Waliosema Sitta alivunja kanuni hawajui utawala bora
Kila Mjumbe ana cha kuzungumza juu ya kikao cha Bunge la Katiba kilichovunjwa, kutokana na zogo lililozuka bungeni siku ambayo Jaji Joseph Warioba alilazimika kuahirisha kuwasilisha Rasimu ya Pili ya Katiba kwa wajumbe wa bunge hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
WATUMISHI WA UMMA WAASWA KUZINGATIA KANUNI ZA MAADILI YA UTENDAJI KAZI ILI KUJENGA UTAWALA BORA.
Rai hiyo imetolewa na Kamishna wa Maadili Mhe. Jaji (Mst.) Salome Kaganda wakati akizindua filamu ya “The Minister” iliyoandaliwa na Kampuni ya Equity Links Enterprises (ELE) katika ukumbi wa CENTURY CINEMAX THEATRE Jijini Dar es Salaam.
Mhe. Kaganda alifafanua kuwa katika utumishi wa umma kuna Kanuni za Maadili ya utendaji ...
11 years ago
Habarileo16 Mar
Sitta adaiwa kukiuka kanuni
AKIWA ndiyo kwanza ametoka kuapishwa na kuanza kazi, Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta amepingwa na mjumbe wa bunge hilo, Tundu Lissu kuwa amefanya maamuzi kwa kukiuka kanuni.
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Sitta atakiwa kufuata kanuni
BAADHI ya wananchi wa Mji wa Dodoma wamemtaka Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kuhakikisha anaendesha Bunge hilo kwa kufuata kanuni na taratibu zilizopitishwa na wajumbe. Aidha, wamesema...
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Sitta azima mjadala wa kanuni
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amesitisha mjadala wa kanuni za Bunge hilo akisema wananchi wamechoshwa na jambo hilo hivyo wajumbe wajielekeze kwenye kazi ya kutengeneza Katiba. Bunge...
11 years ago
Mwananchi19 Oct
Sitta hakuchakachua Kanuni - Prof. Mahalu
11 years ago
Michuzi15 Mar
Mkipuuza kanuni, tusilaumiane,' Sitta alionya Bunge la Katiba
11 years ago
Mwananchi15 Mar
‘Msipofuata kanuni, tusilaumiane,’ Sitta awaonya wajumbe wa #Bunge la #Katiba [VIDEO]
10 years ago
Habarileo07 Sep
Tume ya Utawala Bora yaonya wanasiasa
TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora imetahadharisha wanasiasa, kuacha mara moja kutumia kauli ambazo zinaweza kuwa chanzo cha kuhatarisha amani ya nchi katika mikutano yao ya kampeni.