Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hapa kazi tu na utendaji kazi wa staili ya jeshi la mtu mmoja

RAIS wa Awamu ya Tano, Dk. John Magufuli ameanza kazi kwa staili ambayo si mpya hapa nchini.

Yahya Msangi

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

UTENDAJI KAZI WA KAMISHNA JENERALI WA JESHI LA MAGEREZA SULEIMAN MZEE WAMKOSHA RAIS JOHN MAGUFULI


Na Said Mwishehe, Michuzi TVUTENDAJI kazi unaofanywa na Kamishna Jenereli wa Magereza Suleiman Mzee (pichani) umemkosha sana Rais Dk. John Pombe Magufuli ambapo amesema anafanya kazi nzuri sana na wakati mwingine amekuwa akimuona ameshika koleo kwa ajili ya kuchimba mchanga akishirikiana na wafungwa.
Akizungumza leo Mei 21 mwaka huu, akiwa katika Ikulu ya Chamwino Mjini Dodoma, Rais Magufuli amesema kuwa alifanya mabadiliko ya Kamishna Jenerali wa Magereza na kwamba aliyeko sasa anafanya kazi...

 

9 years ago

Michuzi

JESHI LA ANGA LA CCM LAMALIZA KAZI TABORA,WANANCHI WAAHIDI KUCHAGUA "KAZI TU"

FieldMashall Mwigulu Nchemba akizungumza na Wananchi wa Sikonge hii leo Mkoani Tabora wakati wa Mkutano wa Kampeni wa Chama Cha Mapinduzi,Mwigulu Nchemba amewasisitiza Wananchi wa Sikonge Kuachana na siasa za Makundi ndani ya Chama Cha Mapinduzi,"Wananchi wote,WanaCCM wote tuunganishe nguvu zetu kukipa Ushindi chama cha Mapinduzi,Tuunganishe nguvu kuhakikisha tunapata Mbunge wa CCM atakayeweza kutatua Matatizo ya Tumbaku hapa Sikonge"Mbali na hilo ,Mwigulu Nchemba ameendelea kusisitiza...

 

9 years ago

Dewji Blog

HAPA KAZI TU: Majaliwa aibukia Bandari na kuwatia mbaroni maafisa kadhaa huku Rais akimsimamisha kazi Kamishna TRA!

DSC_1838

Waziri Mkuu Mhe Majaliwa Kassim Majaliwa  alipofanya ziara ya ghafla bandarini akisalimiana na uongozi wa TRA na TPA. 

WAZIRI MKUU Majaliwa Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi maafisa watano na watumishi watatu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutokana na upotevu wa makontena 349 yenye thamani ya zaidi ya sh. bilioni 80/-.

Akizungumza na viongozi wa Mamlaka ya Bandari pamoja na viongozi wa TRA katika ziara ya kushtukiza leo mchana (Ijumaa, Novemba 27, 2015), Waziri Mkuu amewataka Kamishna...

 

9 years ago

Dewji Blog

Naibu Katibu Mkuu mpya Mambo ya Ndani aanza kazi rasmi na kuwataka watumishi kutekeleza kauli mbiu ya “Hapa Kazi Tu”

Pix 1

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi aliyeteuliwa hivi karibuni, John Mngodo, akijitambulisha kwa Watumishi  mara baada ya kuanza kazi rasmi  katika Wizara hiyo. Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu, Lilian Mapfa na kushoto ni Mwenyekiti wa TUGHE,  Obedi Mbaga.

Pix 2

Mkurugenzi wa Idara ya Sheria katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Marlin Komba akijitambulisha mbele ya Naibu Katibu Mkuu mpya, John Mngodo (hayupo pichani) wakati wa Mkutano...

 

9 years ago

Michuzi

NAIBU KATIBU MKUU MPYA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AANZA KAZI RASMI NA KUWATAKA WATUMISHI KUTEKELEZA KAULI MBIU YA “HAPA KAZI TU”

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi aliyeteuliwa hivi karibuni, John Mngodo, akijitambulisha kwa Watumishi  mara baada ya kuanza kazi rasmi  katika Wizara hiyo. Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu, Lilian Mapfa na kushoto ni Mwenyekiti wa TUGHE,  Obedi Mbaga.

Mkurugenzi wa Idara ya Sheria katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Marlin Komba akijitambulisha mbele ya Naibu Katibu Mkuu mpya, John Mngodo (hayupo pichani) wakati wa Mkutano kati...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mjadala wa Utendaji Kazi Bungeni

Je, katiba mpya na bunge mpya umefanisisha utendaji kazi bungeni?

 

11 years ago

Tanzania Daima

Motisha huongeza ari ya utendaji kazi

MWANZONI mwa mwezi huu dunia iliadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani ijulikanayo kama Mei Mosi. Mara nyingi siku hii huadhimishwa kama vile walengwa ni wafanyakazi wa maofisini pekee, lakini ni siku...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tambaza: Wanasiasa wanakwamisha utendaji kazi

MOJA ya hatua ya kuliweka jiji la Dar es salaam kuwa safi ni kuondoa uchafu, magari yanayoegesha vibaya na gereji bubu zilizoko katika maeneo mengi. Kutokana na hali hiyo, kampuni...

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali ibuni mifumo bora ya utendaji kazi

Tangu kuanza kazi kwa Baraza la Mawaziri la Serikali ya Awamu ya Tano, likiwa na kaulimbiu ya ‘Hapa Kazi Tu’, mengi yameonekana kutoka kwa mawaziri hao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani