Rasimu ya Warioba sasa mifupa mitupu
>Kamati za Bunge Maalumu, zimekamilisha kazi ya kujadili na kuchambua Rasimu ya Katiba iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba, huku ikiwa imefanyiwa mabadiliko makubwa tofauti na ilivyokuwa awali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Aug
Rasimu ya Warioba ‘yachanwachanwa’
11 years ago
Tanzania Daima02 Mar
Rasimu ya Warioba kuizika Zanzibar?
WAKATI Tume ya Mabadiliko ya Katiba ya Jaji Joseph Warioba ikikaribia kumaliza kazi yake na kuwasilisha mapendekezo yake mbele ya Bunge Maalumu la Katiba, wasiwasi umeanza kujitokeza kwa Katiba ya...
11 years ago
Habarileo12 Mar
Wasira aipinga rasimu ya Warioba
MJUMBE wa Bunge la Katiba, Steven Wasira ameishutumu rasimu ya katiba ya Tume ya Marekebisho ya Katiba juu ya mfumo wa muungano wa serikali tatu kuwa si maoni ya wananchi ndio maana Chama Cha Mapinduzi kinapinga mfumo huo.
10 years ago
Habarileo25 Sep
'Rasimu imezingatia ya Tume ya Warioba'
RASIMU ya Katiba Inayopendekezwa, kwa sehemu kubwa imezingatia Rasimu ya Pili ya Katiba, iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba.
10 years ago
Tanzania Daima26 Sep
Korti: Bunge lizingatie rasimu ya Warioba
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imelitaka Bunge Maalumu la Katiba kuandika na kupitisha vipengele kwa kuzingatia rasimu iliyowasilishwa bungeni na Tume ya Mabadiliko ya Katiba chini ya Jaji...
10 years ago
Mtanzania02 Sep
Sitta azidi kuinanga rasimu ya Jaji Warioba
![Samuel Sitta](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Samuel-Sitta.jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta
MAREGESI PAUL NA RACHEL MRISHO, DODOMA
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, ameendelea kusisitiza kuwa rasimu ya Katiba mpya iliyosimamiwa na Jaji Joseph Warioba imejaa kasoro.
Kutokana na hali hiyo, amesema Bunge Maalumu la Katiba limelazimika kuiboresha kwa kuwa kila kitu kinachoandikwa na binadamu hakiwezi kuwa sahihi.
Sitta alitoa kauli hiyo mjini hapa jana, alipokuwa akipokea...
11 years ago
Mwananchi15 Jun
TUCTA: Bunge liheshimu Rasimu ya Jaji Warioba
11 years ago
Mwananchi26 Mar
Tuache kujadili hotuba za JK, Warioba tuboreshe Rasimu
11 years ago
Mwananchi26 Mar
Lugola: Nitakuwa wa mwisho kuisaliti Rasimu ya Warioba