Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAKALA YA SHERIA: HAIRUHUSIWI SERIKALI YA MTAA KUGEUZA ARDHI YA MTU NJIA BILA KUMLIPA FIDIA

Na  Bashir  Yakub.
Kuna malalamiko  katika  baadhi  ya  maeneo   na  zaidi  malalamiko  haya   yamekuwa  yakielekezwa  kwa   mamlaka  za  serikali  za  mitaa. Nimewahi  kuandika  kuhusu   ukiukaji  wa  taratibu  mbalimbali   ambao  hufanywa   na  serikali  za  mitaa  katika  maeneo  au  ardhi  za  watu.  Pia  niliandika  kuhusu  upotoshi  wa  mamlaka  za  serikali  za  mitaa  katika  kuwaandalia  watu  mikataba  ya  mauzo  ya  ardhi  wakati  wakijua  kuwa  hawaruhusiwi  kufanya  hivyo  jambo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: AINA ZA FIDIA UNAZOWEZA KULIPWA SERIKALI INAPOTWAA ARDHI YAKO.

Na  Bashir  YakubKawaida  serikali  hutwaa  maeneo. Huhamisha  wahusika  wamiliki  na  kuchukua  eneo  kwa  malengo  maalum  yaliyokusudiwa. Yaweza  kuchukuliwa  nyumba yako, kiwanja,au  hata  shamba. Mara  kadhaa  serikali  hufanya  hivi  panapo  mahitaji  maalum  ya shughuli  za  umma  kama  ujenzi  wa  miundombinu  kama  barabara  reli, huduma za  umeme  na  maji,  ujenzi  wa  shule vyuo, vituo  vya  afya  na  miradi  mingineyo  kwa  manufaa  ya umma.


1.FIDIA  YA  ARDHI NI NINI...

Fidia ...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: NJIA YA KISHERIA YA KUKUEPUSHA KUNUNUA ARDHI YENYE MGOGORO.

Na Bashir YakubMakala zilizopita  nilieleza   mambo au taarifa muhimu  zinazopaswa kuwa kwenye  mkataba wako  unapokuwa unanunua  nyumba/kiwanja. Nikasema  katika niliyosema  kuwa mkataba  lazima uoneshe  ukitokea mgogoro  utatatuliwa vipi,  ueleze kuwa  utapotokea mgogoro  muuzaji  lazima  awajibike kuhakikisha anakupa ushirikiano  mnunuzi  ili kumaliza  mgogoro huo na kuwa muuzaji  kama ana  mke  basi  mke wake ni lazima  aandaiiwe  nyaraka iitwayo  ridhaa ya mwanandoa ambayo  ni  tofauti ...

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI YAWAOMBA WANANCHI KUTII SHERIA ZA ARDHI BILA SHURUTI.

 Mkurugenzi Msaidizi wa usimamizi na udhibiti wa uendelezaji miji Wizara ya Ardhi na maendeleo ya Makazi, George Pangawe akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusiana na Zoezi la bomoa bomoa linaliendelea katika kingo za mto Msimbazi jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mkurugenzi Msaidizi wa usimamizi na udhibiti wa uendelezaji miji Wizara ya Ardhi na maendeleo ya Makazi, George Pangawe jijini Dar es Salaam leo.Picha na Emmanuel Massaka wa...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: NAMNA YA KUMDAI FIDIA ALIYEVUNJA MKATABA AU KUKIUKA MAKUBALIANO YENU

Na  Bashir  Yakub
Kawaida unapokuwa umeingia katika mkataba au makubaliano katika jambo lolote lile kunakuwa na masharti ambayo unapaswa kuyatimiza au kutimiziwa. Na hapa nazungumzia mikataba yote uwe wa kuuza mbuzi au ule wa kujenga ghorofa mia, yote ni mikataba. Masharti hayo huwa ndio makubaliano yenyewe au twaweza kusema kuwa ndio mkataba wenyewe. Kila upande unawajibika  juu ya utekelezaji wa masharti hayo. Yeyote anayefikia hatua ya kukiuka masharti hayo  au hata kukiuka sharti moja tu,...

 

5 years ago

BBCSwahili

Afrika Kusini yaonywa na Marekani kuhusu mpango wa kuchukua ardhi za wazungu bila fidia

Waziri wa mambo ya nje wa Marekani, Mike Pompeo ameonya mipango ya serikali ya Afrika Kusini kunyakua ardhi pasipo fidia kuwa ''utaleta madhara mabaya sana'' kwa uchumi na taifa kwa ujumla.

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: NAMNA YA KUKATA RUFAA KESI ZA ARDHI

Na  Bashir  Yakub.
Rufaa  ni  hatua  ya   kisheria  ambayo  hufikiwa  na  mhusika  katika  shauri  fulani  iwapo  hakurushishwa  na  maamuzi. Rufaa  sio  mpaka  uwe  umeshindwa  kabisa,  hapana. Yawezekana  ukawa  umeshinda  kesi  lakini  hukuridhishwa  na kiwango   ulichoshinda.Kwa  mfano  uliomba  wavamizi  waondoke  katika  nyumba yako   na  hapohapo  wakulipe  fidia. Mahakama  ikatoa  hukumu  kuwa  umeshinda  wavamizi  waondoke  katika  nyumba  yako  lakini  ikasema wasikulipe...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: UNANUNUAJE NYUMBA/KIWANJA BILA KUJIRIDHISHA NA HATUA HII?

Na  Bashir  Yakub.Mara  nyingi  nimeandika  kuhusu  ardhi  hususan   viwanja  na  nyumba.  Katika  kufanya  hivyo  mara  kadhaa  nimejaribu  kuwatahadharisha  watu namna  mbalimbali  ya  kisheria ya kuepuka   kuingia  katika  migogoro  ya  viwanja  na  nyumba  hasa  wakati  wa  kununua( wanunuzi). 
 Nimewahi  kueleza  namna  au  vitu  vya  msingi ambavyo  hutakiwa  kuwa  katika  mkataba  wa   ununuzi  wa  nyumba  au  kiwanja. Nikaeleza  umuhimu  wa  kila  kimoja   na nikasisitiza  kuwa...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA SHERIA:JE UNASUMBULIWA NA MGOGORO WA ARDHI? JUA SEHEMU YA KUPATA HAKI...

Na  Bashir  Yakub.


Wako  watu  ambao  wamekuwa  wakipata  matatizo mbalimbali  ya  ardhi  lakini  wasijue  la  kufanya.  

Kati  ya  hao  wapo  ambao  migogoro  imeanzia  mikononi  mwao   na  wengine   wamerithi  migogoro  hiyo kutoka  kwa  wazazi  au  ndugu  zao. 
Yote  kwa  yote    iwe  mgogoro  umeanzia  mikononi  mwako  au  umeurithi  bado mgogoro  ni  mgogoro  na  lazima  utafute jambo  la   kufanya  ili  kuumaliza. Nitakachoeleza  hapa ni  namna  gani  waweza  kumaliza  mgogoro  wa ...

 

9 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: MAMBO YA MSINGI KISHERIA KUHUSU UMILIKI WA ARDHI WA PAMOJA

Na  Bashir  Yakub.
Ardhi  inaweza  kumilikiwa  na  mtu  zaidi  ya  mmoja. Inaweza  kuwa  nyumba  au  kiwanja.  Vyote  hivi  vinaweza  kumilikiwa  na  mtu  zaidi  ya  mmoja. Kumiliki ardhi  kwa  zaidi  ya  mtu  mmoja  sio  lazima  iwe  kwa  wanandoa. Inaweza  kuwa  ndugu ,  marafiki ,  kikundi  cha  watu kama  wafanyabiashara, wana  saccos, kikundi  cha  michezo  na  aina  yoyote  ya  kikundi  cha  kimaendeleo.  Umiliki  wa  ardhi  kwa  pamoja  unatofauti  na  umiliki  binafsi  yaani umiliki...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani