Kim Poulsen: Tumetimiza malengo Chalenji
Kocha wa Kilimanjaro Stars, Kim Poulsen amejitetea kwamba hajafeli kwa kushindwa kutwaa Chalenji bali alikuja Kenya kwa mambo matatu ikiwemo kucheza mechi sita za kirafiki.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Kim Poulsen aishauri Azam FC
Kocha wa Taifa Stars, Kim Poulsen amesema amefurahishwa na ushindi iliopata Azam dhidi ya Ferroviario ya Msumbuji, lakini ameitaka ifanye maandalizi ya maana kabla ya pambano la marudiano.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fDK7wGavSSVdGwMD50QWau5uThA8732Y3IoMw8oombY*hQCTenTjp9pMbhiguy9RpFbKFBO5jfMemHrwTCuCTmtT2OAJtDn7/kim.jpg)
Kim Poulsen kocha mpya Simba
Kim Polusen raia wa Denmark. Na Ezekiel Kitula
SIMBA imeamua kufanya mabadiliko kwa kumtwaa kocha Kim Polusen raia wa Denmark katika nafasi ya Mzambia, Patrick Phiri.Simba imeingia kwenye harakati za kumng’oa Phiri ambaye ameiongoza Simba katika mechi sita tu za Ligi Kuu Bara na zote ametoka sare. Simba imefunga mabao sita, imefungwa sita na ina pointi sita. Mdenishi Poulsen ambaye yuko kwao nchini Denmark baada ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGhElR6a555u53xYD7LS9Zb*mZ34cyu64XjwjZTGJAbds7CmDjt9894U9qPjOCCtEPCa3GrKssnfnes*oWPZ5g9r/kim.jpg?width=650)
Kim Poulsen... afunguka kuhusu Simba
Kocha Kim Poulsen. Na Saleh Ally
KOCHA Kim Poulsen amefunguka kwa mara ya kwanza na kuweka wazi kuwa amefanya mazungumzo na Simba.Poulsen raia wa Denmark, amefanya mahojiano maalum na Championi Jumatano, jana mchana na kusema anaangalia kati ya ofa mbili, moja ya Simba na pili kwao Denmark na bado hajafikia uamuzi sahihi. Awali, gazeti hili liliandika kuhusiana na ujio wa Poulsen aliyewahi kuinoa Taifa Stars, anayekuja...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HkwNCv-6bF8/Uw9OXo9WOsI/AAAAAAAFQB4/zZE8kOCaORw/s72-c/TanzaniaFootballFederation.jpg)
TFF YAVUNJA MKATABA NA KOCHA KIM POULSEN KWA MAKUBALIANO
![](http://3.bp.blogspot.com/-HkwNCv-6bF8/Uw9OXo9WOsI/AAAAAAAFQB4/zZE8kOCaORw/s1600/TanzaniaFootballFederation.jpg)
Uamuzi huo umetangazwa leo (Februari 27 mwaka huu) jijini Dar es Salaam kwa pamoja na Rais wa TFF, Jamal Malinzi na Kocha Poulsen mbele ya waandishi wa habari.
Rais Malinzi kwa niaba ya TFF ametoa shukrani za dhati kwa Kocha Poulsen kwa ushirikiano na mchango ambao ameutoa kwa Tanzania kuanzia kwenye mpira wa miguu wa...
5 years ago
BBCSwahili10 May
Kim Jong-un: Kutoweka kwake, siasa ya kimataifa, malengo yake na jeshi la Korea Kaskazini
Katika siku za hivi karubuni kiongozi huyo wa Korea kaskzini alitoweka katika maeneo ya umma kwa siku 20 na kukosa sherehe za kuadhimisha siku ya kuzaliwa ya babu yake - ikiwa ni sherehe kubwa mwaka huu.
5 years ago
BBCSwahili30 Apr
Kim Jong-un: Ni nani anayeweza kuiongoza Korea Kaskazini bila Kim?
Dada wa ajabu na mpelelezi mkuu ni washindani , huku tetesi zikishamiri juu ya afya ya Kim Jong-un.
11 years ago
TheCitizen01 Mar
will whoever replaces Poulsen fare better ?
Kim Poulsen had prepared a programme for the Africa Cup of Nations, but his plans were ultimately stillborn. He lost his job on Thursday. Sacking of coaches is commonplace.
5 years ago
BBCSwahili17 Jun
Kim Yo-jong: Mwanamke mwenye uwezo mkubwa anayeonekana kuwa mrithi wa Kim Jong-un Korea Kaskazini
Uhusiano wa karibu na nduguye na majukumu yake makubwa katika ngazi za kisiasa yamemfanya kuangaziwa tena mwezi Aprili 2020 katika kipindi ambapo Kim Jong un alitoweka katika hafla za umma
11 years ago
TheCitizen11 Feb
Poulsen salutes Azam after Ferroviario win
Taifa Stars head coach, Kim Poulsen has hailed Azam FC following their victory against Ferroviario of Mozambique on Sunday.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania