kikosi kazi cha Golden bush veterans kuelekea Makambako
![](http://1.bp.blogspot.com/-nZJjtwAbhT8/U6Q9kJSQCUI/AAAAAAAFr9I/DDXHyKtXFEc/s72-c/unnamed+(15).jpg)
Kwa niaba ya uongozi wa Golden bush veterans ambao ni mabingwa wa Tanzania Bara na visiswani yaani Mabingwa wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, napenda kuwapa taarifa kwamba timu kamili ikijumuisha kikosi cha kwanza kama kinavyoonekana katika picha, itaondoka siku ya jumamosi alfajiri kuelekea Makambako kwa ajili ya mechi mbili yaani Makambako Veterans VS Golden Bush na Mafinga Veterans vs Golden Bush.
Games zote zitapigwa uwanja Makambako Veterans siku ya tarehe 22/06/2014. Kwakutambua...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0m3m0O-9l_k/U5Gt8ArDRWI/AAAAAAAFoCA/oqGo-AlkCv8/s72-c/unnamed+(16).jpg)
Golden Bush kupeleka Makali yake Makambako
![](http://2.bp.blogspot.com/-0m3m0O-9l_k/U5Gt8ArDRWI/AAAAAAAFoCA/oqGo-AlkCv8/s1600/unnamed+(16).jpg)
Mwaliko huu umetokana na historia ndefu ya timu yetu ambayo imejijengea heshima ya kuwa na ushirikiano wa karibu na timu nyingi za veterans wakiwemo Makambako Veterans ambao ndio watakuwa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rNptcda1C9I/UzNCcTUOv9I/AAAAAAAFWuY/gVBSUvnLvWY/s72-c/unnamed+(25).jpg)
Golden Bush kupeleka Makali yake Kilombero
![](http://2.bp.blogspot.com/-rNptcda1C9I/UzNCcTUOv9I/AAAAAAAFWuY/gVBSUvnLvWY/s1600/unnamed+(25).jpg)
Golden Bush itaondoka Dar es salaam siku ya Jumamosi saa kumi na mbili asubuhi, na msafara utaongozwa na Waziri...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ISgIjeDT540/U3R_ypYAtRI/AAAAAAAFhyI/I1MO_3JIwbU/s72-c/unnamed+(2).jpg)
Golden Bush kukipiga na Stakishali jumapili hii
![](http://4.bp.blogspot.com/-ISgIjeDT540/U3R_ypYAtRI/AAAAAAAFhyI/I1MO_3JIwbU/s1600/unnamed+(2).jpg)
Ili kutekeleza program...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bQw76IDvqZI/U9gEHMRynuI/AAAAAAAF7u0/EvD1Se2ih54/s72-c/Taifa-stars.jpg)
KIKOSI CHA TAIFA STARS KUELEKEA NCHINI AFRIKA KUSINI KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-bQw76IDvqZI/U9gEHMRynuI/AAAAAAAF7u0/EvD1Se2ih54/s1600/Taifa-stars.jpg)
Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager itawasili saa 9 asubuhi kesho (Julai 30 mwaka huu) kwa ndege ya Fastjet kutoka Tukuyu mkoani Mbeya, na baadaye jioni kuunganisha safari ya Afrika Kusini.
Mechi hiyo ya marudiano ya raundi ya...
9 years ago
Habarileo11 Dec
Kikosi cha Hapa Kazi Tu 2015
RAIS John Magufuli ametangaza Baraza jipya la Mawaziri, ambalo kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, ndio baraza lenye idadi ndogo ya wizara na mawaziri wake. Baraza hilo lilitangazwa jana Ikulu Dar es Salaam, lina jumla ya wizara 18, zenye mawaziri 19, ambapo kati ya hao, wizara nne hazijapata mawaziri, huku idadi ya manaibu waziri wakiwa 15.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j6uXC9TYiPs/VX8KFAy7IMI/AAAAAAAHfuU/UC1-XnLVCk8/s72-c/unnamed%2B%252865%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vzv6QIGwpUs/VYOpWg79NOI/AAAAAAAAA88/wJ2UjvRBtgY/s72-c/AMCOMET%2B2015-geneva.png)
KIKAO CHA KIKOSI KAZI CHA "AMCOMET" TECHNICAL TASK FORCE ON AFRICAN REGIONAL SPACE PROGRAMME ON METEOROLOGY” KILICHOFANYIKA GENEVA, USWISI, TAREHE 10 JUNI 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-vzv6QIGwpUs/VYOpWg79NOI/AAAAAAAAA88/wJ2UjvRBtgY/s640/AMCOMET%2B2015-geneva.png)
Tanzania ambayo ni mwenyekiti wa kikosi kazi cha “African Ministerial Conference on Meteorology (AMCOMET) Technical Task Force on African Regional Space Programme on Meteorology”...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-VTMn1bzE4Zo/U5Q43XKg6hI/AAAAAAABuJE/Jt-5iFUeP18/s72-c/1.jpg)
KIJITONYAMA VETERANS YATII KIPIGO CHAMABAO 3-1 BILA SHURUTI DHIDI YA WAUKAE VETERANS
![](http://3.bp.blogspot.com/-VTMn1bzE4Zo/U5Q43XKg6hI/AAAAAAABuJE/Jt-5iFUeP18/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fkMLkZX2FlQ/U5Q5EwDY3CI/AAAAAAABuJU/9ITXc32m55o/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xFw_mkKTKps/U5Q5IfbOmoI/AAAAAAABuJc/Q0Cer6WMm48/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fv_dsNZlQyQ/U5Q5Kn9gj7I/AAAAAAABuJk/HX2BBEUw46E/s1600/4.jpg)
11 years ago
Michuzi05 Feb
MOROGORO VETERANS WAICHAPA TANGA VETERANS MAGOLII 2 KWA 1
Timu hizo zilicheza Mchezo wa Kirafiki Katika Uwanja wa Mochwari mKoani Morogoro Mara daaba ya Timu ya Tanga Veterani Kufanya ziara ya Kudumisha Urafiki na Undugu walionao dhidi ya Timu ya Morogoro Veterani.Katika Mchezo Huo Wenyeji Timu ya Morogoro Veterani Walishinda kwa Jumla ya Magoli 2 kwa Moja.Magoli ya Moro Veterani Yalifungwa na Mokili Rambo dk 35 na 72 Wakati Goli la...