Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tamasha Mbeya kubadili tabia za vijana bila shuruti

SHIRIKA la Evangelical Mission SOS International kutoka Sweden kwa kushirikiana na Baraza la Makanisa ya Kipentekoste Mkoa wa Mbeya (CPCT), wameamua kubadilisha tabia za vijana bila shuruti. Katika kubadilisha tabisa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Vijana watakiwa kubadili tabia

VIJANA wametaka kubadili tabia ili kupunguza kasi ya ongezeko la maambukizi ya Virusi vya Ukimwi. Mwenyekiti Mtendaji wa Tume ya Kupambana na Ukimwi (TACAIDS), Dk Fatma Mrisho alitoa rai hiyo wakati wa uzinduzi wa kituo cha utoaji wa huduma za upimaji wa afya kilichopo Michungwani mkoani Tanga.

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

GPL

UTII WA SHERIA BILA SHURUTI BADO NI TATIZO

Dereva bodaboda akiwa mikononi mwa polisi baada ya kuwakimbia na baadaye kunaswa. Dereva huyo akiwa chini ya ulinzi. DOGO mmoja ambaye ni dereva wa bodaboda amejikuta akimaliza siku vibaya baada ya kukiuka sheria za usalama barabarani na kuwakimbia polisi ambao walimtolea uvivu kwa kumkimbiza na baadaye kufanikiwa kumtia mikononi. (Picha zote na Gabriel… ...

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI YAWAOMBA WANANCHI KUTII SHERIA ZA ARDHI BILA SHURUTI.

 Mkurugenzi Msaidizi wa usimamizi na udhibiti wa uendelezaji miji Wizara ya Ardhi na maendeleo ya Makazi, George Pangawe akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusiana na Zoezi la bomoa bomoa linaliendelea katika kingo za mto Msimbazi jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mkurugenzi Msaidizi wa usimamizi na udhibiti wa uendelezaji miji Wizara ya Ardhi na maendeleo ya Makazi, George Pangawe jijini Dar es Salaam leo.Picha na Emmanuel Massaka wa...

 

11 years ago

Michuzi

KIJITONYAMA VETERANS YATII KIPIGO CHAMABAO 3-1 BILA SHURUTI DHIDI YA WAUKAE VETERANS

Kikosi cha timu ya Kijitonyama Veterans, ambacho hii  kimekubali kipigo cha mabao 3-1 bila shuruti kutoka kwa wapinzani wao, Waukae Veterans, katika mchezo wa kirafiki uliochezwa leo asubuhi katika Uwanja wa Kijitonyama, Dar es salaam. Mabao ya Waukae yamefungwa na Felix Kopou na mawili yakifungwa na Athuma Bamia. Bao la kufutia machozi la Kijitonyama Veterans, likifungwa na Norbert. Kikosi cha Waukae Veterans. Wachezaji wa timu zote mbili wakishoo love kabla ya mchezo huo. Mafoto...

 

11 years ago

Bongo Movies

SHEHE Amcharukia Jackline Wolper. Ni kutokana na tabia yake ya kubadili badili dini.

TABIA ya staa wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper kubadilibadili dini mara kwa mara imeonekana kuwakera watu mbalimbali akiwemo Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Musa Salum ambaye amemcharukia vikali.

Wolper kiimani ni Mkristo lakini hivi karibuni alibadili na kuwa Muislam kabla ya kurejea tena kwenye imani yake ya awali ya ukristo.

Sababu ya Wolper kubadili dini ilikuwa ni kufunga ndoa na aliyekuwa mchumba wake Abdallah Mtoro ‘Dalas’, walipoachana akaamua kurudi kwenye...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hatuwezi kubadili mfumo bila kubadili watawala

NINA heshima kubwa sana kwa mwandishi nguli wa makala, Paschally Mayega, maarufu zaidi kama Mwalimu Mkuu wa Watu. Ni mwandishi asiyeogopa kuandika kile kilichojificha katika uvungu wa mtima wake. Lakini...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Hatuwezi kuadabisha viongozi bila kubadili chama!

NAJUA kwa wengi ni vigumu kukubali hili. Lakini ukweli mtupu ni kwamba kama tunataka mabadiliko ya kweli  tunahitaji kubadili  mfumo mzima wa  uongozi wa nchi yetu kupitia sanduku la kura. ...

 

11 years ago

GPL

MBEYA CITY, ASHANTI WATOKA BILA BILA

Wachezaji wa Mbeya City (kulia) na Ashanti wakiwania mpira huku mvua kali ikiendelea kunyesha kwenye Uwanja wa Azam Complex uliopo Mbande nje kidogo ya Jiji la Dar. Steven Mazanda (8) na Deogratius Julius (mwenye mpira) wachezaji wa Mbeya City wakiwania mpira na mchezani wa Ashanti.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani