JESHI LA ANGA LA CCM LAMALIZA KAZI TABORA,WANANCHI WAAHIDI KUCHAGUA "KAZI TU"
FieldMashall Mwigulu Nchemba akizungumza na Wananchi wa Sikonge hii leo Mkoani Tabora wakati wa Mkutano wa Kampeni wa Chama Cha Mapinduzi,Mwigulu Nchemba amewasisitiza Wananchi wa Sikonge Kuachana na siasa za Makundi ndani ya Chama Cha Mapinduzi,"Wananchi wote,WanaCCM wote tuunganishe nguvu zetu kukipa Ushindi chama cha Mapinduzi,Tuunganishe nguvu kuhakikisha tunapata Mbunge wa CCM atakayeweza kutatua Matatizo ya Tumbaku hapa Sikonge"Mbali na hilo ,Mwigulu Nchemba ameendelea kusisitiza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV13 Jan
Wananchi waaswa kuchagua viongozi wachapa kazi
Na Sudi Shaaban,
Mwanza.
Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Mwanza kimewataka wananchi kuwa makini kuepuka watakaotaka uongozi kwa kutoa rushwa na badala yake wachague viongozi ambao watakuwa na weledi na wachapa kazi katika taifa.
Katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu watu mbalimbali wanatajwa kujitokeza kuwania nafasi za uongozi baadhi yao wakijipanga kupata kura kwa kuwalaghai wananchi jambo ambalo ni kinyume na taratibu za uchaguzi.
Baadhi ya wananchi wanatajwa kuwa mstari wa...
9 years ago
Raia Mwema02 Dec
Hapa kazi tu na utendaji kazi wa staili ya jeshi la mtu mmoja
RAIS wa Awamu ya Tano, Dk. John Magufuli ameanza kazi kwa staili ambayo si mpya hapa nchini.
Yahya Msangi
9 years ago
StarTV21 Oct
Waangalizi wa EAC waahidi kufanya kazi kwa kufuata sheria katika Uchaguzi mkuu.
Timu ya Waangalizi wa Uchaguzi Mkuu Tanzania kutoka nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), imezinduliwa jijini Dar es Salaam na kusema itafanya kazi yake kwa kufuata sheria za nchi na kanuni za jumuiya hiyo.
Timu hiyo ina jumla ya waangalizi 67 wa kutoka nchi NNEe kati ya tano ambao ni Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi, Mwenyekiti akiwa Makamu wa Rais wa zamani wa Kenya, Moody Awori.
Waangalizi hao miongoni mwao ni wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Tume za Taifa za Uchaguzi,...
10 years ago
MichuziBODI YA BARABARA MKOA WA DODOMA YAZITAKA HALMASHAURI ZA WILAYA DODOMA KUCHAGUA WAKANDARASI WENYE UWEZO WA KUFANYA KAZI WANAPOTOA KANDARASI
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
9 years ago
Michuzi26 Sep
CCM YARUSHA JESHI LA ANGA, MWIGULU AONGOZA KIKOSI...WAIMARISHA USHINDI WA KISHINDO MAJIMBO YA NZEGA
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/3XPbfxgGPjLoxBgmUDThDeE64c-86g5k-pr9X_F8rBFsbxte3Abm1IKK15XnfGwaphluQ5u8Xgwq-YMfGpjHSpTSJbl-iNpf3J9kEGvkt8fQX8Okbt-jaIfp-jl3gS_zSDBfuFXD-tsfmHzjDx0UIzDaQT0Ld06oUAfEFM_nTrZsD5pDrj88VDt-63Kh6WG0LFFvDg58Ztur50pbt5Nq5E3_NZ9tqMDRIkumA9csCNuHwQjk=s0-d-e1-ft#https://scontent-vie1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/12038032_429473873921513_2447179536983485105_n.jpg?oh=b1b2367c9b29bfe510264d4ef0d555ff&oe=569976DF)
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/aeAE77CPZs5OzcMHun31JHDuzzleY8LYk2TMA8oKqeqJiSft-aEJ5OhuDkTTvOM0W5hmivYMJY4MMx2D1c_WHQqIJLtFrGVCJGGDiuL42YdUmynA3_bFqxNY7MVil8klRKN3jVduKxAUh30RBDz22zba7ggM44KYv6iiHwteTpteStzCB4Gcp1dA3WwIl02WSF_QS5YD5qdgX5BwejLghSWxOkuuLLdd1LDufDMLYY-rqIKOrFU=s0-d-e1-ft#https://scontent-vie1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xaf1/v/t1.0-9/12037964_10206746686418802_2616894233099586072_n.jpg?oh=a0f1c900ad60d747d56d5b5c8b0b0035&oe=5698AA82)
10 years ago
Habarileo19 Feb
Jeshi la Polisi, JWTZ wapongezwa kazi nzuri
BAADHI ya wakazi wa jijini Tanga wamepongeza hatua ya awali iliyofikiwa na Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na JWTZ kwenye operesheni maalumu ya kusaka wahalifu pamoja na silaha waliokuwa wamejifisha katika mapango ya Majimoto yaliyopo eneo la Mzizima Amboni, nje kidogo ya mji.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1IakUtC7aAc/VdOesSMNIuI/AAAAAAAHyD0/Ao_K4d4xP_o/s72-c/aaa.png)
TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMBO VYA HABARI TAREHE 18.08.2015. KUFANYA KAZI YA ULINZI NA USALAMA ILIYOKASIMIWA KWA JESHI LA POLISI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-1IakUtC7aAc/VdOesSMNIuI/AAAAAAAHyD0/Ao_K4d4xP_o/s640/aaa.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-E_TqgsZUVxA/VdOd8pH2pxI/AAAAAAAHyDo/ZHeA-B7qXco/s640/unnamed%2B%252841%2529.jpg)
KATIKA MSAFARA WAKE KUTOKA UWANJA WA NDEGE [SONGWE] KULIONEKANA GARI MOJA (PICHANI) AINA YA LAND CRUISER – PICK UP YENYE RANGI NYEUSI NA NDANI YAKE LILIKUWA LIMEBEBA VIJANA AMBAO WALIKUWA WAMEVAA MAVAZI MEUSI, KOFIA – BERETI NYEUSI NA MIWANI...
9 years ago
Vijimambo25 Sep
TASWIRA,CCM YARUSHA JESHI LA ANGA,MWIGULU AONGOZA KIKOSI...WAIMARISHA USHINDI WA KISHINDO MAJIMBO YA NZEGA HII LEO
![](https://scontent-vie1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/12038032_429473873921513_2447179536983485105_n.jpg?oh=b1b2367c9b29bfe510264d4ef0d555ff&oe=569976DF)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xlp1/v/t1.0-9/12063471_429450910590476_8674893649040548460_n.jpg?oh=c9ad8950c50c04cbfae8a3b3818b3995&oe=5697AE36&__gda__=1452211236_053baea979e5f92f0482cd364ee25502)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t1.0-9/11174936_429450847257149_4973483893161465795_n.jpg?oh=8989b142cbe2bd76766f5be66b77ef1f&oe=569D80DA&__gda__=1453725104_bb913dedeb9c8b82b9123c17fc5993e7)