Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sitta azima mjadala wa kanuni

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amesitisha mjadala wa kanuni za Bunge hilo akisema wananchi wamechoshwa na jambo hilo hivyo wajumbe wajielekeze kwenye kazi ya kutengeneza Katiba. Bunge...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Sitta adaiwa kukiuka kanuni

AKIWA ndiyo kwanza ametoka kuapishwa na kuanza kazi, Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta amepingwa na mjumbe wa bunge hilo, Tundu Lissu kuwa amefanya maamuzi kwa kukiuka kanuni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sitta atakiwa kufuata kanuni

BAADHI ya wananchi wa Mji wa Dodoma wamemtaka Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kuhakikisha anaendesha Bunge hilo kwa kufuata kanuni na taratibu zilizopitishwa na wajumbe. Aidha, wamesema...

 

10 years ago

Mwananchi

Sitta hakuchakachua Kanuni - Prof. Mahalu

Wakati baadhi ya watu wakiendelea kuamini kuwa Mwenyekiti wa Bunge la Katiba Samuel Sitta alichakachua kanuni ili apitishe Katiba, aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya kupitia Kanuni hizo za kuendeshea Bunge hilo, Profesa Costa Ricky Mahalu amemtetea akisema ‘Bunge halikukosea kurekebisha kanuni hizo.’

 

11 years ago

Mwananchi

Waliosema Sitta alivunja kanuni hawajui utawala bora

Kila Mjumbe ana cha kuzungumza juu ya kikao cha Bunge la Katiba kilichovunjwa, kutokana na zogo lililozuka bungeni siku ambayo Jaji Joseph Warioba alilazimika kuahirisha kuwasilisha Rasimu ya Pili ya Katiba kwa wajumbe wa bunge hilo.

 

11 years ago

Michuzi

Mkipuuza kanuni, tusilaumiane,' Sitta alionya Bunge la Katiba

Courtesy of Mwananchi Communications Limited (MCL)

 

11 years ago

Mwananchi

‘Msipofuata kanuni, tusilaumiane,’ Sitta awaonya wajumbe wa #Bunge la #Katiba [VIDEO]

>Sitta aasa wajumbe wafanye kazi iliyowapeleka Dodoma bila manung’uniko wala lawama.

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge la Katiba 'litaendelea bila Ukawa,' asema Sitta huku kanuni zikirekebishwa [VIDEO]

Wakati vikao vya Bunge Maalum la Katiba vikianza tena mjini Dodoma bila ya kuwepo kwa Ukawa, Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samweli Sitta amesema Bunge hilo halitaahirisha shughuli zake hadi hapo muda wa siku 60 waliopewa utakapokamilika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani