Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Musoti azima simu,Simba SC wahaha

Beki wa timu ya Simba, Mkenya, Donald Musoti Na Martha Mboma
KATIKA hali ya kushangaza, uongozi wa Simba mpaka sasa bado haujafahamu na hauna taarifa yoyote kuhusiana na beki wa timu hiyo, Mkenya, Donald Musoti atarejea lini nchini na ni kitu gani ambacho kimemkwamisha mpaka sasa  kushindwa kuwasili, wakiwa hawana mawasiliano naye huku beki Mganda, Joseph Owino akitarajia kutua nchini leo Jumatatu. Musoti amezima simu na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ivo Mapunda: Simba Musoti ni jembe

Kipa mpya wa Simba, Ivo Mapunda amewatoa hofu wapenzi na mashabiki wa timu hiyo kuwa viongozi wao wamefanya jambo la busara ambalo hawatalijutia kwa uamuzi wao wa kumsajili Donald Musoti.

 

11 years ago

GPL

Musoti aomba kuvunja mkataba Simba

Donald Musoti.
Nicodemus Jonas na Martha Mboma
BEKI wa kati wa Simba, Mkenya Donald Musoti amesema yupo tayari kuvunja mkataba na Simba kutokana na kupata ulaji wa maana nchini Dubai katika Falme za Kiarabu. Musoti, beki wa zamani wa Gor Mahia ya Kenya, juzi aliamua kuvunja ukimya na kufunguka sababu zilizomfanya kuchelewa kuripoti kambini kwa siku tano, ambapo alisema alikuwa Dubai katika timu hiyo ambayo hajaikariri jina....

 

11 years ago

GPL

IVO MAPUNDA NA DONALD MUSOTI WAJIUNGA RASMI NA SIMBA SC

KIPA Ivo Philip Mapunda, amesaini Mkataba wa kujiunga na klabu ya Simba SC ya Dar es Salaam,akitokea Gor Mahia ya Kenya.Ivo amesaini Simba SC, baada ya kung’ara akiwa na kikosi cha Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Challenge mwaka huu. Ivo aliiongoza Kilimanjaro Stars kufika Nusu Fainali ya Challenge baada ya kuwatoa waliokuwa mabingwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Musoti ampiga bao Butoyi, Okwi nje

Rais wa Simba, Evans Aveva amemaliza utata wa usajili wa wachezaji wa kigeni uliokuwa umeigubika klabu hiyo kwa kusema Mkenya Donald Mosoti ndiye anabaki na Mrundi Butoyi Hussein wamempiga chini huku Yanga nao wakimpiga chini Emmanuel Okwi raia wa Uganda.

 

9 years ago

Michuzi

11 years ago

Tanzania Daima

Sitta azima mjadala wa kanuni

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amesitisha mjadala wa kanuni za Bunge hilo akisema wananchi wamechoshwa na jambo hilo hivyo wajumbe wajielekeze kwenye kazi ya kutengeneza Katiba. Bunge...

 

10 years ago

Mwananchi

Lipumba azima maandamano ya CUF

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahimu Lipumba amefanikiwa kuzima maandamano ya Jumuiya ya Vijana wa chama hicho yaliyopangwa kufanyika jana.

 

10 years ago

GPL

WEMA AZIMA JEURI YA KAJALA

Stori: Erick Evarist
FEDHA haina mwenyewe! Siku chache baada ya kudaiwa kuyumba kiuchumi kiasi cha kuzidiwa jeuri na aliyekuwa shosti wake, Kajala Masanja ‘K’, Beautiful Onyinye, Wema Sepetu ameibuka na kujibu mapigo kwa kumwaga ‘mafedha’ ukumbini, Risasi Mchanganyiko linashuka na mzigo kamili. Wema akimwaga manoti kwa mwimbaji wa Skylite Band. Tukio hilo lililowaacha watu midomo wazi lilichukua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani