWaM5UeS0YC-9gkNw5qzC7G/KOCHAYANGA.jpg?width=559)
Kocha Yanga ashtakiwa TFF, adaiwa Sh mil 15
Kocha wa Yanga, Charles Mkwasa. Na Nicodemus Jonas
UONGOZI wa Klabu ya Ruvu Shooting, umepeleka barua kwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kumshtaki Kocha wa Yanga, Charles Mkwasa, wakitaka TFF imkumbushe kuhusu deni analodaiwa. Uongozi wa Ruvu Shooting umesema deni hilo la Sh 15m analotakiwa kuilipa klabu hiyo, linatokana na kuvunja mkataba wake wa kuifundisha timu hiyo katika raundi ya pili ya Ligi Kuu Bara. Ofisa Habari...
9 years ago
Mwananchi21 Sep
Kocha wa Stars, TFF fikirieni Kombe la Dunia 2018
Mwezi ujao, timu yetu ya soka ya Taifa, ‘Taifa Stars’ inatarajiwa kuikabili Malawi au The Flames katika mchezo wa awali wa kusaka tiketi ya kushiriki Fainali za Kombe la Dunia mwaka 2018 nchini Russia.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HkwNCv-6bF8/Uw9OXo9WOsI/AAAAAAAFQB4/zZE8kOCaORw/s72-c/TanzaniaFootballFederation.jpg)
TFF YAVUNJA MKATABA NA KOCHA KIM POULSEN KWA MAKUBALIANO
![](http://3.bp.blogspot.com/-HkwNCv-6bF8/Uw9OXo9WOsI/AAAAAAAFQB4/zZE8kOCaORw/s1600/TanzaniaFootballFederation.jpg)
Uamuzi huo umetangazwa leo (Februari 27 mwaka huu) jijini Dar es Salaam kwa pamoja na Rais wa TFF, Jamal Malinzi na Kocha Poulsen mbele ya waandishi wa habari.
Rais Malinzi kwa niaba ya TFF ametoa shukrani za dhati kwa Kocha Poulsen kwa ushirikiano na mchango ambao ameutoa kwa Tanzania kuanzia kwenye mpira wa miguu wa...
11 years ago
Mwananchi10 Mar
‘Kocha bora ataibeba riadha’
Mwanariadha wa zamani, Juma Ikangaa amesema kikosi cha timu ya taifa cha riadha kilichoteuliwa kwa ajili ya Michezo ya Jumuiya ya Madola itakayofanyika Glasgow, Scotland kitakuwa na tija kama watafundishwa na kocha mwenye upeo.
11 years ago
Tanzania Daima29 May
Mwambusi Kocha Bora 2013/14
KOCHA wa timu ya Mbeya City, Juma Mwambusi, ameibuka Kocha Bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara iliyofikia tamati Aprili 19, mwaka huu. Kwa ushindi huo, Mwambusi alijitwalia kitita cha sh...
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Phiri: Mimi bado kocha bora
Kocha wa Simba, Patrick Phiri amesema yeye ni kocha bora licha ya timu yake kupata sare sita msimu huu na kama atafukuzwa, basi ni kwa utashi wa viongozi wa klabu hiyo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania