TFF, POULSEN WAKUBALIANA KUVUNJA MKATABA
![](http://api.ning.com/files/bTQ94SQ5wOIIUcVzE8ZskEsqpGhLg1psHG0nz9Lowc-ObffJXo7DzmeUL1cVClxpEDz4RPq3kXgB*I98XW2AKuHcLf2dWIeS/kochaKimPoulsenwatimuyataifayavijana.jpg?width=650)
Kocha wa Taifa Stars, Kim Poulsen. Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na Kocha wa Taifa Stars, Kim Poulsen wamekubaliana kuvunja mkataba katika makubaliano ambayo ni siri kwa pande zote mbili. Uamuzi huo umetangazwa leo (Februari 27 mwaka huu) jijini Dar es Salaam kwa pamoja na Rais wa TFF, Jamal Malinzi na Kocha Poulsen mbele ya waandishi wa habari. Rais Malinzi kwa niaba ya TFF ametoa shukrani za dhati kwa Kocha...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HkwNCv-6bF8/Uw9OXo9WOsI/AAAAAAAFQB4/zZE8kOCaORw/s72-c/TanzaniaFootballFederation.jpg)
TFF YAVUNJA MKATABA NA KOCHA KIM POULSEN KWA MAKUBALIANO
![](http://3.bp.blogspot.com/-HkwNCv-6bF8/Uw9OXo9WOsI/AAAAAAAFQB4/zZE8kOCaORw/s1600/TanzaniaFootballFederation.jpg)
Uamuzi huo umetangazwa leo (Februari 27 mwaka huu) jijini Dar es Salaam kwa pamoja na Rais wa TFF, Jamal Malinzi na Kocha Poulsen mbele ya waandishi wa habari.
Rais Malinzi kwa niaba ya TFF ametoa shukrani za dhati kwa Kocha Poulsen kwa ushirikiano na mchango ambao ameutoa kwa Tanzania kuanzia kwenye mpira wa miguu wa...
10 years ago
Mwananchi29 Jan
Namna bora ya kuvunja mkataba wa kazi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V0siS8-FppDDlOL4iFwJn*oWcXNFG3LvpkGWJA58Je5K5FymEVXwY8ToERIDlZcdBqSsTdx1t8*BrJUCr2LIi6rob9Mf-f6W/MUSOTI.gif?width=650)
Musoti aomba kuvunja mkataba Simba
10 years ago
Vijimambo31 Oct
Juma Kaseja aamua kuvunja mkataba Yanga
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Juma-Kaseja--October30-2014.jpg)
Hata hivyo, moja ya sharti ambalo ni vigumu kutekelezeka ni pamoja na kutaka kupewa nafasi za kudaka katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), ambayo hajawahi kusimama langoni msimu huu tangu pazia lilipofunguliwa Septemba 20.
Kupitia meneja wake, Abdulfatah Saleh, Kaseja ameipa masharti Klabu ya Yanga kama inataka kubaki naye immalizie fedha za...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-oKdGspez5g0/Xmt5UMlE_FI/AAAAAAALi5Q/xbHCT4-uv0sXoPmKreG7BomvvCJVEOlyQCLcBGAsYHQ/s72-c/a3190650-3984-478c-87e5-2aae7f3a29f4.jpg)
SERIKALI YATHIBITISHA KUVUNJA MKATABA KATI YA JESHI LA ZIMAMOTO NA KAMPUNI YA ROM SOLUTION
Charles James, Michuzi TV
SERIKALI imesema imevunja mkataba baina ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji na Kampuni ya ROM Solution Co. Ltd ambao ulikua wa ununuzi wa vifaa vya jeshi hilo wenye thamani ya zaidi ya Shilingi Trilioni moja.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe George Simbachawene leo jijini Dodoma ambapo amesema makubaliano hayo yalishavunjwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MKATABA WA SIMBA NA SINGANO WAVUNJWA NA TFF
11 years ago
BBCSwahili27 Feb
TFF yasitisha mkataba wa kocha wake
10 years ago
Mwananchi10 Jun
MKATABA:TFF yajikanyaga kesi ya Singano
9 years ago
Habarileo12 Sep
TFF, NHIF kusaini mkataba wa mwaka
MKATABA wa mwaka mmoja wa udhamini wa Mfuko wa Bima ya Afya nchini (NHIF) na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa ajili ya wachezaji wa klabu 16 za Ligi Kuu na viongozi wa benchi la ufundi, unatarajiwa kusainiwa rasmi keshokutwa.