TFF YAVUNJA MKATABA NA KOCHA KIM POULSEN KWA MAKUBALIANO

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na Kocha wa Taifa Stars, Kim Poulsen wamekubaliana kuvunja mkataba katika makubaliano ambayo ni siri kwa pande zote mbili.
Uamuzi huo umetangazwa leo (Februari 27 mwaka huu) jijini Dar es Salaam kwa pamoja na Rais wa TFF, Jamal Malinzi na Kocha Poulsen mbele ya waandishi wa habari.
Rais Malinzi kwa niaba ya TFF ametoa shukrani za dhati kwa Kocha Poulsen kwa ushirikiano na mchango ambao ameutoa kwa Tanzania kuanzia kwenye mpira wa miguu wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
Kim Poulsen kocha mpya Simba
11 years ago
GPL
TFF, POULSEN WAKUBALIANA KUVUNJA MKATABA
11 years ago
BBCSwahili27 Feb
TFF yasitisha mkataba wa kocha wake
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Kim Poulsen aishauri Azam FC
11 years ago
Mwananchi13 Dec
Kim Poulsen: Tumetimiza malengo Chalenji
10 years ago
GPL
Kim Poulsen... afunguka kuhusu Simba
11 years ago
Mwananchi23 Jul
TPDC iseme kwa nini makubaliano ni tofauti na mkataba elekezi?
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Chadema ‘yavunja’ makubaliano Ukawa
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Yanga yavunja mkataba na Niyonzima
