Wawakilishi UN waunga mkono kazi ya Rais Kikwete na wenzake
Jumuiya ya Kimataifa katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa (UN) mjini New York imeelezea msimamo wake thabiti wa kuunga mkono kwa dhati na kwa kila hali kazi na jukumu ya Jopo la Watu Mashuhuri Duniani la Kukabiliana na Majanga Duniani linaloongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete (pichani).
Jumuiya hiyo imeeleza msimamo wake wa kuunga mkono Jopo hilo wakati Rais Kikwete na wana-Jopo wenzake walipopata nafasi ya kuwaelezea Wawakilishi wa Kudumu...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog16 Jul
Wakubwa waunga mkono kazi ya Jopo la Rais Kikwete
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Jopo la Kimataifa Linalopendekeza Jinsi Dunia inavyoweza kukabiliana na majanga yajayo ya magonjwa ya milipuko, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Jumatano, Julai 15, 2015, ameongoza vikao vya Jopo hilo ambalo kazi yake imeungwa mkono na nchi 21 ambazo zilichangia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ebola.
Miongoni mwa mikutano ambayo Rais Kikwete ameiongoza katika Makao ya Umoja wa Mataifa (UN) mjini Geneva ni pamoja na yeye na wanajopo...
10 years ago
Habarileo11 May
UN waunga mkono kazi ya Kikwete
JUMUIYA ya Kimataifa katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa (UN) jijini hapa, imeelezea msimamo wake thabiti wa kuunga mkono kwa dhati na kwa kila hali kazi na jukumu ya Jopo la Watu Mashuhuri Duniani la Kukabiliana na Majanga Duniani linaloongozwa na Rais Jakaya Kikwete.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cx5c2ozjKXA/VmkdQ4GGzNI/AAAAAAAILUE/Pt-9aAb-ZPQ/s72-c/PICT%2B1.jpg)
Airtel waunga mkono tamko la Rais Dkt.Magufuli la kufanya usafi kama siku ya maadhimisho ya miaka 54 ya uhuru wa Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-cx5c2ozjKXA/VmkdQ4GGzNI/AAAAAAAILUE/Pt-9aAb-ZPQ/s640/PICT%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3ChLWGU5C00/VmkdQ6lhWvI/AAAAAAAILUA/qCqtFoEBANU/s640/PICT%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hsvWf774w14/VmkdRJbbAeI/AAAAAAAILUI/V2Ar_9G480g/s640/PICT%2B3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-GGtpUQ8JsXw/VmkdSo0z_tI/AAAAAAAILUY/085WMn6DFMc/s640/PICT%2B4.jpg)
10 years ago
Vijimambo22 Jan
Vijana wa CCM Zanzibar Waunga mkono hotuba ya Rais wa Zanzibar Dk Shein
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/137.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/410.jpg)
5 years ago
MichuziTAASISI YA AMANI TANZANIA YAWATAKA WANASIASA KUACHA KUTUMIA JANGA LA CORONA KAMA MTAJI WA KISIASA, WAUNGA MKONO HOTUBA YA RAIS MAGUFULI
10 years ago
BBCSwahili03 Jun
Wadhamini waunga mkono hatua ya Blatter
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Wanyarwanda Waunga Mkono Mabadiliko ya Katiba
Rais wa Rwanda, Paul Kagame.
Wanyarwanda wameunga mkono kwa wingi marekebisho ya katiba ambayo yatamruhusu Rais Paul Kagame kuendelea kuongoza, matokeo ya awali ya kura ya maoni ya mabadiliko ya katiba iliyopigwa jana nchini humo yanaonesha hivyo.
Raia akipiga kura.
Kwa mujibu wa taarifa ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Rwanda inasema, asilimia 98 ya wapiga kura wameunga mkono marekebisho hayo ya katiba ambayo yatamruhusu Rais Paul Kagame kuwania kwa muhula mwingine mwaka 2017, baada yake...
10 years ago
Habarileo08 Dec
VIP waunga mkono uchunguzi Escrow
KAMPUNI iliyokuwa na hisa katika Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania Ltd (IPTL), VIP Engineering and Marketing Limited, imesema kuwa inaunga mkono uchunguzi utakaobanisha ukweli kuhusu sakata la Sh bilioni 300 zilizokuwepo kwenye akaunti ya Escrow katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
11 years ago
Mwananchi22 Apr
Waunga mkono kauli za viongozi wa dini