Mashabiki wang’oa viti Taifa
Mashabiki wachache wa soka walishindwa kuonyesha ustaarabu juzi baada ya kung’oa baadhi ya viti vya Uwanja wa Taifa wakati wa mechi ya raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga dhidi ya Al Ahly.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Mashabiki Yanga wang’ara kwa Simba
Wakati shindano la ‘Nani Mtani Jembe 2’ baina ya mashabiki wa Yanga, Simba likiendelea nchini kote, upande wa Yanga umeendelea kufanya vyema katika kampeni hiyo ya kuwania Sh80 milioni.
11 years ago
Mwananchi22 May
Wang’ang’ania kuishi ndani ya hifadhi ya Taifa
Hifadhi ya Taifa ya Saadani iliyopo wilayani Bagamoyo Mkoa wa Pwani imeingia katika mgogoro na Kitongoji cha Uvinje kilichomo ndani ya hifadhi hiyo.
11 years ago
Tanzania Daima08 Jan
Watuhumiwa kuvunja viti Taifa walia kutoswa Simba
WAKATI kesi ya kufanya fujo na kuvunja viti vya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam katika mechi kati ya Simba na Kagera Sugar ikitarajiwa kuanza kusikilizwa Januari 27 katika...
11 years ago
Mwananchi11 Mar
Ung’oaji viti Uwanja wa Taifa waiponza TFF
Serikali imelipiga faini ya Sh15 milioni Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutokana na uharibifu uliofanywa na baadhi ya mashabiki katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika raundi ya kwanza kati ya Yanga na Al Ahly ya Misri iliyochezwa Machi Mosi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
9 years ago
Dewji Blog07 Nov
Tume ya Taifa ya Uchaguzi yatoa idadi ya viti maalum
![lub](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/lub.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-uLJKC9Kh5w0/UxHRLrp8meI/AAAAAAAFQak/HMg_Zc49ioI/s72-c/8.jpg)
SIMBA SC HAWAJANG’OA VITI TENA TAIFA LEO ?, BAADA YA KUPIGWA BAO 1 BILA MAJIBU NA WAKATA MIWA WA KAGERA
![](http://3.bp.blogspot.com/-uLJKC9Kh5w0/UxHRLrp8meI/AAAAAAAFQak/HMg_Zc49ioI/s640/8.jpg)
Licha ya Simba kusajili wachezaji nyota kutoka Uganda, Kagera Sugar FC wamelitamba kuivuruga tena kwa kuipa kichapo katika mechi yao leo na wamefanya hivyo kweli. Simba wanafanya kila wawezavyo kuwafunga watani wao wa jadi lakini wanvyo kutana na timu zingine ni nyanya tena hile ya masalo pale tandale jalalani.
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2014/12/mr.png)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uLJKC9Kh5w0/UxHRLrp8meI/AAAAAAAFQak/HMg_Zc49ioI/s72-c/8.jpg)
HAYA NDIO YANAYOENDELEA UWANJA WA TAIFA HIVI SASA,MECHI BADO HAIJAANZA LAKINI VITI ZAIDI YA 20 VYANG'OLEWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-uLJKC9Kh5w0/UxHRLrp8meI/AAAAAAAFQak/HMg_Zc49ioI/s1600/8.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania