Mali yahofiwa kuvunja Taifa
WATANZANIA wametakiwa kuwa makini na mali na rasilimali za nchi, ikiwemo gesi, mafuta, pembe za ndovu na dhahabu kwani zimeanza kuonesha dalili za kugawa Taifa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 Jan
Watuhumiwa kuvunja viti Taifa walia kutoswa Simba
WAKATI kesi ya kufanya fujo na kuvunja viti vya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam katika mechi kati ya Simba na Kagera Sugar ikitarajiwa kuanza kusikilizwa Januari 27 katika...
9 years ago
BBCSwahili31 Dec
Ubelgiji yahofiwa kushambuliwa
10 years ago
StarTV13 Feb
Tanzania yahofiwa kutegemea zaidi misaada.
Na Ramadhan Mvungi,
Arusha.
Watafiti kutoka asasi na mashirika yasiyo ya kiserikali nchini wamebainisha kuwa huenda Tanzania ikajikuta katika utegemezi zaidi wa misaada kutoka kwa mataifa yaliyoendelea iwapo juhudi za makusudi na za haraka hazitachukuliwa kudhibiti vitendo vya uharibifu wa mali za Umma.
Tatizo jingine ni usimamizi mbovu wa rasilimali ikiwemo ukusanyaji hafifu wa mapato yanayotokana na rasilimali za maliasili za madini na gesi.
Katika mdahalo uliofanyika jijini...
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Ajali ya boti yahofiwa kuua saba
BOTI ya Kilimanjaro II imekumbwa na dhoruba katika mkondo wa Nungwi ikitokea Pemba kwenda Unguja, na abiria saba wanahofiwa kufa. Dhoruba hiyo ilitokea jana mchana na boti hiyo ilielezwa kuwa...
11 years ago
Tanzania Daima18 Mar
Sheria ya kudhibiti mifugo yahofiwa kuibua vurugu
SERIKALI imetahadharishwa kuwapo uwezekano wa kujitokeza kwa vurugu za wakulima na wafugaji katika Kata ya Kisaki, mkoani Morogoro kutokana na kuundwa kwa sheria ya kudhibiti mifugo iliyopitishwa Januari 12, mwaka...
11 years ago
Ykileo![](http://2.bp.blogspot.com/-73F1dpehaMw/U9hFQ3zF9lI/AAAAAAAAA2I/wPmdxrJVawk/s72-c/blg.jpg)
CHINA YAHOFIWA KUINGILIA MITAMBO INAYO ONGOZA MAKOMBORA YA WA ISRAEL
![](http://2.bp.blogspot.com/-73F1dpehaMw/U9hFQ3zF9lI/AAAAAAAAA2I/wPmdxrJVawk/s1600/blg.jpg)
Taarifa hii imekua ikipokelewa kwa namna tofauti na makundi mbali mbali yaliyo onyesha hisia zao kupitia mitandao huku baadhi wakihoji kama...
10 years ago
BBCSwahili09 Jul
J. Kikwete kuvunja Bunge la 10
11 years ago
Tanzania Daima06 Apr
UKAWA kuvunja Bunge
UMOJA wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) umetishia kuvunja Bunge Maalumu la Katiba iwapo Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitaendelea kutumia rasimu yake badala ya kutumia rasimu ya pili iliyowasilishwa na Mwenyekiti...