Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nitakuwa wa mwisho kumpinga Rais Kikwete

JUZI Rais Jakaya Kikwete alitoa hotuba ya kuzindua Bunge iliyonikuna sana, hotuba yake ilijaa majibu ‘mujarab’ kwa hotuba iliyotolewa na Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Lugola: Nitakuwa wa mwisho kuisaliti Rasimu ya Warioba

>Mjumbe wa Bunge la Katiba, Kangi Lugola ameapa kuwa atakufa na tai shingoni kwa kuitetea hotuba ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kwa kuwa ndiyo iliyobeba mawazo ya watu wengi

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nitakuwa wa mwisho kumpa tano Mzee Muhidin Ndolanga

MICHUANO ya Kombe la Chalenji kwa nchi zilizo chini ya Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), iliyoanza Novemba 27 ilifikia tamati Desemba 12, Nairobi, Kenya. Mbio...

 

10 years ago

Habarileo

Bajeti ya mwisho ya Rais Kikwete

 Waziri wa Fedha, Saada Mkuya SalumSERIKALI imewasilisha mwelekeo wa bajeti kwa Kamati ya Bunge, ambayo inalenga zaidi kupeleka umeme na huduma za maji vijijini, kumalizia miradi ambayo haijakamilika na kutenga fedha kwa ajili ya uchaguzi mkuu ujao.

 

10 years ago

Vijimambo

HOTUBA YA RAIS KIKWETE YA MWISHO WA MWEZI FEBRUARY, 2015

Hotuba Ya RAIS Mwisho Wa Mwezi Februari, 2015

 

10 years ago

Mtanzania

Sitta: Watanzania wakitaka nitakuwa rais

Samuel Sitta

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta

NA RACHEL MRISHO, DODOMA

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, jana ametumia mwamvuli wa Bunge hilo kujipigia debe la urais na kudai kuwa ana sifa za kuliongoza taifa.

Akiwa katika kikao cha 31 cha mjadala wa wazi wa Bunge Maalumu la Katiba mjini hapa, Sitta alisema baadhi ya watu wameanza kumwandama wakidai kuwa kutokana na anavyoliongoza Bunge hilo ameonyesha kuwa hana sifa ya kuwa...

 

10 years ago

GPL

HOTUBA YA RAIS JAKAYA KIKWETE YA MWISHO WA MWEZI WA FEBRUARI, 2015

Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete . HOTUBA YA MWISHO WA MWEZI FEBRUARI, 2015, YA MHESHIMIWA DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, ILIYOTOLEWA TAREHE 1 MACHI, 2015   Utangulizi Ndugu Wananchi; Kama ilivyo ada tunamshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema kwa kutuwezesha kuzungumza kupitia utaratibu wetu huu mzuri wa hotuba za kila mwisho wa mwezi.  Kwa mwisho… ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tazama hotuba ya Rais Jakaya Kikwete ya mwisho wa mwezi Februari, 2015

JK

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wananchi wa Tanzania kwenye hotuba zake za kila mwezi. Fuatilia hotuba nzima hapa chini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani