Kim Poulsen aishauri Azam FC
Kocha wa Taifa Stars, Kim Poulsen amesema amefurahishwa na ushindi iliopata Azam dhidi ya Ferroviario ya Msumbuji, lakini ameitaka ifanye maandalizi ya maana kabla ya pambano la marudiano.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fDK7wGavSSVdGwMD50QWau5uThA8732Y3IoMw8oombY*hQCTenTjp9pMbhiguy9RpFbKFBO5jfMemHrwTCuCTmtT2OAJtDn7/kim.jpg)
Kim Poulsen kocha mpya Simba
Kim Polusen raia wa Denmark. Na Ezekiel Kitula
SIMBA imeamua kufanya mabadiliko kwa kumtwaa kocha Kim Polusen raia wa Denmark katika nafasi ya Mzambia, Patrick Phiri.Simba imeingia kwenye harakati za kumng’oa Phiri ambaye ameiongoza Simba katika mechi sita tu za Ligi Kuu Bara na zote ametoka sare. Simba imefunga mabao sita, imefungwa sita na ina pointi sita. Mdenishi Poulsen ambaye yuko kwao nchini Denmark baada ya...
11 years ago
Mwananchi13 Dec
Kim Poulsen: Tumetimiza malengo Chalenji
Kocha wa Kilimanjaro Stars, Kim Poulsen amejitetea kwamba hajafeli kwa kushindwa kutwaa Chalenji bali alikuja Kenya kwa mambo matatu ikiwemo kucheza mechi sita za kirafiki.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGhElR6a555u53xYD7LS9Zb*mZ34cyu64XjwjZTGJAbds7CmDjt9894U9qPjOCCtEPCa3GrKssnfnes*oWPZ5g9r/kim.jpg?width=650)
Kim Poulsen... afunguka kuhusu Simba
Kocha Kim Poulsen. Na Saleh Ally
KOCHA Kim Poulsen amefunguka kwa mara ya kwanza na kuweka wazi kuwa amefanya mazungumzo na Simba.Poulsen raia wa Denmark, amefanya mahojiano maalum na Championi Jumatano, jana mchana na kusema anaangalia kati ya ofa mbili, moja ya Simba na pili kwao Denmark na bado hajafikia uamuzi sahihi. Awali, gazeti hili liliandika kuhusiana na ujio wa Poulsen aliyewahi kuinoa Taifa Stars, anayekuja...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HkwNCv-6bF8/Uw9OXo9WOsI/AAAAAAAFQB4/zZE8kOCaORw/s72-c/TanzaniaFootballFederation.jpg)
TFF YAVUNJA MKATABA NA KOCHA KIM POULSEN KWA MAKUBALIANO
![](http://3.bp.blogspot.com/-HkwNCv-6bF8/Uw9OXo9WOsI/AAAAAAAFQB4/zZE8kOCaORw/s1600/TanzaniaFootballFederation.jpg)
Uamuzi huo umetangazwa leo (Februari 27 mwaka huu) jijini Dar es Salaam kwa pamoja na Rais wa TFF, Jamal Malinzi na Kocha Poulsen mbele ya waandishi wa habari.
Rais Malinzi kwa niaba ya TFF ametoa shukrani za dhati kwa Kocha Poulsen kwa ushirikiano na mchango ambao ameutoa kwa Tanzania kuanzia kwenye mpira wa miguu wa...
11 years ago
TheCitizen11 Feb
Poulsen salutes Azam after Ferroviario win
Taifa Stars head coach, Kim Poulsen has hailed Azam FC following their victory against Ferroviario of Mozambique on Sunday.
10 years ago
Mwananchi28 May
Kim anukia Simba, Hall atua Azam
Dar es Salaam. Wakati Simba ikiendelea na mchakato wa kusaka kocha mpya na majina ya makocha saba yakitajwa, kocha wa zamani wa Taifa Stars, Kim Poulsen akipewa nafasi kubwa ya kupewa kibarua hicho, Azam imetangaza kumrejesha Stewart Hall kuwa kocha mpya.
5 years ago
BBCSwahili30 Apr
Kim Jong-un: Ni nani anayeweza kuiongoza Korea Kaskazini bila Kim?
Dada wa ajabu na mpelelezi mkuu ni washindani , huku tetesi zikishamiri juu ya afya ya Kim Jong-un.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9wY6nHswW4mE0O42aN00mwbF8YR0xc*EQTzfRIUzDz4S*mpPe60sBfnd-R0-6YurSevmQKGAzt*JTRwawskjiODc7jUI4ht/dkcheni.jpg?width=650)
DK. CHENI AISHAURI BODI YA FILAMU
Stori: Mayasa Mariwata DK. Cheni ambaye jina lake halisi ni Mahsein Awadh ameibuka na kuishauri Bodi ya Filamu Tanzania kuangalia wazo la msanii na ujumbe anaotaka kuufikisha kwenye jamii kabla ya kuifungia. Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Msanii wa filamu za Kibongo Mahsein Awadh 'Dk. Cheni'.
Akipiga stori na Stori Mix, Dk. Cheni alisema amekubali kubadilisha baadhi ya vipande vya Filamu ya Shoga kama...
11 years ago
Mwananchi29 May
Waziri Kigoda aishauri PPF
Waziri wa Viwanda, Biashara na Masoko, Dk Abdallah Kigoda amewaagiza viongozi wa mfuko wa pensheni wa PPF kuongeza mbinu za kujitangaza kwa wananchi ili waweze kujiunga na kunufaika na mafao yake kwani uzoefu wake ni wa tangu mwaka 1978.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania