Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lugola: Nitakuwa wa mwisho kuisaliti Rasimu ya Warioba

>Mjumbe wa Bunge la Katiba, Kangi Lugola ameapa kuwa atakufa na tai shingoni kwa kuitetea hotuba ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kwa kuwa ndiyo iliyobeba mawazo ya watu wengi

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Nitakuwa wa mwisho kumpinga Rais Kikwete

JUZI Rais Jakaya Kikwete alitoa hotuba ya kuzindua Bunge iliyonikuna sana, hotuba yake ilijaa majibu ‘mujarab’ kwa hotuba iliyotolewa na Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nitakuwa wa mwisho kumpa tano Mzee Muhidin Ndolanga

MICHUANO ya Kombe la Chalenji kwa nchi zilizo chini ya Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), iliyoanza Novemba 27 ilifikia tamati Desemba 12, Nairobi, Kenya. Mbio...

 

10 years ago

Mwananchi

Rasimu ya Warioba ‘yachanwachanwa’

Kuna kila dalili kwamba mabadiliko mengi yaliyopendekezwa katika Rasimu ya Katiba yakigusa miundo ya taasisi nyeti za umma yatawekwa kando na huenda Bunge Maalumu likatoa Katiba isiyokuwa na mabadiliko makubwa kama ilivyotarajiwa.

 

11 years ago

Habarileo

Wasira aipinga rasimu ya Warioba

MJUMBE wa Bunge la Katiba, Steven Wasira ameishutumu rasimu ya katiba ya Tume ya Marekebisho ya Katiba juu ya mfumo wa muungano wa serikali tatu kuwa si maoni ya wananchi ndio maana Chama Cha Mapinduzi kinapinga mfumo huo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rasimu ya Warioba kuizika Zanzibar?

WAKATI Tume ya Mabadiliko ya Katiba ya Jaji Joseph Warioba ikikaribia kumaliza kazi yake na kuwasilisha mapendekezo yake mbele ya Bunge Maalumu la  Katiba, wasiwasi umeanza kujitokeza kwa Katiba ya...

 

10 years ago

Habarileo

'Rasimu imezingatia ya Tume ya Warioba'

RASIMU ya Katiba Inayopendekezwa, kwa sehemu kubwa imezingatia Rasimu ya Pili ya Katiba, iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

 

10 years ago

Mwananchi

Rasimu ya Warioba sasa mifupa mitupu

>Kamati za Bunge Maalumu, zimekamilisha kazi ya kujadili na kuchambua Rasimu ya Katiba iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba, huku ikiwa imefanyiwa mabadiliko makubwa tofauti na ilivyokuwa awali.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Korti: Bunge lizingatie rasimu ya Warioba

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imelitaka Bunge Maalumu la Katiba kuandika na kupitisha vipengele kwa kuzingatia rasimu iliyowasilishwa bungeni na Tume ya Mabadiliko ya Katiba chini ya Jaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani