Sitta: Watanzania wakitaka nitakuwa rais
Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta
NA RACHEL MRISHO, DODOMA
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, jana ametumia mwamvuli wa Bunge hilo kujipigia debe la urais na kudai kuwa ana sifa za kuliongoza taifa.
Akiwa katika kikao cha 31 cha mjadala wa wazi wa Bunge Maalumu la Katiba mjini hapa, Sitta alisema baadhi ya watu wameanza kumwandama wakidai kuwa kutokana na anavyoliongoza Bunge hilo ameonyesha kuwa hana sifa ya kuwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima23 Mar
Nitakuwa wa mwisho kumpinga Rais Kikwete
JUZI Rais Jakaya Kikwete alitoa hotuba ya kuzindua Bunge iliyonikuna sana, hotuba yake ilijaa majibu ‘mujarab’ kwa hotuba iliyotolewa na Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba....
10 years ago
Tanzania Daima28 Aug
Sitta anawahadaa Watanzania
WADAU, wanaharakati, wanasiasa na wananchi mbalimbali wamekuwa wakipaza sauti juu ya mwenendo wa Bunge Maalum la Katiba linaloendelea mjini Dodoma. Bunge hilo lilianza kuingia dosari pale wajumbe wa bunge hilo...
11 years ago
Tanzania Daima17 Jul
‘Sitta ahadaa Watanzania’
IMEELEZWA kuwa kitendo cha Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta kuunda Kamati ya Maridhiano ni cha kuwahadaa Watanzania. Hayo yameelezwa jana na Mwinjilisti wa Kanisa la Tanzania Assemblies...
11 years ago
Dewji Blog18 Jul
Sitta azidi kupingwa, adaiwa kuhadaa watanzania
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta.
Na Mwandishi wetu
Mwinjilisti wa Kanisa la TAG liliko Mbagala wilayani Temeke jijini Dar es Salaam, Medad Kyabashasa, amesema kitendo cha Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta kuunda Kamati ya maridhiano ni kitendo cha kuwahadaa Watanzania.
Hadaa hiyo ni yakutaka kuwafanya wajumbe wanaopigania Katiba ya Wananchi (Ukawa), ambao wametoka nje ya bunge hilo kupinga ubabe unaofanywa na wajumbe wa Chama Cha Mapinduzi, waonekane ni...
10 years ago
Mwananchi16 Sep
‘Nitakuwa Mbowe tofauti Chadema’
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NQ48wH9Dt2S6PHp3dSGyStUQFUaxzt5JxdweDRVV7YsbPs5w4mqKT*791LaFp8go4LP7CqxroKQZrQc-TfgjATH-ZLxqMKm0/steve.jpg?width=650)
STEVE NYERERE: NITAKUWA MBUNGE OMBAOMBA!
11 years ago
Mwananchi26 Mar
Lugola: Nitakuwa wa mwisho kuisaliti Rasimu ya Warioba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4MXCALxsrL1qJ1YjdSj4A3PnFifR98L4hHJdzbqOv2p0hCa2uITma*8eSGoZyda5e6AmoXAwoTTIeqkfd--T1p9tI5VnNDfW/johari.jpg?width=650)
JOHARI: HARUSI YA RAY NITAKUWA MWANDAAJI CHAKULA