HAPA KAZI TU: Majaliwa aibukia Bandari na kuwatia mbaroni maafisa kadhaa huku Rais akimsimamisha kazi Kamishna TRA!
Waziri Mkuu Mhe Majaliwa Kassim Majaliwa alipofanya ziara ya ghafla bandarini akisalimiana na uongozi wa TRA na TPA.
WAZIRI MKUU Majaliwa Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi maafisa watano na watumishi watatu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutokana na upotevu wa makontena 349 yenye thamani ya zaidi ya sh. bilioni 80/-.
Akizungumza na viongozi wa Mamlaka ya Bandari pamoja na viongozi wa TRA katika ziara ya kushtukiza leo mchana (Ijumaa, Novemba 27, 2015), Waziri Mkuu amewataka Kamishna...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-K2mqGgno4ZE/VlhmpPjqKEI/AAAAAAAIIn8/FPEkOPRsyto/s72-c/45.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZ......: RAIS MAGUFULI AMSIMAMISHA KAZI KAMISHNA MKUU WA TRA
![](http://3.bp.blogspot.com/-K2mqGgno4ZE/VlhmpPjqKEI/AAAAAAAIIn8/FPEkOPRsyto/s640/45.jpg)
Hatua hiyo imekuja baada kubaini kupitishwa kwa makontena zaidi ya 300 na kusababishia hasara Serikali ya zaidi ya shilingi bilioni 80.
Rais Magufuli pia amemteua Katibu...
9 years ago
Michuzi27 Nov
BREAKING NEWZZZZZ....WAZIRI MKUU MAJALIWA AVAMIA BANDARI LEO, AAMRISHA KUKAMATWA KWA MAAFISA KIBAO WA TRA
9 years ago
Raia Mwema02 Dec
Hapa kazi tu na utendaji kazi wa staili ya jeshi la mtu mmoja
RAIS wa Awamu ya Tano, Dk. John Magufuli ameanza kazi kwa staili ambayo si mpya hapa nchini.
Yahya Msangi
9 years ago
Dewji Blog15 Nov
MODEWJIBLOG: Watanzania tuache kufanya kazi kwa Mazoea, Rais Dk.Magufuli tembelea na huku!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli alipotembelea kwa mara ya kwanza Wizara ya Fedha, safari ambayo ilikuwa ni ya ghafla.
Na. Andrew Chale, Modewjiblog
[TANZANIA] Kwa sasa kila zungumzo la Mtanzania ni juu ya safari za kushtukiza za Rais wa awamu ya tano, Mh. Rais Dk. John Pombe Magufuli ambaye ameacha gumzo kwa kuanza kwa kishindo na dhana yake ya ‘Hapa Kazi Tu’!.. Kwa kutuonjesha tu, ametembelea Wizara ya Fedha safari ya kushtukiza na kuamsha hali ya utendaji wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HMxEGepLXxQ/XsaGheryzdI/AAAAAAALrIs/1qr5EL5M3foxwUwA74PQYAdMr9gP_hSdwCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot%2B2020-05-21%2Bat%2B16.27.24%2B%25281%2529.png)
UTENDAJI KAZI WA KAMISHNA JENERALI WA JESHI LA MAGEREZA SULEIMAN MZEE WAMKOSHA RAIS JOHN MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-HMxEGepLXxQ/XsaGheryzdI/AAAAAAALrIs/1qr5EL5M3foxwUwA74PQYAdMr9gP_hSdwCLcBGAsYHQ/s640/Screenshot%2B2020-05-21%2Bat%2B16.27.24%2B%25281%2529.png)
Na Said Mwishehe, Michuzi TVUTENDAJI kazi unaofanywa na Kamishna Jenereli wa Magereza Suleiman Mzee (pichani) umemkosha sana Rais Dk. John Pombe Magufuli ambapo amesema anafanya kazi nzuri sana na wakati mwingine amekuwa akimuona ameshika koleo kwa ajili ya kuchimba mchanga akishirikiana na wafungwa.
Akizungumza leo Mei 21 mwaka huu, akiwa katika Ikulu ya Chamwino Mjini Dodoma, Rais Magufuli amesema kuwa alifanya mabadiliko ya Kamishna Jenerali wa Magereza na kwamba aliyeko sasa anafanya kazi...
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Naibu Katibu Mkuu mpya Mambo ya Ndani aanza kazi rasmi na kuwataka watumishi kutekeleza kauli mbiu ya “Hapa Kazi Tu”
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi aliyeteuliwa hivi karibuni, John Mngodo, akijitambulisha kwa Watumishi mara baada ya kuanza kazi rasmi katika Wizara hiyo. Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu, Lilian Mapfa na kushoto ni Mwenyekiti wa TUGHE, Obedi Mbaga.
Mkurugenzi wa Idara ya Sheria katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Marlin Komba akijitambulisha mbele ya Naibu Katibu Mkuu mpya, John Mngodo (hayupo pichani) wakati wa Mkutano...
9 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU MPYA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AANZA KAZI RASMI NA KUWATAKA WATUMISHI KUTEKELEZA KAULI MBIU YA “HAPA KAZI TU”
Mkurugenzi wa Idara ya Sheria katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Marlin Komba akijitambulisha mbele ya Naibu Katibu Mkuu mpya, John Mngodo (hayupo pichani) wakati wa Mkutano kati...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Y67_3SBCfC4/Xnc3_ykIIQI/AAAAAAACJEc/gy7wi0Xw-LUoEIL1SloksM1w1lcbpRH8QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200322_125827_308.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AWATAKA WATANZANIA WASITISHWE NA JANGA LA CORONA, WAENDELEE KUCHAPA KAZI HUKU WAKIZINGATIA TU TAHADHARI ZOTE ZA KUJIKINGA NA UGONJWA HUO
![](https://1.bp.blogspot.com/-Y67_3SBCfC4/Xnc3_ykIIQI/AAAAAAACJEc/gy7wi0Xw-LUoEIL1SloksM1w1lcbpRH8QCLcBGAsYHQ/s320/IMG_20200322_125827_308.jpg)
DODOMA, Tanzania
Rais Dk. John Magufuli amewataka Watanzania kutotishwa na janga la ugonjwa wa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona, badala yake waendelee kufanya kazi kwa bidii na kujenga uchumi huku wakizingatia tahadhari zote za kujikinga kuambukizwa ugonjwa huo kama zilivyotolewa na...