Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


kikosi kazi cha watanaji habari wa Azam TV


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KIKOSI CHA AZAM KITAKACHOKWAANA NA SIMBA LEO

1. MWADINI ALI
2. SHOMARI KAPOMBE
3. ERASTO NYONI
4. AGGREY MORIS
5. PASCAL WAWA
6. BOLOU MICHAEL
7. MUDATHIR YAHYA
8. FRANK DOMAYO
9. DIDIER KAVUMBAGU
10. KIPRE…

 

10 years ago

BBCSwahili

Kikosi cha Azam kupiga kambi Congo

Timu ya Azam ya Tanzania itapiga kambi nchini DR Congo kabla ya mechi zake za kuwania ubingwa wa vilabu barani Afrika

 

10 years ago

GPL

KIKOSI CHA LEO TIMU YA AZAM FC SOKOINE, MBEYA

Kikosi cha timu ya Azam FC (Picha na Maktaba). Mabingwa wa soka Tanzania Bara, leo jioni ya saa 10:30 wanaingia kwenye Uwanja wa C.C.M Sokoine kupambana na Tanzania Prisons kwenye mchezo wa mzunguko wa tatu Vodacom Premier League. Wanaowakilisha leo ni hawa
1. AISHI MANULA
2. SHOMARI KAPOMBE
3. GADIEL MICHAEL
4. SAID MORAD
5 . AGGREY MORIS
6. BOLOU MICHAEL
7. HIMIDI MAO
8. SALUM ABUBAKAR
9. GAUDENCE...

 

9 years ago

Habarileo

Kikosi cha Hapa Kazi Tu 2015

RAIS John Magufuli ametangaza Baraza jipya la Mawaziri, ambalo kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, ndio baraza lenye idadi ndogo ya wizara na mawaziri wake. Baraza hilo lilitangazwa jana Ikulu Dar es Salaam, lina jumla ya wizara 18, zenye mawaziri 19, ambapo kati ya hao, wizara nne hazijapata mawaziri, huku idadi ya manaibu waziri wakiwa 15.

 

11 years ago

Michuzi

kikosi kazi cha Golden bush veterans kuelekea Makambako

Kwa niaba ya uongozi wa Golden bush veterans ambao ni mabingwa wa Tanzania Bara na visiswani yaani Mabingwa wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, napenda kuwapa taarifa kwamba timu kamili ikijumuisha kikosi cha kwanza kama kinavyoonekana katika picha, itaondoka siku ya jumamosi alfajiri kuelekea Makambako kwa ajili ya mechi mbili yaani Makambako Veterans VS Golden Bush na Mafinga Veterans vs Golden Bush.
 Games zote zitapigwa uwanja Makambako Veterans siku ya tarehe 22/06/2014. Kwakutambua...

 

10 years ago

Michuzi

KIKAO CHA KIKOSI KAZI CHA "AMCOMET" TECHNICAL TASK FORCE ON AFRICAN REGIONAL SPACE PROGRAMME ON METEOROLOGY” KILICHOFANYIKA GENEVA, USWISI, TAREHE 10 JUNI 2015

Dkt. Agnes Kijazi, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (akiwakilisha Tanzania) katika picha ya pamoja na washiriki wa kikosi kazi cha “African Ministerial Conference on Meteorology (AMCOMET) Technical Task Force on African Regional Space Programme on Meteorology” Geneva, Uswisi tarehe 10 juni 2015.

Tanzania ambayo ni mwenyekiti wa kikosi kazi cha “African Ministerial Conference on Meteorology (AMCOMET) Technical Task Force on African Regional Space Programme on Meteorology”...

 

11 years ago

Michuzi

Vodacom yamzawadia askari wa kikosi cha Usalama Barabarani kwa kazi nzuri

Mfanyaakazi wa Idara ya Masoko wa Kampuni ya Vodacom Albert Maneno (wa tatu kushoto) akiongea kabla ya kukabidhi Sh. 2 milioni kwa askari wa kikosi cha Usalama Barabarani Moses Alphag (wa kwanza kushoto) aliyeibuka kidedea katika program ya kuibua hamasa ya kazi kwa askari hao jijini Dar es salaam iliyoendeshwa na kituo cha Redio Clouds FM. Fedha hizo zimetolewa na wafanyakazi wa Vodacom pamoja na wananchi mbalimbali walioguswa na programu hiyo. Wa kwanza kulia ni Kamanda wa Polisi Kanda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani