Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Namna bora ya kuvunja mkataba wa kazi

Mkataba wa ajira husainiwa kwa amani, nderemo, vifijo na shukrani nyingi na nyuso za pande zote mbili yaani mwajiri na mfanyakazi zikionyesha furaha ya kufungua ukurasa mpya wa maisha kwa kutenda kazi pamoja.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Musoti aomba kuvunja mkataba Simba

Donald Musoti.
Nicodemus Jonas na Martha Mboma
BEKI wa kati wa Simba, Mkenya Donald Musoti amesema yupo tayari kuvunja mkataba na Simba kutokana na kupata ulaji wa maana nchini Dubai katika Falme za Kiarabu. Musoti, beki wa zamani wa Gor Mahia ya Kenya, juzi aliamua kuvunja ukimya na kufunguka sababu zilizomfanya kuchelewa kuripoti kambini kwa siku tano, ambapo alisema alikuwa Dubai katika timu hiyo ambayo hajaikariri jina....

 

11 years ago

GPL

TFF, POULSEN WAKUBALIANA KUVUNJA MKATABA

Kocha wa Taifa Stars, Kim Poulsen. Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na Kocha wa Taifa Stars, Kim Poulsen wamekubaliana kuvunja mkataba katika makubaliano ambayo ni siri kwa pande zote mbili. Uamuzi huo umetangazwa leo (Februari 27 mwaka huu) jijini Dar es Salaam kwa pamoja na Rais wa TFF, Jamal Malinzi na Kocha Poulsen mbele ya waandishi wa habari. Rais Malinzi kwa niaba ya TFF ametoa shukrani za dhati kwa Kocha...

 

10 years ago

Vijimambo

Juma Kaseja aamua kuvunja mkataba Yanga

Kipa Juma Kaseja ametoa masharti mawili mazito Yanga na kama hayatatekelezwa yuko tayari mkataba wake na klabu hiyo uvunjwe rasmi, imeelezwa.

Hata hivyo, moja ya sharti ambalo ni vigumu kutekelezeka ni pamoja na kutaka kupewa nafasi za kudaka katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), ambayo hajawahi kusimama langoni msimu huu tangu pazia lilipofunguliwa Septemba 20.

Kupitia meneja wake, Abdulfatah Saleh, Kaseja ameipa masharti Klabu ya Yanga kama inataka kubaki naye immalizie fedha za...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YATHIBITISHA KUVUNJA MKATABA KATI YA JESHI LA ZIMAMOTO NA KAMPUNI YA ROM SOLUTION


Charles James, Michuzi TV

SERIKALI imesema imevunja mkataba baina ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji na Kampuni ya ROM Solution Co. Ltd ambao ulikua wa ununuzi wa vifaa vya jeshi hilo wenye thamani ya zaidi ya Shilingi Trilioni moja.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe George Simbachawene leo jijini Dodoma ambapo amesema makubaliano hayo yalishavunjwa...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: JIFUNZE NAMNA YA KUANDIKA MKATABA KISHERIA UNAPOUZA AU KUNUNUA


Na  Bashir   Yakub

Katika shughuli zetu za kuuza na kununua  ambazo tunazifanya kila siku mikataba ya maandishi  ni jambo ambalo wengi tunakutana nalo. Mikataba hii iwe rasmi au isiwe rasmi suala la msingi ni kuwa  huwa tunaifanya. Aidha wakati mwingine si  wote wenye kuhusisha suala la mikataba ya maandishi  katika makubaliano yaombalimbali  na hii hutokana na  sababu mbalimbali ikiwemo ya kuaminiana. Kuhusu kuaminiana niseme jambo moja tu kuwa suala la mikataba ni muhimusana  hata kana ...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: NAMNA YA KUMDAI FIDIA ALIYEVUNJA MKATABA AU KUKIUKA MAKUBALIANO YENU

Na  Bashir  Yakub
Kawaida unapokuwa umeingia katika mkataba au makubaliano katika jambo lolote lile kunakuwa na masharti ambayo unapaswa kuyatimiza au kutimiziwa. Na hapa nazungumzia mikataba yote uwe wa kuuza mbuzi au ule wa kujenga ghorofa mia, yote ni mikataba. Masharti hayo huwa ndio makubaliano yenyewe au twaweza kusema kuwa ndio mkataba wenyewe. Kila upande unawajibika  juu ya utekelezaji wa masharti hayo. Yeyote anayefikia hatua ya kukiuka masharti hayo  au hata kukiuka sharti moja tu,...

 

10 years ago

Mwananchi

Namna bora ya kurasimisha biashara zetu

Wajasiriamali wengi wadogo hawajarasimisha biashara zao. Kitendo cha kutorasimisha biashara zao kimewafanya kufanya biashara hizo kwa mashaka bila kujiamini. Mara nyingi wamekuwa wakifukuzwa na hata kuchukuliwa bidhaa zao na mamlaka za miji na majiji. Pia, wamekuwa wakikosa huduma muhimu kama vile mikopo kutoka katika taasisi za kifedha na misaada kutoka serikalini kwa kuwa hawana anuani maalumu ya biashara zao.

 

10 years ago

Mwananchi

Namna bora ya kutengeneza neno la siri mtandaoni-2

Kama nilivyoeleza katika makala yangu wiki moja iliyopita, neno la siri au nywila, ni miongoni mwa mambo ya msingi na lazima kuwa nalo kwa mtumiaji wa mawasiliano katika mitandao.

 

9 years ago

Mwananchi

SUZANE : Kazi ni kazi bora mkono uende kinywani

Kuchelewa kwa maendeleo katika jamii kumekuwa kukichangiwa na sababu mbalimbali hasa uchaguzi na ubaguzi wa kazi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani