Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sitta azidi kupingwa, adaiwa kuhadaa watanzania

sitta

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta.

Na Mwandishi wetu

Mwinjilisti wa Kanisa la TAG liliko Mbagala wilayani Temeke jijini Dar es Salaam, Medad Kyabashasa, amesema kitendo cha Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta kuunda Kamati ya maridhiano ni kitendo cha kuwahadaa Watanzania.

Hadaa hiyo ni yakutaka kuwafanya wajumbe wanaopigania Katiba ya Wananchi (Ukawa), ambao wametoka nje ya bunge hilo kupinga ubabe unaofanywa na wajumbe wa Chama Cha Mapinduzi, waonekane ni...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Sitta azidi kuumbuka

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba (BMK), Samuel Sitta, ameendelea kubanwa baada ya Jukwaa la Katiba (Jukata), kudai kura nyingine iliyopigwa kwa ajili kuhalalisha theluthi mbili Zanzibar ilichakachuliwa kutokea...

 

11 years ago

Mtanzania

Sitta azidi kubanwa

Samuel Sitta

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta

NA WAANDISHI WETU

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amezidi kuandamwa baada ya Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kumtaka kusitisha mara moja mchakato wa Katiba unaoendelea.

Kituo hicho, kimesema Bunge hilo linapaswa kusitishwa hadi muafaka utakapofikiwa kati ya makundi mawili yanayosigana.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa  LHRC,...

 

11 years ago

Mwananchi

KAMPENI: Sitta azidi kupigiwa debe

>Baadhi ya wabunge wamesema Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, ndiye anayefaa kuwania nafasi ya uenyekiti wa kudumu kwa sababu uadilifu wake hauna shaka.

 

10 years ago

Mtanzania

Sitta azidi kuinanga rasimu ya Jaji Warioba

Samuel Sitta

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta

MAREGESI PAUL NA RACHEL MRISHO, DODOMA

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, ameendelea kusisitiza kuwa rasimu ya Katiba mpya iliyosimamiwa na Jaji Joseph Warioba imejaa kasoro.

Kutokana na hali hiyo, amesema Bunge Maalumu la Katiba limelazimika kuiboresha kwa kuwa kila kitu kinachoandikwa na binadamu hakiwezi kuwa sahihi.

Sitta alitoa kauli hiyo mjini hapa jana, alipokuwa akipokea...

 

11 years ago

Habarileo

Sitta adaiwa kukiuka kanuni

AKIWA ndiyo kwanza ametoka kuapishwa na kuanza kazi, Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta amepingwa na mjumbe wa bunge hilo, Tundu Lissu kuwa amefanya maamuzi kwa kukiuka kanuni.

 

11 years ago

Mtanzania

Sitta adaiwa kutumia Bunge la Katiba kusaka urais

Samuel Sitta

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta

NA ELIZABETH HOMBO

MBUNGE wa Mkanyageni, Habib Mnyaa (CUF) amesema Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta, anataka kulitumia Bunge la Katiba kwa nia ya kufanikisha dhamira yake ya kutaka urais.

Mnyaa alisema ni jambo la kushangaza kuona Sitta akihangaika kusaka suluhu na wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

Akizungumza na MTANZANIA Jumatano, Mnyaa alisema ni jambo lisiloingia...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Sitta anawahadaa Watanzania

WADAU, wanaharakati, wanasiasa na wananchi mbalimbali wamekuwa wakipaza sauti juu ya mwenendo wa Bunge Maalum la Katiba linaloendelea mjini Dodoma. Bunge hilo lilianza kuingia dosari pale wajumbe wa bunge hilo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Sitta ahadaa Watanzania’

IMEELEZWA kuwa kitendo cha Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta kuunda Kamati ya Maridhiano ni cha kuwahadaa Watanzania. Hayo yameelezwa jana na Mwinjilisti wa Kanisa la Tanzania Assemblies...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani