Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watuhumiwa kuvunja viti Taifa walia kutoswa Simba

WAKATI kesi ya kufanya fujo na kuvunja viti vya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam katika mechi kati ya Simba na Kagera Sugar ikitarajiwa kuanza kusikilizwa Januari 27 katika...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Mabaharia walia kutoswa miradi ya gesi

UMOJA wa mabaharia nchini wamesikitishwa na kitendo cha serikali kushindwa kuwasimamia kupata ajira ya uchorongaji wa gesi katika mikoa ya Lindi na Mtwara. Wamesema tangu kazi hiyo ianze, hakuna baharia...

 

10 years ago

Vijimambo

SIMBA SC HAWAJANG’OA VITI TENA TAIFA LEO ?, BAADA YA KUPIGWA BAO 1 BILA MAJIBU NA WAKATA MIWA WA KAGERA

KIPINDI CHA PILI KIMEISHA, SIMBA WAMESHAMBULIA SANA, LAKINI WAMESHINDWA KUPATA BAO LA KUSAWAZISHA. HIVYO SIMBA IMEPOTEZA MCHEZO WAKE WA KWANZA WA LIGI KWA BAO 1-0.
Licha ya Simba kusajili wachezaji nyota kutoka Uganda, Kagera Sugar FC wamelitamba kuivuruga tena kwa kuipa kichapo katika mechi yao leo na wamefanya hivyo kweli. Simba wanafanya kila wawezavyo kuwafunga watani wao wa jadi lakini wanvyo kutana na timu zingine ni nyanya tena hile ya masalo pale tandale jalalani.Mrage Kabange, kocha...

 

11 years ago

Habarileo

Mali yahofiwa kuvunja Taifa

Askofu Damian Dallu wa Kanisa Katoliki Jimbo la GeitaWATANZANIA wametakiwa kuwa makini na mali na rasilimali za nchi, ikiwemo gesi, mafuta, pembe za ndovu na dhahabu kwani zimeanza kuonesha dalili za kugawa Taifa.

 

11 years ago

GPL

Musoti aomba kuvunja mkataba Simba

Donald Musoti.
Nicodemus Jonas na Martha Mboma
BEKI wa kati wa Simba, Mkenya Donald Musoti amesema yupo tayari kuvunja mkataba na Simba kutokana na kupata ulaji wa maana nchini Dubai katika Falme za Kiarabu. Musoti, beki wa zamani wa Gor Mahia ya Kenya, juzi aliamua kuvunja ukimya na kufunguka sababu zilizomfanya kuchelewa kuripoti kambini kwa siku tano, ambapo alisema alikuwa Dubai katika timu hiyo ambayo hajaikariri jina....

 

9 years ago

Habarileo

Simba walia kuhujumiana

SIMBA ipo kwenye maandalizi ya Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Azam Jumamosi, lakini kumeibuka hofu ya kuhujumiana ndani ya klabu hiyo. Habari kutoka ndani ya uongozi wa Simba zinadai kuwa kiongozi mmoja wa juu wa klabu hiyo amekuwa akihusishwa kufanya hujuma ili timu ipoteze mechi dhidi ya Azam na nyingine zitakazofuata.

 

11 years ago

Mwananchi

Mashabiki wang’oa viti Taifa

Mashabiki wachache wa soka walishindwa kuonyesha ustaarabu juzi baada ya kung’oa baadhi ya viti vya Uwanja wa Taifa wakati wa mechi ya raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga dhidi ya Al Ahly.

 

11 years ago

Mwananchi

Simba yakana kung’oa viti

Uongozi wa klabu ya Simba umesema hauhusiki na vurugu zilizotokea katika mechi ya Yanga dhidi ya Al Ahly uliochezwa Jumapili iliyopita kwa sababu hawakuwa na masilahi na mechi hiyo.

 

9 years ago

Mwananchi

Nyota wa Simba walia ukata

Baada ya mazoezi ya wiki nzima visiwani Zanzibar kujiandaa na mechi ya Ligi Kuu dhidi ya Azam Jumamosi, kikosi cha Simba kinakabiliwa na mambo mengi yanayotakiwa kufanyiwa kazi ili timu ifanikiwe.

 

11 years ago

Mwananchi

Timu Taifa Tenisi walia ukata

>Timu ya Taifa ya Tenisi kwa walemavu inayojiandaa na kusaka kufuzu kwa mashindano ya dunia tenisi inafanya maandalizi kwenye mazingira magumu baada ya kukosa fedha na udhamini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani