Kim anukia Simba, Hall atua Azam
Dar es Salaam. Wakati Simba ikiendelea na mchakato wa kusaka kocha mpya na majina ya makocha saba yakitajwa, kocha wa zamani wa Taifa Stars, Kim Poulsen akipewa nafasi kubwa ya kupewa kibarua hicho, Azam imetangaza kumrejesha Stewart Hall kuwa kocha mpya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Aug
Balotelli wa Azam anukia Simba
KAMATI ya Usajili ya Klabu ya Simba iko katika harakati za kimya kimya za kumrejesha kikosini nyota wake wa zamani, Jamil Mchaulu ‘Balotelli’ anayekichezea kikosi cha Azam FC cha vijana...
9 years ago
Mtanzania07 Dec
Azam yaifungia kazi Simba, Hall kicheko
NA MWANDISHI WETU
TIMU ya Azam imewafungia kazi wapinzani wao Simba kuelekea mchezo wao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) Jumamosi hii baada ya kupanga programu kali kwa wachezaji wake.
Azam FC ilianzia maandalizi yake ya nguvu mkoani Tanga kwa kambi ya siku tano na kucheza mechi mbili za kirafiki dhidi ya Mgambo JKT na African Sports, zote zikiisha kwa sare ya bao 1-1 kabla ya kurejea jijini Dar es Salaam jana.
Katika kujiandaa zaidi na mchezo huo muhimu dhidi ya Simba, leo saa...
11 years ago
Mwananchi01 May
Barthez anukia Simba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lu8a2-fLGRmHe3qqKdIwR-O0Bp4L4xd58-6ul7hvQJ5gugsxzYLfg3v7XK6q1gynQCygVTL*ETAd8tgk0URQlnUTqPAXffG1/mkenya.jpg)
Mkenya mchana nyavu atua Simba atua
10 years ago
TheCitizen28 May
Azam confirm the return of Hall
9 years ago
Mwananchi19 Dec
Hall awaandaa Azam kucheza ‘kiwanja kibovu’
9 years ago
TheCitizen11 Nov
Azam’s Hall focuses on Confederation Cup landmarks
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Hall: Simba, Yanga aibu
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Kim Poulsen aishauri Azam FC