SUZANE : Kazi ni kazi bora mkono uende kinywani
Kuchelewa kwa maendeleo katika jamii kumekuwa kukichangiwa na sababu mbalimbali hasa uchaguzi na ubaguzi wa kazi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo11 May
UN waunga mkono kazi ya Kikwete
JUMUIYA ya Kimataifa katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa (UN) jijini hapa, imeelezea msimamo wake thabiti wa kuunga mkono kwa dhati na kwa kila hali kazi na jukumu ya Jopo la Watu Mashuhuri Duniani la Kukabiliana na Majanga Duniani linaloongozwa na Rais Jakaya Kikwete.
10 years ago
Dewji Blog09 May
Wawakilishi UN waunga mkono kazi ya Rais Kikwete na wenzake
Jumuiya ya Kimataifa katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa (UN) mjini New York imeelezea msimamo wake thabiti wa kuunga mkono kwa dhati na kwa kila hali kazi na jukumu ya Jopo la Watu Mashuhuri Duniani la Kukabiliana na Majanga Duniani linaloongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete (pichani).
Jumuiya hiyo imeeleza msimamo wake wa kuunga mkono Jopo hilo wakati Rais Kikwete na wana-Jopo wenzake walipopata nafasi ya kuwaelezea Wawakilishi wa Kudumu...
10 years ago
Dewji Blog16 Jul
Wakubwa waunga mkono kazi ya Jopo la Rais Kikwete
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Jopo la Kimataifa Linalopendekeza Jinsi Dunia inavyoweza kukabiliana na majanga yajayo ya magonjwa ya milipuko, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Jumatano, Julai 15, 2015, ameongoza vikao vya Jopo hilo ambalo kazi yake imeungwa mkono na nchi 21 ambazo zilichangia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ebola.
Miongoni mwa mikutano ambayo Rais Kikwete ameiongoza katika Makao ya Umoja wa Mataifa (UN) mjini Geneva ni pamoja na yeye na wanajopo...
10 years ago
Mwananchi29 Jan
Namna bora ya kuvunja mkataba wa kazi
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Serikali ibuni mifumo bora ya utendaji kazi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IlGNHgsiky0/XpGpvDLM2kI/AAAAAAAAksI/Lw4RfP52mqYpqttQoV7ON1I3dx0AnojZQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200409-WA0041.jpg)
MBUNGE KINGU AUNGA MKONO AGIZO LA RAIS KUCHAPA KAZI KIPINDI HIKI CHA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-IlGNHgsiky0/XpGpvDLM2kI/AAAAAAAAksI/Lw4RfP52mqYpqttQoV7ON1I3dx0AnojZQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200409-WA0041.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-dua2Ma9Z88I/XpGpvU5UZHI/AAAAAAAAksE/vEKhlEI_dF8w2FldTVB_Qcx0yKDLl0TRQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200409-WA0042.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-E5imuJPMzd8/XpGpvZskT0I/AAAAAAAAksA/LtEAhoFGFmEPIFp_o0SJYpjT6HuLbLCoACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200409-WA0044.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-BK118IChCpA/XpGpwYn8h-I/AAAAAAAAksM/nXy_erFCfH0nljwwq1jRGVKeaJMvNewTQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200409-WA0045.jpg)
Na Dotto Mwaibale, Singida.
MBUNGE wa Singida Magharibi, Elibariki Kingu ameendelea kuunga mkono agizo la Rais Dkt. John Magufuli la kuwataka wananchi kote nchini kuendelea kuchapa kazi katika kipindi hiki ambacho...
10 years ago
Habarileo23 Jan
Balozi Seif asisitiza mitaala bora ya ustadi wa kazi
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd amesema nchi itaweza kukabiliana na changamoto ya ajira kwa kuhakikisha vyuo vyote nchini vinakuwa na mitaala inayoelekeza kufundisha umahiri na ustadi wa kazi.
9 years ago
Raia Mwema02 Dec
Hapa kazi tu na utendaji kazi wa staili ya jeshi la mtu mmoja
RAIS wa Awamu ya Tano, Dk. John Magufuli ameanza kazi kwa staili ambayo si mpya hapa nchini.
Yahya Msangi
10 years ago
Bongo Movies09 Dec
KAZI MPYA:Wema Atua Nchini Ghana Kufanya Kazi na Van Vicker
Aliekuwa Miss Tanzania (2006), Mwigizaji na mkurugenzi wa kampuni ya Endless Fame, inayojishughurisha na mambo ya filamu hapa nchini, Wema Sepetu aka Madame hivi sasa yupo nchini Ghana kwaajili ya kufanya kazi na msanii maarufu nchini humo na Afrika kwa ujumla aitwaye van vicker.
Leo hii kwenye mtandao wa kijamii Wema aliweka picha hiyo akiwa na msanii huyo na kuandika “In the Making” na kumtag Van.
Jina la project (MOVIE) hiyo mpya hadi sasa bado halijajulikana. Endelea kutufuatilia hapa...