MAKALA YA SHERIA: HAIRUHUSIWI SERIKALI YA MTAA KUGEUZA ARDHI YA MTU NJIA BILA KUMLIPA FIDIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-QUUrS8Ttjn8/VTYhQXf2tPI/AAAAAAAHSMg/cBtu5BXGM-A/s72-c/1.1774256.jpg)
Na Bashir Yakub.
Kuna malalamiko katika baadhi ya maeneo na zaidi malalamiko haya yamekuwa yakielekezwa kwa mamlaka za serikali za mitaa. Nimewahi kuandika kuhusu ukiukaji wa taratibu mbalimbali ambao hufanywa na serikali za mitaa katika maeneo au ardhi za watu. Pia niliandika kuhusu upotoshi wa mamlaka za serikali za mitaa katika kuwaandalia watu mikataba ya mauzo ya ardhi wakati wakijua kuwa hawaruhusiwi kufanya hivyo jambo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FfVDU4FmPT4/Vo13rVOfqvI/AAAAAAAIQ9Q/7d8jEvTDf98/s72-c/download%2B%25281%2529.jpg)
MAKALA YA SHERIA: AINA ZA FIDIA UNAZOWEZA KULIPWA SERIKALI INAPOTWAA ARDHI YAKO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-FfVDU4FmPT4/Vo13rVOfqvI/AAAAAAAIQ9Q/7d8jEvTDf98/s640/download%2B%25281%2529.jpg)
1.FIDIA YA ARDHI NI NINI...Fidia ...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RUgLk69J7eM/VNURpVFQ7RI/AAAAAAAHCRc/dIoatbIjG64/s72-c/download%2B(1).jpg)
MAKALA YA SHERIA: NJIA YA KISHERIA YA KUKUEPUSHA KUNUNUA ARDHI YENYE MGOGORO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-RUgLk69J7eM/VNURpVFQ7RI/AAAAAAAHCRc/dIoatbIjG64/s1600/download%2B(1).jpg)
9 years ago
MichuziSERIKALI YAWAOMBA WANANCHI KUTII SHERIA ZA ARDHI BILA SHURUTI.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KPhunoa7ZKU/VOueDoNTRvI/AAAAAAAHFfY/QiYEZ6AOoOk/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: NAMNA YA KUMDAI FIDIA ALIYEVUNJA MKATABA AU KUKIUKA MAKUBALIANO YENU
![](http://4.bp.blogspot.com/-KPhunoa7ZKU/VOueDoNTRvI/AAAAAAAHFfY/QiYEZ6AOoOk/s1600/law_5.jpg)
Kawaida unapokuwa umeingia katika mkataba au makubaliano katika jambo lolote lile kunakuwa na masharti ambayo unapaswa kuyatimiza au kutimiziwa. Na hapa nazungumzia mikataba yote uwe wa kuuza mbuzi au ule wa kujenga ghorofa mia, yote ni mikataba. Masharti hayo huwa ndio makubaliano yenyewe au twaweza kusema kuwa ndio mkataba wenyewe. Kila upande unawajibika juu ya utekelezaji wa masharti hayo. Yeyote anayefikia hatua ya kukiuka masharti hayo au hata kukiuka sharti moja tu,...
5 years ago
BBCSwahili19 Feb
Afrika Kusini yaonywa na Marekani kuhusu mpango wa kuchukua ardhi za wazungu bila fidia
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4wbVGLNcrhY/Vbk439CLI2I/AAAAAAAHsnc/vv_cpQ1byP0/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: NAMNA YA KUKATA RUFAA KESI ZA ARDHI
![](http://2.bp.blogspot.com/-4wbVGLNcrhY/Vbk439CLI2I/AAAAAAAHsnc/vv_cpQ1byP0/s640/1.1774256.jpg)
Rufaa ni hatua ya kisheria ambayo hufikiwa na mhusika katika shauri fulani iwapo hakurushishwa na maamuzi. Rufaa sio mpaka uwe umeshindwa kabisa, hapana. Yawezekana ukawa umeshinda kesi lakini hukuridhishwa na kiwango ulichoshinda.Kwa mfano uliomba wavamizi waondoke katika nyumba yako na hapohapo wakulipe fidia. Mahakama ikatoa hukumu kuwa umeshinda wavamizi waondoke katika nyumba yako lakini ikasema wasikulipe...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mqQox6HlTOY/VUkyzsUGfPI/AAAAAAAHVnE/LkL4u3nKq-U/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: UNANUNUAJE NYUMBA/KIWANJA BILA KUJIRIDHISHA NA HATUA HII?
![](http://3.bp.blogspot.com/-mqQox6HlTOY/VUkyzsUGfPI/AAAAAAAHVnE/LkL4u3nKq-U/s320/law_5.jpg)
Nimewahi kueleza namna au vitu vya msingi ambavyo hutakiwa kuwa katika mkataba wa ununuzi wa nyumba au kiwanja. Nikaeleza umuhimu wa kila kimoja na nikasisitiza kuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-r8NcjtiF2dw/VQ88OFd7QjI/AAAAAAAHMTc/afvl00bjtXI/s72-c/Rental-Property-Law.jpg)
MAKALA SHERIA:JE UNASUMBULIWA NA MGOGORO WA ARDHI? JUA SEHEMU YA KUPATA HAKI...
![](http://1.bp.blogspot.com/-r8NcjtiF2dw/VQ88OFd7QjI/AAAAAAAHMTc/afvl00bjtXI/s1600/Rental-Property-Law.jpg)
Kati ya hao wapo ambao migogoro imeanzia mikononi mwao na wengine wamerithi migogoro hiyo kutoka kwa wazazi au ndugu zao.
Yote kwa yote iwe mgogoro umeanzia mikononi mwako au umeurithi bado mgogoro ni mgogoro na lazima utafute jambo la kufanya ili kuumaliza. Nitakachoeleza hapa ni namna gani waweza kumaliza mgogoro wa ...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HCsPqyAzjik/VkxSMWPy_gI/AAAAAAAIGhA/RFAhzzYhya0/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: MAMBO YA MSINGI KISHERIA KUHUSU UMILIKI WA ARDHI WA PAMOJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-HCsPqyAzjik/VkxSMWPy_gI/AAAAAAAIGhA/RFAhzzYhya0/s320/1.1774256.jpg)
Ardhi inaweza kumilikiwa na mtu zaidi ya mmoja. Inaweza kuwa nyumba au kiwanja. Vyote hivi vinaweza kumilikiwa na mtu zaidi ya mmoja. Kumiliki ardhi kwa zaidi ya mtu mmoja sio lazima iwe kwa wanandoa. Inaweza kuwa ndugu , marafiki , kikundi cha watu kama wafanyabiashara, wana saccos, kikundi cha michezo na aina yoyote ya kikundi cha kimaendeleo. Umiliki wa ardhi kwa pamoja unatofauti na umiliki binafsi yaani umiliki...