Juma Kaseja aamua kuvunja mkataba Yanga
Kipa Juma Kaseja ametoa masharti mawili mazito Yanga na kama hayatatekelezwa yuko tayari mkataba wake na klabu hiyo uvunjwe rasmi, imeelezwa.
Hata hivyo, moja ya sharti ambalo ni vigumu kutekelezeka ni pamoja na kutaka kupewa nafasi za kudaka katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), ambayo hajawahi kusimama langoni msimu huu tangu pazia lilipofunguliwa Septemba 20.
Kupitia meneja wake, Abdulfatah Saleh, Kaseja ameipa masharti Klabu ya Yanga kama inataka kubaki naye immalizie fedha za...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo508 Jan
Yanga watangaza kuachana na Juma Kaseja
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3jTl2qg9wX2E7GCXc3QVKy07rxYZHOsM7OsC7FtL3TDsgof*hHn*hOWzaREIM0LCtkZ1NJe4QNQb89CRQ23ZSFWVH-drSg3a/kaseja.jpg)
YANGA YATANGAZA KUACHANA NA JUMA KASEJA
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Yanga wamgeuzia kibao Juma Kaseja
10 years ago
GPLJuma Kaseja basi tena Yanga
11 years ago
GPLBAO LA 3 LA SIMBA: JUMA KASEJA VS AWADH JUMA
10 years ago
MichuziJUMA KASEJA AWA BALOZI MPYA WA NSSF
10 years ago
CloudsFM17 Dec
Makipa wa timu ya Simba,Ivo Mapunda na Juma Kaseja watembelea Jahazini.
Kipa wa Klabu ya Simba Ivo Mapunda akizungumza kwenye kipindi cha Jahazi leo.
10 years ago
Mwananchi29 Jan
Namna bora ya kuvunja mkataba wa kazi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/bTQ94SQ5wOIIUcVzE8ZskEsqpGhLg1psHG0nz9Lowc-ObffJXo7DzmeUL1cVClxpEDz4RPq3kXgB*I98XW2AKuHcLf2dWIeS/kochaKimPoulsenwatimuyataifayavijana.jpg?width=650)
TFF, POULSEN WAKUBALIANA KUVUNJA MKATABA