Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sitta hakuchakachua Kanuni - Prof. Mahalu

Wakati baadhi ya watu wakiendelea kuamini kuwa Mwenyekiti wa Bunge la Katiba Samuel Sitta alichakachua kanuni ili apitishe Katiba, aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya kupitia Kanuni hizo za kuendeshea Bunge hilo, Profesa Costa Ricky Mahalu amemtetea akisema ‘Bunge halikukosea kurekebisha kanuni hizo.’

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mahalu: Tatizo la Bunge la Katiba si kanuni

Bunge Maalumu limeshuhudiwa likigawanyika, baada ya upande unaojitanabaisha kama Umoja wa Katiba ya Wananchi, (Ukawa) kususia vikao vyake, huku upande mwingine ukibaki ukumbini kuendelea na mjadala katika Sura ya kwanza na Sita za Rasimu ya Katiba.

 

11 years ago

IPPmedia

Chairperson Prof Costa Mahalu


Chairperson Prof Costa Mahalu
IPPmedia
The Technical Committee of the Constitution Assembly is today set to present before the House amended orders for adoption. Chairperson Prof Costa Mahalu announced on Saturday night that the team had already incorporated the amendments agreed by ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sitta atakiwa kufuata kanuni

BAADHI ya wananchi wa Mji wa Dodoma wamemtaka Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kuhakikisha anaendesha Bunge hilo kwa kufuata kanuni na taratibu zilizopitishwa na wajumbe. Aidha, wamesema...

 

11 years ago

Habarileo

Sitta adaiwa kukiuka kanuni

AKIWA ndiyo kwanza ametoka kuapishwa na kuanza kazi, Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta amepingwa na mjumbe wa bunge hilo, Tundu Lissu kuwa amefanya maamuzi kwa kukiuka kanuni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sitta azima mjadala wa kanuni

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amesitisha mjadala wa kanuni za Bunge hilo akisema wananchi wamechoshwa na jambo hilo hivyo wajumbe wajielekeze kwenye kazi ya kutengeneza Katiba. Bunge...

 

11 years ago

Michuzi

Mkipuuza kanuni, tusilaumiane,' Sitta alionya Bunge la Katiba

Courtesy of Mwananchi Communications Limited (MCL)

 

11 years ago

Mwananchi

Waliosema Sitta alivunja kanuni hawajui utawala bora

Kila Mjumbe ana cha kuzungumza juu ya kikao cha Bunge la Katiba kilichovunjwa, kutokana na zogo lililozuka bungeni siku ambayo Jaji Joseph Warioba alilazimika kuahirisha kuwasilisha Rasimu ya Pili ya Katiba kwa wajumbe wa bunge hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Msipofuata kanuni, tusilaumiane,’ Sitta awaonya wajumbe wa #Bunge la #Katiba [VIDEO]

>Sitta aasa wajumbe wafanye kazi iliyowapeleka Dodoma bila manung’uniko wala lawama.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani