Musoti aomba kuvunja mkataba Simba
![](http://api.ning.com:80/files/V0siS8-FppDDlOL4iFwJn*oWcXNFG3LvpkGWJA58Je5K5FymEVXwY8ToERIDlZcdBqSsTdx1t8*BrJUCr2LIi6rob9Mf-f6W/MUSOTI.gif?width=650)
Donald Musoti. Nicodemus Jonas na Martha Mboma BEKI wa kati wa Simba, Mkenya Donald Musoti amesema yupo tayari kuvunja mkataba na Simba kutokana na kupata ulaji wa maana nchini Dubai katika Falme za Kiarabu. Musoti, beki wa zamani wa Gor Mahia ya Kenya, juzi aliamua kuvunja ukimya na kufunguka sababu zilizomfanya kuchelewa kuripoti kambini kwa siku tano, ambapo alisema alikuwa Dubai katika timu hiyo ambayo hajaikariri jina....
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*Cq*5c5InxPrmVLNf1Vnx26fmsnUkV3OwQuno66-XcOSLBGaWL7JNhXLMdxOtmPKVRT7XhwOD-MOC3MKR45cObW1/musoma.jpg)
Musoti azima simu,Simba SC wahaha
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Ivo Mapunda: Simba Musoti ni jembe
11 years ago
GPL![](http://millardayo.com/wp-content/uploads/2013/12/Ivo.jpg?width=640)
IVO MAPUNDA NA DONALD MUSOTI WAJIUNGA RASMI NA SIMBA SC
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/bTQ94SQ5wOIIUcVzE8ZskEsqpGhLg1psHG0nz9Lowc-ObffJXo7DzmeUL1cVClxpEDz4RPq3kXgB*I98XW2AKuHcLf2dWIeS/kochaKimPoulsenwatimuyataifayavijana.jpg?width=650)
TFF, POULSEN WAKUBALIANA KUVUNJA MKATABA
10 years ago
Mwananchi29 Jan
Namna bora ya kuvunja mkataba wa kazi
10 years ago
Vijimambo31 Oct
Juma Kaseja aamua kuvunja mkataba Yanga
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Juma-Kaseja--October30-2014.jpg)
Hata hivyo, moja ya sharti ambalo ni vigumu kutekelezeka ni pamoja na kutaka kupewa nafasi za kudaka katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), ambayo hajawahi kusimama langoni msimu huu tangu pazia lilipofunguliwa Septemba 20.
Kupitia meneja wake, Abdulfatah Saleh, Kaseja ameipa masharti Klabu ya Yanga kama inataka kubaki naye immalizie fedha za...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-oKdGspez5g0/Xmt5UMlE_FI/AAAAAAALi5Q/xbHCT4-uv0sXoPmKreG7BomvvCJVEOlyQCLcBGAsYHQ/s72-c/a3190650-3984-478c-87e5-2aae7f3a29f4.jpg)
SERIKALI YATHIBITISHA KUVUNJA MKATABA KATI YA JESHI LA ZIMAMOTO NA KAMPUNI YA ROM SOLUTION
Charles James, Michuzi TV
SERIKALI imesema imevunja mkataba baina ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji na Kampuni ya ROM Solution Co. Ltd ambao ulikua wa ununuzi wa vifaa vya jeshi hilo wenye thamani ya zaidi ya Shilingi Trilioni moja.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe George Simbachawene leo jijini Dodoma ambapo amesema makubaliano hayo yalishavunjwa...
11 years ago
Tanzania Daima08 Jan
Watuhumiwa kuvunja viti Taifa walia kutoswa Simba
WAKATI kesi ya kufanya fujo na kuvunja viti vya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam katika mechi kati ya Simba na Kagera Sugar ikitarajiwa kuanza kusikilizwa Januari 27 katika...
10 years ago
Mwananchi15 Jul
Kerr aomba Simba apewe kipa mpya