MAKALA YA SHERIA: NAMNA YA KUMDAI FIDIA ALIYEVUNJA MKATABA AU KUKIUKA MAKUBALIANO YENU
![](http://4.bp.blogspot.com/-KPhunoa7ZKU/VOueDoNTRvI/AAAAAAAHFfY/QiYEZ6AOoOk/s72-c/law_5.jpg)
Na Bashir Yakub
Kawaida unapokuwa umeingia katika mkataba au makubaliano katika jambo lolote lile kunakuwa na masharti ambayo unapaswa kuyatimiza au kutimiziwa. Na hapa nazungumzia mikataba yote uwe wa kuuza mbuzi au ule wa kujenga ghorofa mia, yote ni mikataba. Masharti hayo huwa ndio makubaliano yenyewe au twaweza kusema kuwa ndio mkataba wenyewe. Kila upande unawajibika juu ya utekelezaji wa masharti hayo. Yeyote anayefikia hatua ya kukiuka masharti hayo au hata kukiuka sharti moja tu,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jxDOqgkuqYw/VK1j9-03k9I/AAAAAAAG73k/y-0eDApYag0/s72-c/images.jpg)
MAKALA YA SHERIA: JIFUNZE NAMNA YA KUANDIKA MKATABA KISHERIA UNAPOUZA AU KUNUNUA
![](http://4.bp.blogspot.com/-jxDOqgkuqYw/VK1j9-03k9I/AAAAAAAG73k/y-0eDApYag0/s1600/images.jpg)
Na Bashir YakubKatika shughuli zetu za kuuza na kununua ambazo tunazifanya kila siku mikataba ya maandishi ni jambo ambalo wengi tunakutana nalo. Mikataba hii iwe rasmi au isiwe rasmi suala la msingi ni kuwa huwa tunaifanya. Aidha wakati mwingine si wote wenye kuhusisha suala la mikataba ya maandishi katika makubaliano yaombalimbali na hii hutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ya kuaminiana. Kuhusu kuaminiana niseme jambo moja tu kuwa suala la mikataba ni muhimusana hata kana ...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4wbVGLNcrhY/Vbk439CLI2I/AAAAAAAHsnc/vv_cpQ1byP0/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: NAMNA YA KUKATA RUFAA KESI ZA ARDHI
![](http://2.bp.blogspot.com/-4wbVGLNcrhY/Vbk439CLI2I/AAAAAAAHsnc/vv_cpQ1byP0/s640/1.1774256.jpg)
Rufaa ni hatua ya kisheria ambayo hufikiwa na mhusika katika shauri fulani iwapo hakurushishwa na maamuzi. Rufaa sio mpaka uwe umeshindwa kabisa, hapana. Yawezekana ukawa umeshinda kesi lakini hukuridhishwa na kiwango ulichoshinda.Kwa mfano uliomba wavamizi waondoke katika nyumba yako na hapohapo wakulipe fidia. Mahakama ikatoa hukumu kuwa umeshinda wavamizi waondoke katika nyumba yako lakini ikasema wasikulipe...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FfVDU4FmPT4/Vo13rVOfqvI/AAAAAAAIQ9Q/7d8jEvTDf98/s72-c/download%2B%25281%2529.jpg)
MAKALA YA SHERIA: AINA ZA FIDIA UNAZOWEZA KULIPWA SERIKALI INAPOTWAA ARDHI YAKO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-FfVDU4FmPT4/Vo13rVOfqvI/AAAAAAAIQ9Q/7d8jEvTDf98/s640/download%2B%25281%2529.jpg)
1.FIDIA YA ARDHI NI NINI...Fidia ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3tGXB_EcMTs/VO5CXKPuZII/AAAAAAAHF6c/JL_WT4xl7yw/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: NAMNA YA KUWASHITAK ASKARI WANAOWABAMBIKIZA KESI RAIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-3tGXB_EcMTs/VO5CXKPuZII/AAAAAAAHF6c/JL_WT4xl7yw/s1600/law_5.jpg)
Hapa kwetu Tanzania habari ya kubambakiziana kesi ni kama mtindo. Mara nyingi matendo haya yamekuwa yakifanywa na watu wenye uwezo kifedha dhidi ya wasio na fedha pia kati ya maofisa wa polisi na raia. Mtu kwasababu ana pesa au cheo anaweza kuamua kumfungulia yeyote mashtaka. Watu wengi wako magerezani kwa kubambikizwa kesi, hili wala sio siri tena. Siseme walio mahabusu, hao nao hawana idadi. Inasikitisha mno. Ni wazi kuwa wengi wao wamefikia huko aidha kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-T2SCZuk-SIk/VPaqCnt59vI/AAAAAAAHHbc/qB6dz_mZacI/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: JE UMENYANYASWA NA MWAJIRI, HII NI NAMNA YA KUMFUNGULIA MASHTAKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-T2SCZuk-SIk/VPaqCnt59vI/AAAAAAAHHbc/qB6dz_mZacI/s1600/law_5.jpg)
Makuzi ya biashara hasa biashara za kimataifa yameleteza utitiri wa makampuni. Karibia kila biashara kubwa au ya kati kwa sasa hufanywa na makampuni. Baadhi ya ndani na mengine ya nje.
Hatua hii njema kwa kiasi fulani imeongeza ajira japo ajira zenyewe hazina vigezo vya kuitwa ajira. Yatosha ziitwe kazi tu. Ajira hizi ambazo nyingi ni za umanamba zimekuwa zikifanywa na wazawa. Upande mmoja zimekuwa neema na upande mwingine zimekuwa laana.
Ni neema kwakuwa baadhi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-x19a3hd2EvM/VcAseKo150I/AAAAAAAHts0/RISIqPIdMyE/s72-c/dar%252Bport.jpg)
MAKALA YA SHERIA: IJUE NAMNA YA KUPATA MSAMAHA WA KODI NA USHURU BANDARINI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-x19a3hd2EvM/VcAseKo150I/AAAAAAAHts0/RISIqPIdMyE/s640/dar%252Bport.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QUUrS8Ttjn8/VTYhQXf2tPI/AAAAAAAHSMg/cBtu5BXGM-A/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: HAIRUHUSIWI SERIKALI YA MTAA KUGEUZA ARDHI YA MTU NJIA BILA KUMLIPA FIDIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-QUUrS8Ttjn8/VTYhQXf2tPI/AAAAAAAHSMg/cBtu5BXGM-A/s1600/1.1774256.jpg)
Kuna malalamiko katika baadhi ya maeneo na zaidi malalamiko haya yamekuwa yakielekezwa kwa mamlaka za serikali za mitaa. Nimewahi kuandika kuhusu ukiukaji wa taratibu mbalimbali ambao hufanywa na serikali za mitaa katika maeneo au ardhi za watu. Pia niliandika kuhusu upotoshi wa mamlaka za serikali za mitaa katika kuwaandalia watu mikataba ya mauzo ya ardhi wakati wakijua kuwa hawaruhusiwi kufanya hivyo jambo...
10 years ago
Michuzi29 Dec
MAKALA SHERIA: UNATAKA AU UMEFUNGUA KAMPUNI, JE WAJUA NAMNA YA KUNUNUA, KUUZA HISA
HISA NININI.Kwa maana ambayo inaweza kueleweka kwa wepesi zaidi ni kusema kuwa hisa ni aina ya maslahi ya mtu ya katika kampuni.Natumia neno aina kwakuwa maslahi katika kampuni ni mengi si hisa tu isipokuwa hisa ni mojawapo ya maslahi. Hivyo kile ambacho mtu anamiliki katika kampuni ndio hisa zake. Hisa hutofautiana kutokana na uwezo wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CFDlbSxUzfw/VPjKepKPcEI/AAAAAAAHH-U/KfB8SBR_1YY/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: KUTOTOA MATUNZO YA MTOTO NI KOSA LA JINAI, HII NI NAMNA YA KUCHUKUA HATUA
![](http://1.bp.blogspot.com/-CFDlbSxUzfw/VPjKepKPcEI/AAAAAAAHH-U/KfB8SBR_1YY/s1600/law_5.jpg)
Kumekuwa na shida sana hasa kwa upande wa wanaume kuwatelekeza watoto. Mara nyingi wanaume ndio hutelekeza watoto kuliko wanawake. Zipo baadhi ya kesi zimeripotiwa zikihusisha wanawake kuwatelekeza watoto lakini hizi si nyingi kama ilivyo kwa wanaume. Hii ni kwasababu uwezekano wa mwanaume kumkimbia mtoto ni mwepesi kuliko mwanamke kumkimbia mtoto/watoto. Jambo hili ni baya na limeshakemewa na sheria mbalimbali. Nataka...