Sitta hakuchakachua Kanuni - Prof. Mahalu
Wakati baadhi ya watu wakiendelea kuamini kuwa Mwenyekiti wa Bunge la Katiba Samuel Sitta alichakachua kanuni ili apitishe Katiba, aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya kupitia Kanuni hizo za kuendeshea Bunge hilo, Profesa Costa Ricky Mahalu amemtetea akisema ‘Bunge halikukosea kurekebisha kanuni hizo.’
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 May
Mahalu: Tatizo la Bunge la Katiba si kanuni
11 years ago
IPPmedia10 Mar
Chairperson Prof Costa Mahalu
IPPmedia
The Technical Committee of the Constitution Assembly is today set to present before the House amended orders for adoption. Chairperson Prof Costa Mahalu announced on Saturday night that the team had already incorporated the amendments agreed by ...
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Sitta atakiwa kufuata kanuni
BAADHI ya wananchi wa Mji wa Dodoma wamemtaka Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kuhakikisha anaendesha Bunge hilo kwa kufuata kanuni na taratibu zilizopitishwa na wajumbe. Aidha, wamesema...
11 years ago
Habarileo16 Mar
Sitta adaiwa kukiuka kanuni
AKIWA ndiyo kwanza ametoka kuapishwa na kuanza kazi, Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta amepingwa na mjumbe wa bunge hilo, Tundu Lissu kuwa amefanya maamuzi kwa kukiuka kanuni.
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Sitta azima mjadala wa kanuni
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amesitisha mjadala wa kanuni za Bunge hilo akisema wananchi wamechoshwa na jambo hilo hivyo wajumbe wajielekeze kwenye kazi ya kutengeneza Katiba. Bunge...
11 years ago
Michuzi15 Mar
Mkipuuza kanuni, tusilaumiane,' Sitta alionya Bunge la Katiba
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Waliosema Sitta alivunja kanuni hawajui utawala bora
11 years ago
Mwananchi15 Mar
‘Msipofuata kanuni, tusilaumiane,’ Sitta awaonya wajumbe wa #Bunge la #Katiba [VIDEO]