Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sitta anawahadaa Watanzania

WADAU, wanaharakati, wanasiasa na wananchi mbalimbali wamekuwa wakipaza sauti juu ya mwenendo wa Bunge Maalum la Katiba linaloendelea mjini Dodoma. Bunge hilo lilianza kuingia dosari pale wajumbe wa bunge hilo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

‘Sitta ahadaa Watanzania’

IMEELEZWA kuwa kitendo cha Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta kuunda Kamati ya Maridhiano ni cha kuwahadaa Watanzania. Hayo yameelezwa jana na Mwinjilisti wa Kanisa la Tanzania Assemblies...

 

10 years ago

Mtanzania

Sitta: Watanzania wakitaka nitakuwa rais

Samuel Sitta

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta

NA RACHEL MRISHO, DODOMA

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, jana ametumia mwamvuli wa Bunge hilo kujipigia debe la urais na kudai kuwa ana sifa za kuliongoza taifa.

Akiwa katika kikao cha 31 cha mjadala wa wazi wa Bunge Maalumu la Katiba mjini hapa, Sitta alisema baadhi ya watu wameanza kumwandama wakidai kuwa kutokana na anavyoliongoza Bunge hilo ameonyesha kuwa hana sifa ya kuwa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Sitta azidi kupingwa, adaiwa kuhadaa watanzania

sitta

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta.

Na Mwandishi wetu

Mwinjilisti wa Kanisa la TAG liliko Mbagala wilayani Temeke jijini Dar es Salaam, Medad Kyabashasa, amesema kitendo cha Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta kuunda Kamati ya maridhiano ni kitendo cha kuwahadaa Watanzania.

Hadaa hiyo ni yakutaka kuwafanya wajumbe wanaopigania Katiba ya Wananchi (Ukawa), ambao wametoka nje ya bunge hilo kupinga ubabe unaofanywa na wajumbe wa Chama Cha Mapinduzi, waonekane ni...

 

10 years ago

Vijimambo

WATANZANIA LAZIMA TUWE MAKINI NA MATAJIRI WA NCHI HII KWA MUSTAKABALI WA TAIFA LETU NA USTAWI WA WATANZANIA MASKINI

Ni wazi kwamba ningependa siku moja watanzania waweze kujua ukweli wa nini kinafanywa na matajiri wa nchi hii.Matajiri waliojaa  ulafi wa kunufaika na rasilimali za nchi hii kwa manufaa yao na familia zao ukijumlisha wapambe wao na washirika wa ndani na nje ya nchi hii ya Tanzania. Ni katika vita hii ndio inayopelekea serekali yetu kuyumba na kuyumbishwa (STATE TO BE CAPTURED) na hawa matajiri pale wanapopigania maslahi yao na kudiriki kutumia utajiri wao na umiliki wao wa vyombo kama vya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani