Sitta adaiwa kukiuka kanuni
AKIWA ndiyo kwanza ametoka kuapishwa na kuanza kazi, Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta amepingwa na mjumbe wa bunge hilo, Tundu Lissu kuwa amefanya maamuzi kwa kukiuka kanuni.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Sitta azima mjadala wa kanuni
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amesitisha mjadala wa kanuni za Bunge hilo akisema wananchi wamechoshwa na jambo hilo hivyo wajumbe wajielekeze kwenye kazi ya kutengeneza Katiba. Bunge...
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Sitta atakiwa kufuata kanuni
BAADHI ya wananchi wa Mji wa Dodoma wamemtaka Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kuhakikisha anaendesha Bunge hilo kwa kufuata kanuni na taratibu zilizopitishwa na wajumbe. Aidha, wamesema...
10 years ago
Mwananchi19 Oct
Sitta hakuchakachua Kanuni - Prof. Mahalu
11 years ago
Michuzi15 Mar
Mkipuuza kanuni, tusilaumiane,' Sitta alionya Bunge la Katiba
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Waliosema Sitta alivunja kanuni hawajui utawala bora
11 years ago
Mwananchi15 Mar
‘Msipofuata kanuni, tusilaumiane,’ Sitta awaonya wajumbe wa #Bunge la #Katiba [VIDEO]
11 years ago
Dewji Blog18 Jul
Sitta azidi kupingwa, adaiwa kuhadaa watanzania
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta.
Na Mwandishi wetu
Mwinjilisti wa Kanisa la TAG liliko Mbagala wilayani Temeke jijini Dar es Salaam, Medad Kyabashasa, amesema kitendo cha Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta kuunda Kamati ya maridhiano ni kitendo cha kuwahadaa Watanzania.
Hadaa hiyo ni yakutaka kuwafanya wajumbe wanaopigania Katiba ya Wananchi (Ukawa), ambao wametoka nje ya bunge hilo kupinga ubabe unaofanywa na wajumbe wa Chama Cha Mapinduzi, waonekane ni...
11 years ago
Mtanzania30 Jul
Sitta adaiwa kutumia Bunge la Katiba kusaka urais
![Samuel Sitta](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Samuel-Sitta.jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta
NA ELIZABETH HOMBO
MBUNGE wa Mkanyageni, Habib Mnyaa (CUF) amesema Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta, anataka kulitumia Bunge la Katiba kwa nia ya kufanikisha dhamira yake ya kutaka urais.
Mnyaa alisema ni jambo la kushangaza kuona Sitta akihangaika kusaka suluhu na wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Akizungumza na MTANZANIA Jumatano, Mnyaa alisema ni jambo lisiloingia...