Hapa kazi tu na utendaji kazi wa staili ya jeshi la mtu mmoja
RAIS wa Awamu ya Tano, Dk. John Magufuli ameanza kazi kwa staili ambayo si mpya hapa nchini.
Yahya Msangi
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HMxEGepLXxQ/XsaGheryzdI/AAAAAAALrIs/1qr5EL5M3foxwUwA74PQYAdMr9gP_hSdwCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot%2B2020-05-21%2Bat%2B16.27.24%2B%25281%2529.png)
UTENDAJI KAZI WA KAMISHNA JENERALI WA JESHI LA MAGEREZA SULEIMAN MZEE WAMKOSHA RAIS JOHN MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-HMxEGepLXxQ/XsaGheryzdI/AAAAAAALrIs/1qr5EL5M3foxwUwA74PQYAdMr9gP_hSdwCLcBGAsYHQ/s640/Screenshot%2B2020-05-21%2Bat%2B16.27.24%2B%25281%2529.png)
Na Said Mwishehe, Michuzi TVUTENDAJI kazi unaofanywa na Kamishna Jenereli wa Magereza Suleiman Mzee (pichani) umemkosha sana Rais Dk. John Pombe Magufuli ambapo amesema anafanya kazi nzuri sana na wakati mwingine amekuwa akimuona ameshika koleo kwa ajili ya kuchimba mchanga akishirikiana na wafungwa.
Akizungumza leo Mei 21 mwaka huu, akiwa katika Ikulu ya Chamwino Mjini Dodoma, Rais Magufuli amesema kuwa alifanya mabadiliko ya Kamishna Jenerali wa Magereza na kwamba aliyeko sasa anafanya kazi...
9 years ago
Michuzi27 Sep
JESHI LA ANGA LA CCM LAMALIZA KAZI TABORA,WANANCHI WAAHIDI KUCHAGUA "KAZI TU"
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/vRUyt5gK-lCGtpsTfui9k6Tyahr2nOjql4RT86g2VPgldzX6syMGsuR_rv9bzQz5SsP4eCpL2ouWYUBhDJ3VaDNbgbPK8GAj_8pPI1Vvz6Cknx27tbnn9gOjgG20YYecxXzNLiWr6mp16J10B83TPlkLxlL_EGKUWc17b8FEyaAC5QzJgJrxDTeHAaVobf21vtHIbB7ALrHdm8SHNXhmDR0LPaXq5tF-JLAJrkZDW41BjzXQ=s0-d-e1-ft#https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-9/12043167_429722983896602_2289722885655738355_n.jpg?oh=802e9123e3ea8af0b46fb4534d18298c&oe=5690AF24)
9 years ago
Dewji Blog28 Nov
HAPA KAZI TU: Majaliwa aibukia Bandari na kuwatia mbaroni maafisa kadhaa huku Rais akimsimamisha kazi Kamishna TRA!
Waziri Mkuu Mhe Majaliwa Kassim Majaliwa alipofanya ziara ya ghafla bandarini akisalimiana na uongozi wa TRA na TPA.
WAZIRI MKUU Majaliwa Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi maafisa watano na watumishi watatu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutokana na upotevu wa makontena 349 yenye thamani ya zaidi ya sh. bilioni 80/-.
Akizungumza na viongozi wa Mamlaka ya Bandari pamoja na viongozi wa TRA katika ziara ya kushtukiza leo mchana (Ijumaa, Novemba 27, 2015), Waziri Mkuu amewataka Kamishna...
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Naibu Katibu Mkuu mpya Mambo ya Ndani aanza kazi rasmi na kuwataka watumishi kutekeleza kauli mbiu ya “Hapa Kazi Tu”
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi aliyeteuliwa hivi karibuni, John Mngodo, akijitambulisha kwa Watumishi mara baada ya kuanza kazi rasmi katika Wizara hiyo. Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu, Lilian Mapfa na kushoto ni Mwenyekiti wa TUGHE, Obedi Mbaga.
Mkurugenzi wa Idara ya Sheria katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Marlin Komba akijitambulisha mbele ya Naibu Katibu Mkuu mpya, John Mngodo (hayupo pichani) wakati wa Mkutano...
9 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU MPYA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AANZA KAZI RASMI NA KUWATAKA WATUMISHI KUTEKELEZA KAULI MBIU YA “HAPA KAZI TU”
Mkurugenzi wa Idara ya Sheria katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Marlin Komba akijitambulisha mbele ya Naibu Katibu Mkuu mpya, John Mngodo (hayupo pichani) wakati wa Mkutano kati...
11 years ago
BBCSwahili11 May
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Motisha huongeza ari ya utendaji kazi
MWANZONI mwa mwezi huu dunia iliadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani ijulikanayo kama Mei Mosi. Mara nyingi siku hii huadhimishwa kama vile walengwa ni wafanyakazi wa maofisini pekee, lakini ni siku...
10 years ago
Tanzania Daima25 Nov
Tambaza: Wanasiasa wanakwamisha utendaji kazi
MOJA ya hatua ya kuliweka jiji la Dar es salaam kuwa safi ni kuondoa uchafu, magari yanayoegesha vibaya na gereji bubu zilizoko katika maeneo mengi. Kutokana na hali hiyo, kampuni...
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Serikali ibuni mifumo bora ya utendaji kazi