Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hall awaandaa Azam kucheza ‘kiwanja kibovu’

Kocha wa Azam, Stewart Hall amesema vijana wake wamejiandaa vilivyo kuhakikisha wanapata ushindi katika mchezo wao wa kesho dhidi ya Majimaji ugenini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Azam confirm the return of Hall

Dar es Salaam. Azam FC have re-hired Stewart Hall as their head coach, barely a year after parting ways mutually.

 

9 years ago

Mtanzania

Azam yaifungia kazi Simba, Hall kicheko

azam-1NA MWANDISHI WETU

TIMU ya Azam imewafungia kazi wapinzani wao Simba kuelekea mchezo wao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) Jumamosi hii baada ya kupanga programu kali kwa wachezaji wake.

Azam FC ilianzia maandalizi yake ya nguvu mkoani Tanga kwa kambi ya siku tano na kucheza mechi mbili za kirafiki dhidi ya Mgambo JKT na African Sports, zote zikiisha kwa sare ya bao 1-1 kabla ya kurejea jijini Dar es Salaam jana.

Katika kujiandaa zaidi na mchezo huo muhimu dhidi ya Simba, leo saa...

 

10 years ago

Mwananchi

Kim anukia Simba, Hall atua Azam

Dar es Salaam. Wakati Simba ikiendelea na mchakato wa kusaka kocha mpya na majina ya makocha saba yakitajwa, kocha wa zamani wa Taifa Stars, Kim Poulsen akipewa nafasi kubwa ya kupewa kibarua hicho, Azam imetangaza kumrejesha Stewart Hall kuwa kocha mpya.

 

9 years ago

TheCitizen

Azam’s Hall focuses on Confederation Cup landmarks

Azam FC English coach, Stewart Hall has said that his side determines to reach the CAF Confederation Cup final next year.

 

10 years ago

Vijimambo

AZAM KUCHEZA FAINALI YA KAGAME NA GOR MAHIA

 Beki wa Azam FC, Abbas  Mudathir Yahya akimiliki mpira huku akizongwa na mchezaji wa timu ya KCCA, Hassan Wasswa katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Kagame uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Azam imeshinda 1-0. (Picha na Francis Dande)Mshambuliaji wa Azam FC, Kipre Tchetche akichuana na beki wa KCCA, Hassan Wasswa katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Kagame uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Beki wa Azam FC, Agrey Morris akichuana...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Azam kucheza fainali za mashindano mapya ya Ebola

Wakongwe wa soka nchini ambao pia ni mabingwa mara 24 wa Ligi Kuu, Yanga na pia Azam watashiriki mashindano mapya ya soka yanayoitwa Ebola yatafanyika baadaye mwaka huu.

 

10 years ago

Michuzi

AZAM YAINGIA FAINALI YA KAGAME 2015, KUCHEZA NA GOR MAHIA

 Beki wa Azam FC, Abbas  Mudathir Yahya akimiliki mpira huku akizongwa na mchezaji wa timu ya KCCA, Hassan Wasswa katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Kagame uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande)Mshambuliaji wa Azam FC, Kipre Tchetche akichuana na beki wa KCCA, Hassan Wasswa katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Kagame uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
 Beki wa Azam FC, Agrey Morris akichuana na beki wa KCCA,...

 

10 years ago

GPL

Maximo awaandaa Msuva, Ngassa kuwamaliza Simba

Kocha Mkuu wa Yanga, Mbrazil, Marcio Maximo. Goodluck Ngai na Nassor Gallu
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbrazil, Marcio Maximo, amewaandaa viungo washambuliaji Mrisho Ngassa na Simon Msuva kuwa ndiyo chachu kubwa ya ushindi wake dhidi ya watani wao wa jadi Simba, katika mchezo wao wa Oktoba 18, kwenye Uwanja wa Taifa. Simba na Yanga watakutana katika mchezo wa raundi ya nne wa Ligi Kuu Bara, huku zikiwa na kumbukumbu ya sare ya bao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani