Azam yaifungia kazi Simba, Hall kicheko
NA MWANDISHI WETU
TIMU ya Azam imewafungia kazi wapinzani wao Simba kuelekea mchezo wao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) Jumamosi hii baada ya kupanga programu kali kwa wachezaji wake.
Azam FC ilianzia maandalizi yake ya nguvu mkoani Tanga kwa kambi ya siku tano na kucheza mechi mbili za kirafiki dhidi ya Mgambo JKT na African Sports, zote zikiisha kwa sare ya bao 1-1 kabla ya kurejea jijini Dar es Salaam jana.
Katika kujiandaa zaidi na mchezo huo muhimu dhidi ya Simba, leo saa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 May
Kim anukia Simba, Hall atua Azam
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mza-*42r4qgC4cn23QTmfwxMoat-LLmCpCihTC9YInsfYyBQ6tDT-wKl76SiBIalxlg*OTnTR5aw35JkBPq70bvNUA5xrw3T/uozo.jpg?width=650)
UOZO MAHOSPITALINI: OFM YAIFUNGIA KAZI PALESTINA!
10 years ago
Mwananchi26 Apr
Azam, Simba kazi ipo
10 years ago
TheCitizen28 May
Azam confirm the return of Hall
9 years ago
Mwananchi19 Dec
Hall awaandaa Azam kucheza ‘kiwanja kibovu’
9 years ago
TheCitizen11 Nov
Azam’s Hall focuses on Confederation Cup landmarks
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Hall: Simba, Yanga aibu