Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rasimu ya Warioba sasa mifupa mitupu

>Kamati za Bunge Maalumu, zimekamilisha kazi ya kujadili na kuchambua Rasimu ya Katiba iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba, huku ikiwa imefanyiwa mabadiliko makubwa tofauti na ilivyokuwa awali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Rasimu ya Warioba ‘yachanwachanwa’

Kuna kila dalili kwamba mabadiliko mengi yaliyopendekezwa katika Rasimu ya Katiba yakigusa miundo ya taasisi nyeti za umma yatawekwa kando na huenda Bunge Maalumu likatoa Katiba isiyokuwa na mabadiliko makubwa kama ilivyotarajiwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rasimu ya Warioba kuizika Zanzibar?

WAKATI Tume ya Mabadiliko ya Katiba ya Jaji Joseph Warioba ikikaribia kumaliza kazi yake na kuwasilisha mapendekezo yake mbele ya Bunge Maalumu la  Katiba, wasiwasi umeanza kujitokeza kwa Katiba ya...

 

11 years ago

Habarileo

Wasira aipinga rasimu ya Warioba

MJUMBE wa Bunge la Katiba, Steven Wasira ameishutumu rasimu ya katiba ya Tume ya Marekebisho ya Katiba juu ya mfumo wa muungano wa serikali tatu kuwa si maoni ya wananchi ndio maana Chama Cha Mapinduzi kinapinga mfumo huo.

 

10 years ago

Habarileo

'Rasimu imezingatia ya Tume ya Warioba'

RASIMU ya Katiba Inayopendekezwa, kwa sehemu kubwa imezingatia Rasimu ya Pili ya Katiba, iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Korti: Bunge lizingatie rasimu ya Warioba

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imelitaka Bunge Maalumu la Katiba kuandika na kupitisha vipengele kwa kuzingatia rasimu iliyowasilishwa bungeni na Tume ya Mabadiliko ya Katiba chini ya Jaji...

 

10 years ago

Mtanzania

Sitta azidi kuinanga rasimu ya Jaji Warioba

Samuel Sitta

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta

MAREGESI PAUL NA RACHEL MRISHO, DODOMA

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, ameendelea kusisitiza kuwa rasimu ya Katiba mpya iliyosimamiwa na Jaji Joseph Warioba imejaa kasoro.

Kutokana na hali hiyo, amesema Bunge Maalumu la Katiba limelazimika kuiboresha kwa kuwa kila kitu kinachoandikwa na binadamu hakiwezi kuwa sahihi.

Sitta alitoa kauli hiyo mjini hapa jana, alipokuwa akipokea...

 

11 years ago

Mwananchi

TUCTA: Bunge liheshimu Rasimu ya Jaji Warioba

Bunge Maalumu la Katiba, linatarajiwa kuendelea Agosti 5 mwaka huu, baada ya kuahirishwa kwa ajili ya kupisha Bunge la Bajeti.

 

11 years ago

Mwananchi

Tuache kujadili hotuba za JK, Warioba tuboreshe Rasimu

>Wiki ya Machi 18 - 22, 2014, mwenyekiti Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba aliwasilisha Rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye Bunge la Katiba.

 

11 years ago

Mwananchi

Lugola: Nitakuwa wa mwisho kuisaliti Rasimu ya Warioba

>Mjumbe wa Bunge la Katiba, Kangi Lugola ameapa kuwa atakufa na tai shingoni kwa kuitetea hotuba ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kwa kuwa ndiyo iliyobeba mawazo ya watu wengi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani