Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIJITONYAMA VETERANS YATII KIPIGO CHAMABAO 3-1 BILA SHURUTI DHIDI YA WAUKAE VETERANS

Kikosi cha timu ya Kijitonyama Veterans, ambacho hii  kimekubali kipigo cha mabao 3-1 bila shuruti kutoka kwa wapinzani wao, Waukae Veterans, katika mchezo wa kirafiki uliochezwa leo asubuhi katika Uwanja wa Kijitonyama, Dar es salaam. Mabao ya Waukae yamefungwa na Felix Kopou na mawili yakifungwa na Athuma Bamia. Bao la kufutia machozi la Kijitonyama Veterans, likifungwa na Norbert. Kikosi cha Waukae Veterans. Wachezaji wa timu zote mbili wakishoo love kabla ya mchezo huo. Mafoto...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MOROGORO VETERANS WAICHAPA TANGA VETERANS MAGOLII 2 KWA 1

 Manaodha wa Timu ya Moro Veterani na Tanga Veterani  Wakiwa na Waamuzi wa Mchezo huo Uliofanyika Morogoro. 
Timu hizo zilicheza Mchezo wa Kirafiki Katika Uwanja wa Mochwari mKoani Morogoro Mara daaba ya Timu ya Tanga Veterani Kufanya ziara ya Kudumisha Urafiki na Undugu walionao dhidi ya Timu ya Morogoro Veterani.Katika Mchezo Huo Wenyeji Timu ya Morogoro Veterani Walishinda kwa Jumla ya Magoli 2 kwa Moja.Magoli ya Moro Veterani Yalifungwa na Mokili Rambo dk 35 na 72 Wakati Goli la...

 

11 years ago

AllAfrica.Com

Maimed War Veterans Under Care


Maimed War Veterans Under Care
AllAfrica.com
Dodoma — MAIMED war veterans who were involved in the Kagera War continue to receive disability pension according to the extent of the inflicted harm. This was said in Parliament by the Minister for Defence, Dr Hussein Mwinyi, responding to a question ...

 

10 years ago

TheCitizen

Let players learn from Veterans on transfers

Another busy transfer window is underway, with a number of players switching clubs in lucrative contracts. Yes, it is money-spinning season for small clubs. They groom players only to lose them to the likes of Yanga, Simba and Azam FC. They benefit financially and always look for more feeder clubs. This is also the time for players to also rake in millions of shillings.

 

9 years ago

IPPmedia

CCM veterans 'respect' Kingunge's move


IPPmedia
CCM veterans 'respect' Kingunge's move
IPPmedia
Several prominent CCM cadres who have served the party for scores of years alongside Kingunge Ngombale-Mwiru, who quit the party on Sunday, say they respect his decision. Speaking in separate interviews with 'The Guardian' yesterday, the ...

 

11 years ago

BBC

South Africa's struggle veterans hope for new lives

Why South Africa's struggle veterans say the fight is not over

 

11 years ago

Michuzi

kikosi kazi cha Golden bush veterans kuelekea Makambako

Kwa niaba ya uongozi wa Golden bush veterans ambao ni mabingwa wa Tanzania Bara na visiswani yaani Mabingwa wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, napenda kuwapa taarifa kwamba timu kamili ikijumuisha kikosi cha kwanza kama kinavyoonekana katika picha, itaondoka siku ya jumamosi alfajiri kuelekea Makambako kwa ajili ya mechi mbili yaani Makambako Veterans VS Golden Bush na Mafinga Veterans vs Golden Bush.
 Games zote zitapigwa uwanja Makambako Veterans siku ya tarehe 22/06/2014. Kwakutambua...

 

10 years ago

Michuzi

Boko Beach Veterans wamkabidhi zawadi Mchezaji bora wa Mwezi

Mwenyekiti wa Boko Beach Veterans (BBV),Danny Ole a.k.a Aguero (kushoto) akimkabidhi zawadi Mchezaji bora wa Mwezi,Richard Mwandya,baada ya kuonyesha kiwango kizuri kwa kipindi chote cha mwezi Februari 2015.Zawadi hutolewa na mdau mkubwa wa soka nchini na mmiliki wa maduka ya Zizzou Fashion, Othman Tippo Shabani (picha ya chini mwenye jezi nyeupe kati).

 

9 years ago

Michuzi

Boko Beach Veterans wamkabidhi zawadi Mchezaji bora wa Mwezi Oktoba 2015

Mwenyekiti wa Timu ya Boko Beach Veterans (BBV), Danny Ole a.k.a Aguero (wa nne toka kushoto) akimkabidhi zawadi ya mpira Mchezaji bora wa Mwezi Oktoba, Henry Horombe (wa nne toka kulia), baada ya kuonyesha kiwango kizuri kwa kipindi chote cha mwezi mwezi huo 2015. Zawadi hizo hutolewa na mdau mkubwa wa soka nchini na mmiliki wa maduka ya Zizzou Fashion, Othman Tippo Shaaban ambaye nae ni mwanachama wa timu hiyo.Sehemu ya wachezaji wa Timu ya Boko Beach Veterans (BBV) wakimpongeza mchezaji...

 

11 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani