Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashabiki wang’oa viti Taifa

Mashabiki wachache wa soka walishindwa kuonyesha ustaarabu juzi baada ya kung’oa baadhi ya viti vya Uwanja wa Taifa wakati wa mechi ya raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga dhidi ya Al Ahly.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mashabiki Yanga wang’ara kwa Simba

Wakati shindano la ‘Nani Mtani Jembe 2’ baina ya mashabiki wa Yanga, Simba likiendelea nchini kote, upande wa Yanga umeendelea kufanya vyema katika kampeni hiyo ya kuwania Sh80 milioni.

 

11 years ago

Mwananchi

Wang’ang’ania kuishi ndani ya hifadhi ya Taifa

Hifadhi ya Taifa ya Saadani iliyopo wilayani Bagamoyo Mkoa wa Pwani imeingia katika mgogoro na Kitongoji cha Uvinje kilichomo ndani ya hifadhi hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watuhumiwa kuvunja viti Taifa walia kutoswa Simba

WAKATI kesi ya kufanya fujo na kuvunja viti vya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam katika mechi kati ya Simba na Kagera Sugar ikitarajiwa kuanza kusikilizwa Januari 27 katika...

 

11 years ago

Mwananchi

Ung’oaji viti Uwanja wa Taifa waiponza TFF

Serikali imelipiga faini ya Sh15 milioni Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutokana na uharibifu uliofanywa na baadhi ya mashabiki katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika raundi ya kwanza kati ya Yanga na Al Ahly ya Misri iliyochezwa Machi Mosi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Dewji Blog

Tume ya Taifa ya Uchaguzi yatoa idadi ya viti maalum

lub Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Mstaafu Mhe. Damian Lubuva. Na Lilian Lundo – Maelezo   Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Mstaafu Mhe. Damian Lubuva ametangaza idadi ya wabunge wa Viti Maalum leo katika ukumbi wa ofisi za Tume hiyo jijini Dar es Salaam.   Jaji Lubuva akitoa taarifa hiyo kwa waandishi wa habari alisema kwamba, kwa mujibu wa Ibara ya 66(1) (b) na Ibara ya 78 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 ikisomwa kwa pamoja na...

 

10 years ago

Vijimambo

SIMBA SC HAWAJANG’OA VITI TENA TAIFA LEO ?, BAADA YA KUPIGWA BAO 1 BILA MAJIBU NA WAKATA MIWA WA KAGERA

KIPINDI CHA PILI KIMEISHA, SIMBA WAMESHAMBULIA SANA, LAKINI WAMESHINDWA KUPATA BAO LA KUSAWAZISHA. HIVYO SIMBA IMEPOTEZA MCHEZO WAKE WA KWANZA WA LIGI KWA BAO 1-0.
Licha ya Simba kusajili wachezaji nyota kutoka Uganda, Kagera Sugar FC wamelitamba kuivuruga tena kwa kuipa kichapo katika mechi yao leo na wamefanya hivyo kweli. Simba wanafanya kila wawezavyo kuwafunga watani wao wa jadi lakini wanvyo kutana na timu zingine ni nyanya tena hile ya masalo pale tandale jalalani.Mrage Kabange, kocha...

 

11 years ago

Michuzi

HAYA NDIO YANAYOENDELEA UWANJA WA TAIFA HIVI SASA,MECHI BADO HAIJAANZA LAKINI VITI ZAIDI YA 20 VYANG'OLEWA

 Katika hali isiyokuwa ya kawaida,Mashabiki wa timu ya Simba wameanza tena kung'oa viti vya kukalia uwanjani hapa na kuwatupia Mashabini wenzao wa Timu ya Yanga waliofurika kwa wingi uwanjani hapa,kwa kile kinachodaiwa kuwa hawataki kukaa nao sehemu moja.lakini kwa hali ilivyo hivi sasa Uwanjani hapa,ni dhahiri kabisa kuwa Mashabiki hao wa Yanga wanaweza kuujaza Uwanja huu hasa kwa jinsi wanavyozidi kuingia Uwanjani hapa.Uongozi wa Vilabu hivi viwili vikubwa hapa nchini unatakiwa kukaa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani