SERIKALI YAWAOMBA WANANCHI KUTII SHERIA ZA ARDHI BILA SHURUTI.
Mkurugenzi Msaidizi wa usimamizi na udhibiti wa uendelezaji miji Wizara ya Ardhi na maendeleo ya Makazi, George Pangawe akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusiana na Zoezi la bomoa bomoa linaliendelea katika kingo za mto Msimbazi jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mkurugenzi Msaidizi wa usimamizi na udhibiti wa uendelezaji miji Wizara ya Ardhi na maendeleo ya Makazi, George Pangawe jijini Dar es Salaam leo.Picha na Emmanuel Massaka wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-C9PM7QzVXTs/XmzhVxNTGKI/AAAAAAALjpk/IDIJ64cQg1cZ7VxJL-A-vL6WbvoscnB_ACLcBGAsYHQ/s72-c/ac8b099f-eb78-4fac-a4f5-fe77d1ac5a23.jpg)
JESHI LA MAGEREZA LAWATAKA WANANCHI KUTII SHERIA BILA KUSHURUTISHWA
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
JESHI la Magereza limeeleza kusikitishwa na kitendo cha viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa kushindwa kutii sheria bila shuruti na kuhatarisha usalama wa wafungwa, askari na mali za Jeshi la Magereza na hiyo ni baada ya watu wanaoaminika kuwa ni wafuasi na viongozi wa chama hicho wakiwa katika msururu ya magari binafsi na gari za kubeba abiria kufika katika eneo la gereza la Segerea na kutaka kuingia bila utaratibu.
Taarifa ...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JfVNsmuxaGw/Uwp1L3igGrI/AAAAAAAFPLI/OgF3oLDRMAU/s72-c/IMG_1823.jpg)
11 years ago
GPLUTII WA SHERIA BILA SHURUTI BADO NI TATIZO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QUUrS8Ttjn8/VTYhQXf2tPI/AAAAAAAHSMg/cBtu5BXGM-A/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: HAIRUHUSIWI SERIKALI YA MTAA KUGEUZA ARDHI YA MTU NJIA BILA KUMLIPA FIDIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-QUUrS8Ttjn8/VTYhQXf2tPI/AAAAAAAHSMg/cBtu5BXGM-A/s1600/1.1774256.jpg)
Kuna malalamiko katika baadhi ya maeneo na zaidi malalamiko haya yamekuwa yakielekezwa kwa mamlaka za serikali za mitaa. Nimewahi kuandika kuhusu ukiukaji wa taratibu mbalimbali ambao hufanywa na serikali za mitaa katika maeneo au ardhi za watu. Pia niliandika kuhusu upotoshi wa mamlaka za serikali za mitaa katika kuwaandalia watu mikataba ya mauzo ya ardhi wakati wakijua kuwa hawaruhusiwi kufanya hivyo jambo...
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
Tamasha Mbeya kubadili tabia za vijana bila shuruti
SHIRIKA la Evangelical Mission SOS International kutoka Sweden kwa kushirikiana na Baraza la Makanisa ya Kipentekoste Mkoa wa Mbeya (CPCT), wameamua kubadilisha tabia za vijana bila shuruti. Katika kubadilisha tabisa...
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
‘Serikali isimamie sheria umiliki wa ardhi’
SERIKALI imetakiwa kusimamia sheria, taratibu na kanuni za umiliki wa ardhi ili kuondoa changamoto mbalimbali zinazoikabili sekta hiyo ikiwemo uvunjifu wa amani na umwagikaji wa damu. Mkurungezi wa Taasisi ya...
9 years ago
Habarileo08 Sep
Vyama vya siasa vyatakiwa kutii sheria za nchi
MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini, amevitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki uchaguzi mkuu, kuheshimu na kutii sheria za nchi hasa sheria ya usajili wa vyama na gharama za uchaguzi.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FfVDU4FmPT4/Vo13rVOfqvI/AAAAAAAIQ9Q/7d8jEvTDf98/s72-c/download%2B%25281%2529.jpg)
MAKALA YA SHERIA: AINA ZA FIDIA UNAZOWEZA KULIPWA SERIKALI INAPOTWAA ARDHI YAKO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-FfVDU4FmPT4/Vo13rVOfqvI/AAAAAAAIQ9Q/7d8jEvTDf98/s640/download%2B%25281%2529.jpg)
1.FIDIA YA ARDHI NI NINI...Fidia ...
10 years ago
Vijimambo22 Nov
WAZIRI MEMBE AWATAKA WAHITIMU WA CHUO KIKUU CHA KAMPALA KUTII SHERIA ZA NCHI