CHINA YAHOFIWA KUINGILIA MITAMBO INAYO ONGOZA MAKOMBORA YA WA ISRAEL
![](http://2.bp.blogspot.com/-73F1dpehaMw/U9hFQ3zF9lI/AAAAAAAAA2I/wPmdxrJVawk/s72-c/blg.jpg)
Wadukuzi wa kichina katika utaftaji wa taarifa zihusianazo na mitambo inayo ongozea makombora yanayotumiwa na wa Israel nchini palestina wamefanikiwa kuingilia mifumo ya wakandarasi watatu wa ki Israel. Wadukuzi hao wa kichina wamefanikiwa pia kupata kujua taarifa za mipango mingine yawa Israel pamoja na taarifa nyingine muhimu za makombora yawa Israel.
Taarifa hii imekua ikipokelewa kwa namna tofauti na makundi mbali mbali yaliyo onyesha hisia zao kupitia mitandao huku baadhi wakihoji kama...
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--wzAJGzfH7E/XtecBIAWgCI/AAAAAAALseM/3v2D9q4VKtEg8-sGXBT2Hs8phtZqgz_YgCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
UCHIMBAJI ENEO LA KINA CHA LANGO LA KUINGILIA MAJI KWENYE MITAMBO WAKAMILIKA KATIKA MRADI WA BWAWA LA KUFUA UMME LA MWALIMU NYERERE
Akizungumza na waandishi wa habari leo, Msimamizi wa Ujenzi wa njia za maji pamoja na bwawa kwenye mradi huo Mhandisi Dismas Mbote amesema utekelezaji wa njia hiyo ulianza Mwezi Oktoba 2019 na kuongeza kazi ya uchimbaji wa lango imekamilika kwa kuchimbwa kina cha mita 53 ambapo hivi sasa kazi inayoendelea ni uondoaji...
5 years ago
BBCSwahili17 May
Du Wei: Balozi wa China Israel anayedaiwa kuaga dunia akiwa usingizini
9 years ago
BBCSwahili31 Dec
Ubelgiji yahofiwa kushambuliwa
11 years ago
Habarileo26 Dec
Mali yahofiwa kuvunja Taifa
WATANZANIA wametakiwa kuwa makini na mali na rasilimali za nchi, ikiwemo gesi, mafuta, pembe za ndovu na dhahabu kwani zimeanza kuonesha dalili za kugawa Taifa.
10 years ago
StarTV13 Feb
Tanzania yahofiwa kutegemea zaidi misaada.
Na Ramadhan Mvungi,
Arusha.
Watafiti kutoka asasi na mashirika yasiyo ya kiserikali nchini wamebainisha kuwa huenda Tanzania ikajikuta katika utegemezi zaidi wa misaada kutoka kwa mataifa yaliyoendelea iwapo juhudi za makusudi na za haraka hazitachukuliwa kudhibiti vitendo vya uharibifu wa mali za Umma.
Tatizo jingine ni usimamizi mbovu wa rasilimali ikiwemo ukusanyaji hafifu wa mapato yanayotokana na rasilimali za maliasili za madini na gesi.
Katika mdahalo uliofanyika jijini...
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Ajali ya boti yahofiwa kuua saba
BOTI ya Kilimanjaro II imekumbwa na dhoruba katika mkondo wa Nungwi ikitokea Pemba kwenda Unguja, na abiria saba wanahofiwa kufa. Dhoruba hiyo ilitokea jana mchana na boti hiyo ilielezwa kuwa...
11 years ago
Tanzania Daima18 Mar
Sheria ya kudhibiti mifugo yahofiwa kuibua vurugu
SERIKALI imetahadharishwa kuwapo uwezekano wa kujitokeza kwa vurugu za wakulima na wafugaji katika Kata ya Kisaki, mkoani Morogoro kutokana na kuundwa kwa sheria ya kudhibiti mifugo iliyopitishwa Januari 12, mwaka...
11 years ago
BBCSwahili07 Feb
FBI inayo miili ya magaidi wa Westgate